Tafuta mtu unayeendana naye ili ufurahie mapenzi

Tafuta mtu unayeendana naye ili ufurahie mapenzi

Usikute na mleta maada mapenzi ya amuendesha [emoji28] pau bae
😅😅😅😅 wewe mkorofi bro

Hayanisumbui najitahidi kwakweli japo its hard sometimes. Ila then nayashinda

Mapenzi yana ufala mwingi hasa unapo lazimisha u-fit sehem sio yako
 
Pole sana Paulina sema jamaa sio vizuri anavyokuzingua angejua we ni pisi flani kali hivi ulipita mitaa ya Falkland wadau wote hawakuchoka kukuangalia asingekuzingua hivi
 
Pole sana Paulina sema jamaa sio vizuri anavyokuzingua angejua we ni pisi flani kali hivi ulipita mitaa ya Falkland wadau wote hawakuchoka kukuangalia asingekuzingua hivi
😅😅😅😅😅 haoana sijazinguliwa na anybody

I just nimeamua tu kusema uelewa wangu juu ya haya mambo Mr
 
Ogopa sana mapenzi yakiisha moyoni kwa yule unaempenda

Mapenzi ya siku hizi ni time traveling tu imagination kibao
Afu tatizo watu wamekua wagumu , hawataki kuambiwa ukweli.
 
Unamdhalilisha kwa ndugu zake, hivi unajua namna ambavyo mama yake atasemwa?, unamjua yule shangazi yake ambaye ana mdomo namna atakavyomnanga?
Alisikika Iddi Makengo, uwe unasema basi ulipotoa hiyo mistari
 
So nkamwomba one night stand'up
ila kudate na mambo ya kuchunana mispend,
manz kagda bapa dry bila glass.
kakataa room tukamalizane kwenye nyas.


By:Rapcha voice
 
8501C282-B419-4494-94B0-C37DF33A20E6.jpeg
 
Chasing woman’s validation is the fastest way to Lose her
 
If a woman in Love with has a good relationship with his father the probability for a relationship to last is high
 
Back
Top Bottom