Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,247
- 1,815
Asante Mr.pole kwa kufiwa mama, kama bado umri unahitajia na hujapata mwingine please naweza kufidia alipopaacha ndugu yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mr.pole kwa kufiwa mama, kama bado umri unahitajia na hujapata mwingine please naweza kufidia alipopaacha ndugu yetu.
Ukweli mtupu. Wacha tuwagegede tuu🤣🤣🤣🤣Wanawake ni wabinafaai Sana.Angalia wanaume walichifanyiwa kisa malkia na waziri mkuu Magreth Thatcher.Kuna mwenzetu anaishi kama ndege kisa mkewe kaona picha alizotumiana na jimama.Usisahau na ya Emmanuel Ebue
tuko pamoja.Asante Mr.
Nyinyi ndio ambao jambo mkilipenda ndio mnalisisitiza sana hata kama ushahidi wa kusisitiza kwake ni mdogoHaya basi tuelezane kisomi...
Mtume ﷺ aliwahi kusema, "HATOKUWA MUUMINI WA SAWA SAWA MMOJA WENU MPAKA IWE HAMU YAKE NI KUNIFUATA YALE NILIYOKUJA NAYO"
Katika aliyokuja nayo na ndoa ya mathnaa si imo? Hapo tutoke tuje kwenye aya...
Kwenye aya Allaah anasema... "BASI NA OENI MNAOWAPENDA WANAWAKE WAWILI, WATATU NA WANNE, IKIONA MTACHELEA UADILIFU MMOJA"
Baadhi ya wanawachuoni wafasiri wa Quran... KWA MTU MWENYE UWEZO NA UADILIFU ATAKUWA ANAWAJIBIKA KUOA ZAIDI YA MMOJA NA SIO SUNNA TENA... VILEVILE AMRI YA KUOA HAIJAANZA NA MMOJA IMEANZA NA WAWILI KAMA ASLI...
Vile kiprotokali... WA LILLAAHI MATHALUL A'LAA... Tutolee mfano... "RAIS AKIJA MTAANI KWAKO AKAKUPA USHAURI KWAMBA ANAONA NI BORA UKAHAMISHA NYUMBA YAKO UPISHE BARABARA", JE HUO USHAURI WA RAISI NI USHAURI AU AMRI?
SASA HUYO NI BINADAMU AMBAYE NI RAIS... KWA ALLAAH SI AULAA ZAIDI...
NJOO DARSANI NIKUFUNDISHE KUHUSU SUNNA, WAAJIB, MUSTAHABBU, MAKRUUHUN, NA HARAAM... ILI USIELEWE DINI KIPOTOFU...
Alafu acha ubishi usije ukawa na pupa ya kujibu hii comment kutaka ushindani bila elim... Ongelea dini kwa elim eeh... Sawa ndugu yangu eeh..?
Hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo linalokubalika Kiislamu, ila sasa sio ndio mshuhudie kukubalika huko kwa maelezo ambayo hayapo kwenye Quran, Eti 'imeamrishwa' kuoa mke zaidi ya mmoja.Nyinyi ndio ambao jambo mkilipenda ndio mnalisisitiza sana hata kama ushahidi wa kusisitiza kwake ni mdogo
Kumbe hadithi inasema hivi:
Mtume ﷺ aliwahi kusema, "HATOKUWA MUUMINI WA SAWA SAWA MMOJA WENU MPAKA IWE HAMU YAKE NI KUNIFUATA YALE NILIYOKUJA NAYO"
Ikaishia hapo, sasa nyinyi na hao wengineo mkainyumbua hiyo hadithi ya mistari mingapi sijui mkaijaza kurasa na mnaitumia Kututumusha sunna kuwa ni vitu vya amri??? Amri anatoa Allah aisee, na amri ziko katika Qurani sio hadithi zilizoandikwa na wanadamu kwa masimulizi yao hata kama walikuwa maswahaba. Amri zinatoka katika Quran mzee, katika hadithi kuna miongozo
Ingekuwa mitala ni amri hiyo kauli ingetokea kwenye Quran sio kwenye hadithi
Umeshahitomisha Uzi ufungwe!📌⛏️Asiyetaka kuoa anayepinga kuoa. Huyo aoelewe tu huo ndio utaratibu.
Huo ni utaratibu wa kinyama... Sio wa kibinadamu... Sisi binadamu tumewekewa utaratibu na Muumba wetu lazima tuufate... Ukiishi vinginevyo wewe hata mnyama ana afadhali...mtoa mada sasa kuna haja gan ya kuoa na mbususu zipo tu zimezaga unajipatia bila hata kuoa? sawa wewe oa ila ujue pia uliemuoa pia unakuta anatoa kwa mtu tu free😁
Nakaziamshaanza kujidinya na madildo endeleeni mapaka ya kike tutakula shoo kwa hamu za kukojoa tu mtajioa wenyewe,
Nakazia Tenamtoa mada sasa kuna haja gan ya kuoa na mbususu zipo tu zimezaga unajipatia bila hata kuoa? sawa wewe oa ila ujue pia uliemuoa pia unakuta anatoa kwa mtu tu free😁
Hahaha nipe sifa za neno la amri katika Quran... Alafu nitolee mifano katika Quran... Alafu linganisha na lile lililokuja kutajwa na Allaah katika suuratun Nisaa... Je tofauti yao ni nini?Nyinyi ndio ambao jambo mkilipenda ndio mnalisisitiza sana hata kama ushahidi wa kusisitiza kwake ni mdogo
Kumbe hadithi inasema hivi:
Mtume ﷺ aliwahi kusema, "HATOKUWA MUUMINI WA SAWA SAWA MMOJA WENU MPAKA IWE HAMU YAKE NI KUNIFUATA YALE NILIYOKUJA NAYO"
Ikaishia hapo, sasa nyinyi na hao wengineo mkainyumbua hiyo hadithi ya mistari mingapi sijui mkaijaza kurasa na mnaitumia Kututumusha sunna kuwa ni vitu vya amri??? Amri anatoa Allah aisee, na amri ziko katika Qurani sio hadithi zilizoandikwa na wanadamu kwa masimulizi yao hata kama walikuwa maswahaba. Amri zinatoka katika Quran mzee, katika hadithi kuna miongozo
Ingekuwa mitala ni amri hiyo kauli ingetokea kwenye Quran sio kwenye hadithi
WEWE TATIZO LAKO NISHALIJUA... WEWE NI MTU AMBAYE HUZIKUBALI HADITHI ZA MTUME... HILO NI TATIZO... NA NI MAPUNGUFU KATIKA KUSHUHUDIA SHAHADA YA PILI...Hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo linalokubalika Kiislamu, ila sasa sio ndio mshuhudie kukubalika huko kwa maelezo ambayo hayapo kwenye Quran, Eti 'imeamrishwa' kuoa mke zaidi ya mmoja.
Hakuna amri hiyo.
Quran imejitosheleza msiiongezee chumvi wala msiipunguze
Na hiyo hadithi uliyoshupalia kumbe ni fupi na haisemi direct kuwa mitala ni amri.
Kuwa makini usije gegedwa na wewe!Rule #2: Kataa Ndoa , Gegeda Pisikali
❤️❤️ mpenzi wangu unajua wewe ndio funguo ya maisha yangu, niende wapi mama yangu roho yangu mie.. au wametumwaaa tuu kuniharibiaNational Anthem njoo huku ujibu tuhuma hizi. So hunipendi unanichezea😒
Darlin ndio funguo yangu ya maisha,🙆🙆🙆🙆🙆Eeeeh....... sophy27 njoo huku National Anthem anamlaghai bintie wa watu
wanatufitinisha ila hawawezi kututenganisha mpenzi wanguWatu wanatuonea wivu mpenzi mie sijui kwanini
ustaadh haya yametajwa aya ipi?Sijazungua mabao hapo... Nimezungumzia nyakati za kuwa wote...
Sasa nikupe siri nyingine...
Mwanaume anayepiga bao nyingi ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume... Njooni inbox niwatibie BI IDHNILLAAH...
Mwanaume mwenye nguvu hasifiki kwa idadi ya bao... Anasifika kwa MUDA ANAOTUMIA KUTOKA BAO MOJA KWENDA JINGINE... Hiyo ni moja...
Mbili, Mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye... Ila atasifika kwa IDADI YA MABAO ANAYOMPIGISHA MWANAMKE(anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).