Doh!Depal much respect to you kabinti ka fulani...
Hata mimi nakukubali kinyama... na vile wanapenda kukuchokonoa kusudi jeshi la mtu mmoja... Ila yna2 msaliti kipindi cha jino kwa jino haonekani... anakua busy kutafuta khanga ya kujifunga zote hazimtoshi..
😀 😀 😀 Nimekua mtundu kuliko jamaa yake Kidawa... (John)...
True mambo yangu yasikuumize kichwa, niachiege mwenyewe...
Cc: mahondaw
Namkubali sana Khantwe .Nikujuavyo baharia huwezi kutag hata wakuwekee kisu shingoni
Sio wewe acha kiherehere [emoji16][emoji16][emoji16]Hapo kwenye Annah ni Mimi?
ShukraniSikutegemea kutajwa kabisa. Asante sana.
Kwa sababu umetag kihuniKwanini ?
Ipi ina hesabiwa ?
Ngoja nikae kimya.
Sawa nielekeze kutag kiungwana. Kisha nifanye hivyo.Kwa sababu umetag kihuni
Wakwetu wakisema tutaje kuanzia 20+ unitag tafadhali,Kwangu Ni wengi mno..nikiandika hao wawili nitajisuta nafsi.