Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Salaam,

Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...

Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?

Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...

MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...

OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...

Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...

MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...

Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?

Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).

Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.

LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.
Kwa hiyo unashauri watu waoe kwa ajili ya ngono tu? Unawapoteza wenzako ndoa ni zaidi ya ngono
 
Kivipi mkuu?
Wanawake ni wabinafaai Sana.Angalia wanaume walichifanyiwa kisa malkia na waziri mkuu Magreth Thatcher.Kuna mwenzetu anaishi kama ndege kisa mkewe kaona picha alizotumiana na jimama.Usisahau na ya Emmanuel Ebue
 
Hapo kwenye Uislamu wanaume wameamrishwa kuoa zaidi ya mke mmoja, sio kweli na kama umefundishwa hivyo umedanganywa

Katika Uislamu kuna mambo yameamrishwa mfano kufuata nguzo tano za Uislamu (kushuhudia kuwa Mungu ni mmoja tu, kusali sala tano, kufunga mwezi Ramadhani, kutoa zaka, na kwenda kuhiji Makka kama mtu ana uwezo huo), pia tumeamrishwa kupenda na kuwatunza wazazi wetu wote wawili, pia tumeamrishwa kukemea mabaya yani katika Uislamu mtu hatakiwi kukaa kimya aonapo jambo lililokuwa sio sahihi kulingana na dini.

Sasa hilo suala la kuoa mke zaidi ya mmoja sio maamrisho, ni sunna (kwa maana mtume mwenyewe alilifanya) na ni muongozo toka kwenye Quran (kwa maana ni namna ya kufanya wanawake waolewe katika vipindi ambavyo wanaume wamekufa vitani ama pia kuzuia uzinzi, kuhakikisha kila mwanamke ana ndoa yake na ana mtu wa kumlinda na kumtunza)

Kwahiyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio amri, ni jambo tu ambalo Qurani haioni ubaya wake, kama watu watalifanya kiadilifu.
Haya basi tuelezane kisomi...

Mtume ﷺ aliwahi kusema, "HATOKUWA MUUMINI WA SAWA SAWA MMOJA WENU MPAKA IWE HAMU YAKE NI KUNIFUATA YALE NILIYOKUJA NAYO"

Katika aliyokuja nayo na ndoa ya mathnaa si imo? Hapo tutoke tuje kwenye aya...

Kwenye aya Allaah anasema... "BASI NA OENI MNAOWAPENDA WANAWAKE WAWILI, WATATU NA WANNE, IKIONA MTACHELEA UADILIFU MMOJA"

Baadhi ya wanawachuoni wafasiri wa Quran... KWA MTU MWENYE UWEZO NA UADILIFU ATAKUWA ANAWAJIBIKA KUOA ZAIDI YA MMOJA NA SIO SUNNA TENA... VILEVILE AMRI YA KUOA HAIJAANZA NA MMOJA IMEANZA NA WAWILI KAMA ASLI...


Vile kiprotokali... WA LILLAAHI MATHALUL A'LAA... Tutolee mfano... "RAIS AKIJA MTAANI KWAKO AKAKUPA USHAURI KWAMBA ANAONA NI BORA UKAHAMISHA NYUMBA YAKO UPISHE BARABARA", JE HUO USHAURI WA RAISI NI USHAURI AU AMRI?

SASA HUYO NI BINADAMU AMBAYE NI RAIS... KWA ALLAAH SI AULAA ZAIDI...

NJOO DARSANI NIKUFUNDISHE KUHUSU SUNNA, WAAJIB, MUSTAHABBU, MAKRUUHUN, NA HARAAM... ILI USIELEWE DINI KIPOTOFU...

Alafu acha ubishi usije ukawa na pupa ya kujibu hii comment kutaka ushindani bila elim... Ongelea dini kwa elim eeh... Sawa ndugu yangu eeh..?
 
Kwahiyo Qurani imezungumzia mtu kuoa zaidi ya mke mmoja ila kusema kuwa 'imeamrisha' huko ni kupotosha.

Ingekuwa amri basi ungeona kiila mwanaume wa Kiislamu ana mke zaidi ya mmoja. Ila wanaooa mke zaidi ya mmoja ni wachache kuliko waliooa mke mmoja, kwasababu sio amri.

Mambo ambayo ni amri katika uislamu yako wazi na ndio tunapigian kelele kila siku, utasikia sala bora kuliko usingizi, kuleni ambavyo sio haram, heshimu mama upate radhi zake, ila hakuna shekhe anaye sisitiza mtu aoe mke zaidi ya mmoja, kwasababu hilo ni suala la mtu binafsi
Hijja ni Amri au sunna?
 
Kwa hiyo unashauri watu waoe kwa ajili ya ngono tu? Unawapoteza wenzako ndoa ni zaidi ya ngono
Kaoe alafu mwambie mkeo hapa hakuna ngono... Tunafanya mambo mengine ya wanandoa ila ngono hakuna.. Alafu uje kuniambia nini kimetokea...
 
Ulichoandika ni tofauti kabisa na nilichomaanisha. Soma uelewe, usikurupuke
Si umesema ndoa ni zaidi ya ngono... Hauoi kwa ajili ya ngono tu...

Na mimi nakujibu... NDOA KAZI YAKE NI KUHALALISHA NGONO... KUTOKA JINA LA ZINAA NJE YA NDOA... NA KUWA TENDO LA NDOA TAKATIFU...

KWAHIYO TUNAOANA ILI TUTENDE TENDO LA NDOA KUHALALI...
 
Si umesema ndoa ni zaidi ya ngono... Hauoi kwa ajili ya ngono tu...

Na mimi nakujibu... NDOA KAZI YAKE NI KUHALALISHA NGONO... KUTOKA JINA LA ZINAA NJE YA NDOA... NA KUWA TENDO LA NDOA TAKATIFU...

KWAHIYO TUNAOANA ILI TUTENDE TENDO LA NDOA KUHALALI...
Uko sahihi
 
Salaam,

Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...

Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?

Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...

MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...

OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...

Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...

MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...

Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?

Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).

Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.

LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.
mshaanza kujidinya na madildo endeleeni mapaka ya kike tutakula shoo kwa hamu za kukojoa tu mtajioa wenyewe,
 
Back
Top Bottom