mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
Guys ukiachana na mwanamke kwasababu huna pesa zakuweza kukidhi mahitaji yake usikimbilie kutafuta mwingine tafuta kwanza pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi tayar!guy ukiachana na mwanamke kwasababu huna 💰 zakuweza kukidhi mahitaji yake usikimbilie kutafuta mwingine tafuta kwanza pesa✅✅
Kuna open letter moja niliiona inasema usidate ukiwa broke/umechacha, tafuta pesa uwe vizur na huna stress ndo udateGuys ukiachana na mwanamke kwasababu huna pesa zakuweza kukidhi mahitaji yake usikimbilie kutafuta mwingine tafuta kwanza pesa.
hiyo inatushinda sana vijana tunaaamin mapenz ya kweli yapo 😂Kuna open letter moja niliiona inasema usidate ukiwa broke/umechacha, tafuta pesa uwe vizur na huna stress ndo udate
🤣Tuzitafute kwa juhudi zoteee
1. Mkwanja
2. Mawe
3. Sabuni ya roho
4. Mpunga
5. Madafu
Call it whatever ila MONEY BUYS ANYTHING YOU WANT.
If you think money can't buy Happiness then go and ask the jobless and homeless.
Ila twende mbele na kurudi nyuma,kiukweli kabisa mapenz Bila hela hata kidogo ni majanga Tu, kwenda out yahitaji pesa, je ndo kama kwangu pakavu Tia mchuzi unafikiri itakuwaje?hiyo inatushinda sana vijana tunaaamin mapenz ya kweli yapo 😂
hata mahusiana yenyewe haya nogi bila pesa atakama hutoombwaaMwanaume ukiwa hauna pesa wa kuyalinda mahusiano yako ni Mungu tu. Tutafute pesa
Kweli kabisa pesa ni kilainishi tosha cha kila kituhata mahusiana yenyewe haya nogi bila pesa atakama hutoombwaa
Kwaio siku izi hakunaga tena yule wa shida na Raha 🥴🥴🍷🍷Guys ukiachana na mwanamke kwasababu huna pesa zakuweza kukidhi mahitaji yake usikimbilie kutafuta mwingine tafuta kwanza pesa.
Kitendo cha kuwa na pesa mapenz yenyewe Yana jidownload hahahah!Kweli kabisa pesa ni kilainishi tosha cha kila kitu
wanaeleweka ila leo unaweza ombwa kiasi fln chapesa hunaaa kesho huna aaah lazima wakubebee apoIla twende mbele na kurudi nyuma,kiukweli kabisa mapenz Bila hela hata kidogo ni majanga Tu, kwenda out yahitaji pesa, je ndo kama kwangu pakavu Tia mchuzi unafikiri itakuwaje?
Sometime wanao sema tafuta hela kama nawaelewa hivi!!!!!
kama nimekuelewa hiviiiKitendo cha kuwa na pesa mapenz yenyewe Yana jidownload hahahah!
Juzi Kati nilikuwa na kamanda wangu mmoja,ameombwa 20,000 wiki nzima anambwela mbwela tu ikabidi na njia abadilishe dah!wanaeleweka ila leo unaweza ombwa kiasi fln chapesa hunaaa kesho huna aaah lazima wakubebee apo
Kabisa wi-fi inaconect automaticallyKitendo cha kuwa na pesa mapenz yenyewe Yana jidownload hahahah!
aaaaah hayupoo wanasemaga nipo tayar kwa shida na raha weee ngoja ela ziisheee😂😂😂Kwaio siku izi hakunaga tena yule wa shida na Raha 🥴🥴🍷🍷