Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ana hata mazoea na mtu yeyote?
Maana yeye anaku-quote kwenye issue zake muhimu mmemalizana.
Sina tena chance ya kubadili id, hivyo ondoa shaka sitakuchanganya tena ni hii forever.Asante my dear,upendo udumu
Ukibadili tena hebu nijulishe na mie nikiwa kama fan wako
Yeah,hii inaweza kuwa sababu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila ndiyo vizuri inaonesha wewe siyo mfuatiliaji sana wa maisha ya watu, kuna watu nikibadili leo kesho wameshajua wenyewe achilia mbali wale niliowaambia.
Kwa taarifa yako nikiamua kumzoea naweza kumzoea
Ni vile tu najua hata nikimwambia hakutakua na lolote litakaloendelea,hata hivyo ni hisia za utani utani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu leo nna hamu ya kugombana na mwanaLiverpoolAisee, ila leo umenipatia.
Hii topic sijui kwa nini nimeiingilia.
Halafu leo nna hamu ya kugombana na mwanaLiverpool
Any suggestion?
Khaa!😄 Na we sio mtu wa mchezomchezoAhsante kwa tag Bella
Mzee wa Kibo palace Hotel 🍂
Yani wewe bhana😂😂😂😂Hutanipata, tafuta wengine.
Mimi niko kwenye mood ya amani na upendo.
😂 😂 😂 😂Yaani kumbe hizo zote ni ID za mtu mmoja.😌
Yani wewe bhana😂😂😂😂
Lini sasa utakua na mood ya ugomvi?manake target ni wewe
Naona katutaja hapaHahahaha wana lindo bora? Kuna Mtumishi Rowin pia
I really appreciate thanks very much
Watumishi waaminifu. Hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna.
Unamkubali Kiranga na nani mwingine?Kaka ongeza wafike hata wanne tuanze kuwa tag, wawili wachache, tunao wakubali ni wengi mno.