Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Lazima tuseme ukweli, huyu mshamba alimletea dharau ms eyez.

Mwangalie tena ms eyes, alafu sema ukweli ni wa kuwa na yule dogo?
Kwahiyo alitakiwa kudate na nani?
Mbona wanaendana au mwenzetu unatumia vigezo gani? 😂😂😂😂

Basi anaendana na me shemeji yake wote wabaya 🤣
 
Na sisi washika bomba je?

Mtapanda mabasi mapya kampuni kama 5 ziruhusiwe kuelekea Kaskazini na kurudi, na hivi sasa hivi safari zinaanza saa saba na tisa usiku...

Wote tutafika Kaskazini kwa wakati mradi tuu kusiwe na foleni barabarani hadi kero.

Msisitizo mabasi pia yawe plate number E.

Wale wa ndege waanze kukata tiketi mapemaa.
 
Mtapanda mabasi mapya kampuni kama 5 ziruhusiwe kuelekea Kaskazini na kurudi, na hivi sasa hivi safari zinaanza saa saba na tisa usiku...

Wote tutafika Kaskazini kwa wakati mradi tuu kusiwe na foleni barabarani hadi kero.

Msisitizo mabasi pia yawe plate number E.

Wale wa ndege waanze kukata tiketi mapemaa.
Kama si la BRT mi siji sasa. Hayo mapya hayana mabomba na ndo tumezoea. Vinginevyo,mawili madogo ya T/Nyuki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom