Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Usikute na mleta maada mapenzi ya amuendesha [emoji28]By the way the thread I creat has no guarantee that my relationship are perfect [emoji28][emoji28]
Enjoy
Pqubae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute na mleta maada mapenzi ya amuendesha [emoji28]By the way the thread I creat has no guarantee that my relationship are perfect [emoji28][emoji28]
Enjoy
Pqubae.
😅😅😅😅😅 haoana sijazinguliwa na anybodyPole sana Paulina sema jamaa sio vizuri anavyokuzingua angejua we ni pisi flani kali hivi ulipita mitaa ya Falkland wadau wote hawakuchoka kukuangalia asingekuzingua hivi
Alisikika Iddi Makengo, uwe unasema basi ulipotoa hiyo mistariUnamdhalilisha kwa ndugu zake, hivi unajua namna ambavyo mama yake atasemwa?, unamjua yule shangazi yake ambaye ana mdomo namna atakavyomnanga?
[emoji28]sasa nisemeje hapo jamen? Zaidi ya kukubari tu japo sio rahis
Call me Mr Manzese[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] haoana sijazinguliwa na anybody
I just nimeamua tu kusema uelewa wangu juu ya haya mambo Mr
Mkuu nimependa zile semina zako ulizokuwa ukitoa mkoani kiufupi umenijenga sana sikutegemea kijana mdogo kama wewe muelewa na smart vileCall me Mr Manzese
Ngoja niendelee kusoma uelewa wako mwaga nondo hizo
Nashukuru kwa mchango wako maneno yako yananipa moyo nizidi kupenda kufahamiana na watu kama Paula Pau Montanna hapo juuMkuu nimependa zile semina zako ulizokuwa ukitoa mkoani kiufupi umenijenga sana sikutegemea kijana mdogo kama wewe muelewa na smart vile