Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Asante sanaHakika kupewa tag na role model sio mchezo mzee.. im humbled fam
Hongera Saint Anne kwa kukubalika na huyu kibopa [emoji4][emoji4][emoji4] and nakukubali pia the REALEST
Asante Sana [emoji3590]
Huyu simiss akhsante kwa kunisaidia kumtag.
Namkubali pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana
Nimefurahi pia amenisaidia kuwasilisha mawazo yangu kwa kukutag[emoji171]
Super Villain we love you [emoji3590]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tag unaowakubali tafadhali
Ndio mkuu, nilipata tatizo kulog in kwenye id ya zamani....ila nakubaligi sana thread na comments zako humu
Ahsante dear..wewe ni mmoja Kati ya wadada ninaowakubali Sana humu jf..ujue Hilo.Mkuu,wawili ni wachache mno
Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha
Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoë mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
Shukurani sana mkuu
Mkuu,wawili ni wachache mno
Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha
Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoë mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
Me pia niko sawa, nafurahi pia kuskia habari za uzima wako.
Unasema ulinimiss lakini sioni ukinitafuta!
Katika wote lazima kuna ambao unawakubali zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Super Villain usije haribu kazi za watu [emoji23][emoji23]
[emoji1696][emoji171]Shukrani the saint one [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Ahsante dear..wewe ni mmoja Kati ya wadada ninaowakubali Sana humu jf..ujue Hilo.
😂😂 Aahh wapi...katika vitu vimenishinda maishani mwangu ni unafiki.Wadada hamuaminiki nyie..hapo ukute piemu huko kuna mtu anachat nae unasema yule Joanah sikapendi kale kadada basi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app