Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Depal much respect to you kabinti ka fulani...

Hata mimi nakukubali kinyama... na vile wanapenda kukuchokonoa kusudi jeshi la mtu mmoja... Ila yna2 msaliti kipindi cha jino kwa jino haonekani... anakua busy kutafuta khanga ya kujifunga zote hazimtoshi..

😀 😀 😀 Nimekua mtundu kuliko jamaa yake Kidawa... (John)...

True mambo yangu yasikuumize kichwa, niachiege mwenyewe...


Cc: mahondaw
Doh!
 
Back
Top Bottom