Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Eh wewe mzab zab sijakufikiaMnanisingizia, wapo watu kama Zero IQ Mzee wa kupambania Unique Flower hao ndio wamepinda kuliko mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh wewe mzab zab sijakufikiaMnanisingizia, wapo watu kama Zero IQ Mzee wa kupambania Unique Flower hao ndio wamepinda kuliko mie
Unao wangapi?Hili sasa ndio neno. Tuoe wanawake wengi kataaa ndoa ya mke mmoja.
Sina mke kwa sasa ila kama vipi njoo nikuwowe bwana.Unao wangapi?
Wee kwa vituko vyako nakuweza wapi. Wee balaaa kabisaEh wewe mzab zab sijakufikia
Eh itakuwa wewe ndio yule mwanga ulikuwa unaniwangiaWee kwa vituko vyako nakuweza wapi. Wee balaaa kabisa
Mtume hakufikisha 13 kweli?Yes, mtume alikiuka maagizo ya Allah ya mwisho wanne yeye akaenda mpaka 11.
Kwani wee hupendi kumwagiwa proteinEh itakuwa wewe ndio yule mwanga ulikuwa unaniwangia
MTU mwenye wanawake wengi hua anakua na hamu ya tendo la ndoa KULIKO mwanye mwanamke mmoja.Hao waislamu unaotaka waoe wanawake wawili,watatu mpaka wanne wako wapi,ni hawa hawa wa chipsi mayai au kuna wengine?maana mtu ana mke mmoja bado anatembea naye mara moja kwa wiki au wiki mbili,sasa akiwa na 4 itakuwaje hiyo......
Duh...hapa bado hatujahesabu watumwa aliokuwa analala nao...maana hawahesabikiMtume hakufikisha 13 kweli?
ALIKUWA RIJALI KISAWASAWA... ALIKUWA ANA UWEZO WA KWA USIKU MMOJA ANAPITA KILA MKEWE...Duh...hapa bado hatujahesabu watumwa aliokuwa analala nao...maana hawahesabik
Hakuwahi kuwa na watumwa wa kudumu, aliwahi kukubali kupokea mtumwa aliyepewa (maana kipindi hicho utumwa ulitapakaa) na yeye akawaavhia huru.Duh...hapa bado hatujahesabu watumwa aliokuwa analala nao...maana hawahesabiki
Hivi kweli huko Ulaya, America waislam wanaweza kumudu wake zaidi ya mmoja kweli??Hao waislamu unaotaka waoe wanawake wawili,watatu mpaka wanne wako wapi,ni hawa hawa wa chipsi mayai au kuna wengine?maana mtu ana mke mmoja bado anatembea naye mara moja kwa wiki au wiki mbili,sasa akiwa na 4 itakuwaje hiyo......
Alikuwa malaya, mbakaji...na sex addictALIKUWA RIJALI KISAWASAWA... ALIKUWA ANA UWEZO WA KWA USIKU MMOJA ANAPITA KILA MKEWE...
SIO KAMA NINYI ETI MNAJIFANYA UTAWA... MWISHO WA SIKU MNATAKANA WANAUME WANAUME...
Mzee alilala na watumwa mpaka aisha akawa analalamika....ikabidi Allah ashushe ile verse ya kuruhusu waislam kulala na watumwa ili kumtetea.Hakuwahi kuwa na watumwa wa kudumu, aliwahi kukubali kupokea mtumwa aliyepewa (maana kipindi hicho utumwa ulitapakaa) na yeye akawaavhia huru.
na alioa wengi kwa maana desturi za kipindi hijo ni kwamba inapotokea vita na wanawake wengi wakawa wajane ndoa ilionekana ndio kimbilio la kuhifadhi hao wanawake kiuchumi na kuwalinda, hapo kwenye watumwa wa kulala nao hapo ndio penye uongo zaidi mtume hakuwahi kuwa na watumwa wa kulala nao, watumwa wake aliwaacha huru, miongoni mwa wake zake baadhi walikuwa ni watumwa aliopewa. Akawaachia huru, ila kwa zama hizo ikabidi awaoe maana ilikuwa ndio tamaduni za kipindi hicho
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
unataka kusema Liverpool VPN anataka kuolewa?Hao wanaopiNga kuowa wanawake wanataka kuolewa wao
😁😁 Watapelekewa 🔥🔥
Wee wacha kufukua makaburi bwana.🤣🤣🤣🤣 Aisee hii technologia balaa kweli inakuumbua.Nani alikua anaipigia chapuo 10M hapa ushabadilika eti...this is JF