Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Attachments

  • 20221016_121348.jpg
    20221016_121348.jpg
    1.1 MB · Views: 3
Hao waislamu unaotaka waoe wanawake wawili,watatu mpaka wanne wako wapi,ni hawa hawa wa chipsi mayai au kuna wengine?maana mtu ana mke mmoja bado anatembea naye mara moja kwa wiki au wiki mbili,sasa akiwa na 4 itakuwaje hiyo......
MTU mwenye wanawake wengi hua anakua na hamu ya tendo la ndoa KULIKO mwanye mwanamke mmoja.
Wasukuma,wamasaidi na Wazee Wetu WALIKUA na wake wengi na WALIKUA wanafanya tendo la ndoa Kwa wake zao bila tatizo. Tatizo SIO Chips. Watu wanasingizia Chips. Chips ni chakula kama vyakula vingine.
Wanawake wanakula sana chips Lakini ukahaba ndio umeongezeka. Ingekua chips inapunguza nguvu za kujamiiana basi Hata wanawake wangekua Hawana hamu ya kujamiiana.
Tatizo ni umaskini umekithiri sana na Maisha yanahitaji pesa Kila kukicha na wanawake wanatumia miili Yao kama Biashara. Mwanaume anahangaika kutwa nzima akitafuta pesa halafu akifika Nyumbani mwanamke anataka pesa zaidi kuliko tendo la ndoa . Kwa Karne hii nguvu za kiume ni pesa. Huna labda uwe na nguvu za panya rod SIO za kiume. Maisha kuanzia asubuhi mpaka jioni ni pesa. bandle pesa,umeme Pesa, usafi pesa, Chakula pesa, elimu Bora Kwa Watoto pesa, ulinzi pesa, dada Wa KAZI pesa. Kabla mwanaume hajalala ameshapewa orodha ya mahitaji zaidi ya Kumi na uwezo wake ni mwawili. Nguvu ya kiume zitatoka wapi Hata kama anakula sementi.
Lakini pia tunadanganyana kuwa vyakula vya asili ni ugali . Ni uongo mtupu mahindi yaliletwa na Wareno. Sasa hiyo asili ni ipi. Miaka hiyo walishayabadili wanavyotaka mapaka wakaona Kwao hayafai kula Tena ni chakula cha Ng'ombe na nguruwe.

Ndio MAANA wanaume wanaolelewa Kwa Sasa wanaongezeka mana Wanawake wanatumia vipato vyao kuwahonga badala ya kuwasaidia wanaume zao majukumu na kuwapa nguvu za kiume wanadhani kuwa huku mitaani Kwa wasumkuma mikokoteni ndio Kuna nguvu za kiume kumbe ni Kwa sababu hawadaiwi Matumizi.
 
Duh...hapa bado hatujahesabu watumwa aliokuwa analala nao...maana hawahesabik
ALIKUWA RIJALI KISAWASAWA... ALIKUWA ANA UWEZO WA KWA USIKU MMOJA ANAPITA KILA MKEWE...

SIO KAMA NINYI ETI MNAJIFANYA UTAWA... MWISHO WA SIKU MNATAKANA WANAUME WANAUME...
 
Duh...hapa bado hatujahesabu watumwa aliokuwa analala nao...maana hawahesabiki
Hakuwahi kuwa na watumwa wa kudumu, aliwahi kukubali kupokea mtumwa aliyepewa (maana kipindi hicho utumwa ulitapakaa) na yeye akawaavhia huru.

na alioa wengi kwa maana desturi za kipindi hijo ni kwamba inapotokea vita na wanawake wengi wakawa wajane ndoa ilionekana ndio kimbilio la kuhifadhi hao wanawake kiuchumi na kuwalinda, hapo kwenye watumwa wa kulala nao hapo ndio penye uongo zaidi mtume hakuwahi kuwa na watumwa wa kulala nao, watumwa wake aliwaacha huru, miongoni mwa wake zake baadhi walikuwa ni watumwa aliopewa. Akawaachia huru, ila kwa zama hizo ikabidi awaoe maana ilikuwa ndio tamaduni za kipindi hicho

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hao waislamu unaotaka waoe wanawake wawili,watatu mpaka wanne wako wapi,ni hawa hawa wa chipsi mayai au kuna wengine?maana mtu ana mke mmoja bado anatembea naye mara moja kwa wiki au wiki mbili,sasa akiwa na 4 itakuwaje hiyo......
Hivi kweli huko Ulaya, America waislam wanaweza kumudu wake zaidi ya mmoja kweli??
 
Kuwa na mwanamke ni lazima muoane? Mbona kuna watu wengi tu wapo pamoja as couples bila ndoa.
 
Siku ya jana kuna mwanaume kamn'goa mkewe jino la mbele la juu kwa hasira kali[emoji850]
 
Hakuwahi kuwa na watumwa wa kudumu, aliwahi kukubali kupokea mtumwa aliyepewa (maana kipindi hicho utumwa ulitapakaa) na yeye akawaavhia huru.

na alioa wengi kwa maana desturi za kipindi hijo ni kwamba inapotokea vita na wanawake wengi wakawa wajane ndoa ilionekana ndio kimbilio la kuhifadhi hao wanawake kiuchumi na kuwalinda, hapo kwenye watumwa wa kulala nao hapo ndio penye uongo zaidi mtume hakuwahi kuwa na watumwa wa kulala nao, watumwa wake aliwaacha huru, miongoni mwa wake zake baadhi walikuwa ni watumwa aliopewa. Akawaachia huru, ila kwa zama hizo ikabidi awaoe maana ilikuwa ndio tamaduni za kipindi hicho

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mzee alilala na watumwa mpaka aisha akawa analalamika....ikabidi Allah ashushe ile verse ya kuruhusu waislam kulala na watumwa ili kumtetea.

Ndio maana aisha ailsema "Allah yuko fasta sana kumtetea Muhamad"
Hizi zote ushahidi upo.
 
Nani alikua anaipigia chapuo 10M hapa ushabadilika eti...this is JF
Wee wacha kufukua makaburi bwana.🤣🤣🤣🤣 Aisee hii technologia balaa kweli inakuumbua.
Oya ebu wacha zako olewa bwana ata kwa mahari ya laki mbili🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom