Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hii utokana na nini hasa na ina maanisha nini kwa nini naota ndoto moja yenye series na asubuhi yake najikuta katika hali kama hii nini hasa chanzo au ni dalili ya nini je naye pia atakuwa anaota kama mimj niotavyo?Sahihi kabisa
Kuna memory imestick haifutiki .. Naye anaweza pia akawa anaota ila inategemea na memory yakeLakini hii utokana na nini hasa na ina maanisha nini kwa nini naota ndoto moja yenye series na asubuhi yake najikuta katika hali kama hii nini hasa chanzo au ni dalili ya nini je naye pia atakuwa anaota kama mimj niotavyo?
nimeipenda hii.. swala linakuja kwa huyo Uhuru na udogo wote alikua akifanya nn hapoMkuu una ufahamu usio wa kawaida. Akili ndogo mara nyingi huwa hazikuelewi na kuishia kudhani unazungumzia uchawi.
Picha chini inaonesha marais wote wa Kenya, Jomo Kenyatta, Daniel Arap Moi, Mwai Kibaki na Uhuru Kenyatta.
![]()
Kuna uzi wa the Bold alielezea sana kuhusu hii picha na watu walifunguka sana sanaIna semekana hii picha imebeba siri nyingi Sana..
Una weza tupa ufafanuzi wa lolote unalo lifahamu apa Mshana Jr
Alievaa shati la njano ni nani?? Naona walioachia mikono walikuja kuwa marais na wote wameshafariki. Huyo mwenye njano ndio sijui ni nani, yupo au nae amefariki
Mwenye nyeusi nahis somebody daniel yonaHuyo simfahamu na aliyevaa black pia,
Nadhani huyo ni DAVID WAKATI.Alievaa shati la njano ni nani?? Naona walioachia mikono walikuja kuwa marais na wote wameshafariki. Huyo mwenye njano ndio sijui ni nani, yupo au nae amefariki
Shetani ana nguvu sanaWapwa hii Mnasemaje?View attachment 2056581