Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Ameniambia nisisikilize ya watu wanataka kutuharibia😆😆… akikosea akasema I’m sorry he meant it😁Mwenzio ana sifika...............
Mie hadi naogopa 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameniambia nisisikilize ya watu wanataka kutuharibia😆😆… akikosea akasema I’m sorry he meant it😁Mwenzio ana sifika...............
Mie hadi naogopa 😂😂
🙆🙆🙆🙆🙆Eeeeh....... sophy27 njoo huku National Anthem anamlaghai bintie wa watuAmeniambia nisisikilize ya watu wanataka kutuharibia😆😆… akikosea akasema I’m sorry he meant it😁
Hahahaa kwa utafiti gani....?KWA JINSI ULIVYO ANDIKA UZI WAKO, NI KAMA WATU WANAOA KWA AJILI YA UNYUMBA.
UNYUMBA NI ASILIMIA 15 TU,YA MAISHA YA MAHUSIANO KUNA MAISHA MENGINE YENYE KUBEBA 85%
NAUNGA MKONO KAMPENI YA WANAUME KUACHA KUOA.
ZAMA ZETU HIZI KUOA NI KUJITAFUTIA MATATIZO YA KUJITAKIA
Mara nyingi mtu mwenye tabia ya kukimbia matatizo ni mwanamke...KWA JINSI ULIVYO ANDIKA UZI WAKO, NI KAMA WATU WANAOA KWA AJILI YA UNYUMBA.
UNYUMBA NI ASILIMIA 15 TU,YA MAISHA YA MAHUSIANO KUNA MAISHA MENGINE YENYE KUBEBA 85%
NAUNGA MKONO KAMPENI YA WANAUME KUACHA KUOA.
ZAMA ZETU HIZI KUOA NI KUJITAFUTIA MATATIZO YA KUJITAKIA
Moja katika njia ambayo wanawake pamoja na wazazi wao kumkataa mwanaume wasiomtaka... Ni kumtajia mahari kubwa ujipime mwenyewe... Ujikatae mwenyewe...Kwa hiyo mimi nilieambiwa mahari kubwa nilitengenezewa mazingira ya kushindwa
Hata hiyo siku wapo period inabidi kuwe na sehemu unahudumiwa... Hutakiwi kuikosa hata siku moja...Wanaume huwa tunataka hiyo kitu kila siku kila muda tunaiwaza wengi wenu mnakuwa mnaona ni kikwazo .Every time we think pussy.Mngekuwa hamtushindwi mngeitoa siku zote kasoro ambazo hampo MPeriod .
National Anthem njoo huku ujibu tuhuma hizi. So hunipendi unanichezea😒🙆🙆🙆🙆🙆Eeeeh....... sophy27 njoo huku National Anthem anamlaghai bintie wa watu
Hapo kwenye Uislamu wanaume wameamrishwa kuoa zaidi ya mke mmoja, sio kweli na kama umefundishwa hivyo umedanganywaSalaam,
Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...
Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?
Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...
MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...
OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...
Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...
MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...
Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?
Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).
Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.
LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.
Hapo kwenye Uislamu wanaume wameamrishwa kuoa zaidi ya mke mmoja, sio kweli na kama umefundishwa hivyo umedanganywa
Kabisa [emoji1787][emoji1787] ni kama kifungua kinywaHata hiyo siku wapo period inabidi kuwe na sehemu unahudumiwa... Hutakiwi kuikosa hata siku moja...
Muite kwa nguvu ma anguNational Anthem njoo huku ujibu tuhuma hizi. So hunipendi unanichezea😒
pole kwa kufiwa mama, kama bado umri unahitajia na hujapata mwingine please naweza kufidia alipopaacha ndugu yetu.AbuuMaryam Marehemu mme wangu alishawahi kuniambia kuwa ndoa ni ya wanaume wenye akili timamu. Ukiona wanakupinga sana ujue ni tatizo hilo.
Mie naleta mil mbili basi nikuwowe mrembo. Hilo takonskonsi halipaswi kukaa ndani huku halipapaswiAllah akinijaalia sihitaji mahari kubwaaaa huwezi amin[emoji23]
Mia mbili hata sabuni hainunui[emoji16],Mie naleta mil mbili basi nikuwowe mrembo. Hilo takonskonsi halipaswi kukaa ndani huku halipapaswi
Milion mbili bwana wewe....🤣🤣🤣🤣Mia mbili hata sabuni hainunui[emoji16],