Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Wee wacha kufukua makaburi bwana.🤣🤣🤣🤣 Aisee hii technologia balaa kweli inakuumbua.
Oya ebu wacha zako olewa bwana ata kwa mahari ya laki mbili🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23] lione likichwa lake
 
Wee wacha kufukua makaburi bwana.🤣🤣🤣🤣 Aisee hii technologia balaa kweli inakuumbua.
Oya ebu wacha zako olewa bwana ata kwa mahari ya laki mbili🤣🤣🤣🤣
Afu et comment umeifuta [emoji23] umeumbuka nyau wee
 
Mi nikioa tutachomana visu huko ndani, nilishanusulika kuchomwa kisu na mwanamke ndani nyie acheni kabisa, bila majirani kuvunja mlango sikuio kungekua na maiti moja wapo na mwingine kuozea jela
 
Kumbe Allah alijua ndio maana huko peponi akawaandalia wake 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…