Kwahiyo alitakiwa kudate na nani?Lazima tuseme ukweli, huyu mshamba alimletea dharau ms eyez.
Mwangalie tena ms eyes, alafu sema ukweli ni wa kuwa na yule dogo?
Wale watu wako kwenye list wapo wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] raha ya umbea iambatane na evidence.
😋 That’s my babe😘Hapana kizuri changu,ondoa hofu😉
🤣Hatusafirishi ss hivi mvua nyingi, tunazika hapa hapa 😂😂😂
Na sisi washika bomba je?
Wewe unampanikisha ms eyes akagombane na mshamba lione 😂😂😂Hawa mnawaendekeza mwishoni ndio wanaleta dharau kama hizo
Hao hawafai, kuna vicrew vya kila aina kazi ni hiyoFor real sijawahi hata kufikiria [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila watu
Msanii huyo 😂😂😂🤣 Shem ndio unaniona leo?
Hiyo siijui, labda unipe intro [emoji123]Wengine wanaliwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi siwezi kabisa kugombana🤣.Wewe unampanikisha ms eyes akagombane na mshamba lione 😂😂😂
Walikuwa wanatoleana siri zao za chini ya carpet 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23] wanagombania nn? Maana wote huwa wanalalamika hawapendwi
Kama si la BRT mi siji sasa. Hayo mapya hayana mabomba na ndo tumezoea. Vinginevyo,mawili madogo ya T/NyukiMtapanda mabasi mapya kampuni kama 5 ziruhusiwe kuelekea Kaskazini na kurudi, na hivi sasa hivi safari zinaanza saa saba na tisa usiku...
Wote tutafika Kaskazini kwa wakati mradi tuu kusiwe na foleni barabarani hadi kero.
Msisitizo mabasi pia yawe plate number E.
Wale wa ndege waanze kukata tiketi mapemaa.
Kweli ehMimi siwezi kabisa kugombana🤣.
Nakunyamazia tu kimya nikiona sikuelewi
Hivi muda wa kuanzisha vi crew wanatoa wapi?Hao hawafai, kuna vicrew vya kila aina kazi ni hiyo
Akuuu sitaki kusutwa me 🤣🤣🤣Hiyo siijui, labda unipe intro [emoji123]
Ukweli nilikua sikufahamu, humu mm naingia nafata nyuma alipo lamomy/cute wife. Kwa hiyo post nyingi hata sizijui[emoji1787] Shem ndio unaniona leo?
NdioKweli eh
Anhaa, pole.Ukweli nilikua sikufahamu, humu mm naingia nafata nyuma alipo lamomy/cute wife. Kwa hiyo post nyingi hata sizijui
Jicho hilo la kichokozi ukose ugomvi weweNdio
Kabisa, hasa hasa huyo dogo na crew yake.Kumbe ukiwa na utani ndio wanaleta pigo za namna hii?