Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Doh!Depal much respect to you kabinti ka fulani...
Hata mimi nakukubali kinyama... na vile wanapenda kukuchokonoa kusudi jeshi la mtu mmoja... Ila yna2 msaliti kipindi cha jino kwa jino haonekani... anakua busy kutafuta khanga ya kujifunga zote hazimtoshi..
😀 😀 😀 Nimekua mtundu kuliko jamaa yake Kidawa... (John)...
True mambo yangu yasikuumize kichwa, niachiege mwenyewe...
Cc: mahondaw