qualalumpagrinder
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 464
- 806
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzeeAisee na kutumia Tramadol ukaachwa? Ilikuwaje?
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzeeAisee na kutumia Tramadol ukaachwa? Ilikuwaje?
Oyaa....mkuu we acha tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzee
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
😭😭😭Kabisa roho imeniuma jamaniAisee na kutumia Tramadol ukaachwa? Ilikuwaje?
😅😅😅😅 viswaswaduYanini kwenda baharini Kuvua wakati mtaani wapo wa kumwaga tena wakukaanga?
Kaushaa 😂😂Onhoo,washakuchukulia tayari
Yule yule mkeo au mwingine😀😀😭😭😭Kabisa roho imeniuma jamani
Pole bro.😭😭😭Kabisa roho imeniuma jamani
Nakazia na kamba ya kataniHeshimu mahusiano ya wengine, anzisha wa kwako. Yanini kuhangaika na samaki aliyekwisha vuliwa wakati kuna samaki wengi baharini.
KimeliaHeshimu mahusiano ya wengine, anzisha wa kwako. Yanini kuhangaika na samaki aliyekwisha vuliwa wakati kuna samaki wengi baharini.
Pole sana, its not the end of life, songa mbele utampata anaekufaaNimepigwa kibuti😭😭
Huonjwi?Nakazia na kamba ya katani
Maumivu ya kuachwa ni tiba ya maradhi mbali mbaliHeshimu mahusiano ya wengine, anzisha wa kwako. Yanini kuhangaika na samaki aliyekwisha vuliwa wakati kuna samaki wengi baharini.
Mimi sio mchuzi mkuu, kaonje mchuzi jikoni kama chumvi imekoleaHuonjwi?
leo umekubali ndoa mwanetu😂Kurundikana Kuna Raha yake.
Asante...kweli wewe sio mchuzi...na mimi sio mkuuMimi sio mchuzi mkuu, kaonje mchuzi jikoni kama chumvi imekolea
Sawa, turudi kwenye mada sasaAsante...kweli wewe sio mchuzi...na mimi sio mkuu
Inauma...lakini tujipe moyo na kusonga mbele.Sawa, turudi kwenye mada sasa
Baridi na mvua Kali sheikh.leo umekubali ndoa mwanetu😂
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], this is bongo[emoji23][emoji23][emoji23]Kishaumana[emoji3][emoji3][emoji3]
Songa mbele kama injili
AsantePole sana, its not the end of life, songa mbele utampata anaekufaa