mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
- Thread starter
- #21
ukiwa nazo hata mwendo tu unabadilikašKweli kabisa pesa ni kilainishi tosha cha kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiwa nazo hata mwendo tu unabadilikašKweli kabisa pesa ni kilainishi tosha cha kila kitu
mhhh sidhan kama bado wapo haoPesa ni kivutio cha malaya, ukiwa nazo tu malaya wengi sana watataka wakuvulie chupi ila wenye mapenzi na kuvutiwa haswa na utu wa mtu wao huitaji hata 100
Heshima huongezeka hata kwa ndugu na majiraniukiwa nazo hata mwendo tu unabadilikaš
haaaando tatizo unaanza kuogopa atakuomba mambo flanJuzi Kati nilikuwa na kamanda wangu mmoja,ameombwa 20,000 wiki nzima anambwela mbwela tu ikabidi na njia abadilishe dah!
Ngoja tutafute hela tuuuuuu!
Kusukuma damu kwenyewe nako sometime shughuli mpaka ufanyiwe check up,je ukiongeza na mapenzi si unarest in peace chap šššnimeskia kwenye taarifa ya habari kua mapenzi sio pesa ni moyo tu.
huu moyo unaosukuma damu.
Hao WA 100 ni sayar hii au kuna mpya Mimi siijui?Pesa ni kivutio cha malaya, ukiwa nazo tu malaya wengi sana watataka wakuvulie chupi ila wenye mapenzi na kuvutiwa haswa na utu wa mtu wao huitaji hata 100
Hii hiiHao WA 100 ni sayar hii au kuna mpya Mimi siijui?
Madam
Kweli nini sasa,ebu funguka bhana
Hayo ndio maneno mpendwa sasa, next time bhana funguka Kama hivi NumbisaPesa ni sabuni ya roho. Badala ya kukimbilia kuanzisha mahusiano mapya,jaza kwanza akiba ya kutosha kumshtua umpendae
aaaaah hayupoo wanasemaga nipo tayar kwa shida na raha weee ngoja ela ziisheeeššš
Unadhani utajua kama uliachwa kisa huna pesa.Guys ukiachana na mwanamke kwasababu huna pesa zakuweza kukidhi mahitaji yake usikimbilie kutafuta mwingine tafuta kwanza pesa.
Nakaziaaaaaa[emoji1614]Mwanaume ukiwa hauna pesa wa kuyalinda mahusiano yako ni Mungu tu. Tutafute pesa
Ukiachwa sababu huna pesa utajua tuu huwa hamjifichiUnadhani utajua kama uliachwa kisa huna pesa.