Kijiwe kimenoga sana hapa leoDah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka nataka kuzimia japo sielewi hata kinajadiliwa Nini.
Nani anagawa ajira nikaombe jobless Mimi.
Imekua sekretarieti ya ajira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] List ni ndefu hata serikali yenyewe haina idadi kubwa km hiyo
Sijui ataibuka na mpya gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikokotoo vinakataa kabisa kugawanya mafao na viinua mgongo.
Wahitaji ni wengi kuliko ajira enyewe.
Kheeeh kumbe ni Extro, mbna hata siaminii.Zile chats za penseli uliziona alikua anachat na huyo mtu anaitwa extrovet. Pale penseli hakua anaponda mwenyewe
Kama ulikua hujui, ndio umejua sasa
TAMISEMI 😂😂😂Imekua sekretarieti ya ajira
Mkinga huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu utarogwa sahivii wallah.
Muache babu wa watu.
Ht utumishi hawaajiri hiviImekua sekretarieti ya ajira
Yaani hata uzi sijasomaKijiwe kimenoga sana hapa leo
Jf ni kichaka kikubwa 😂😂😂Kheeeh kumbe ni Extro, mbna hata siaminii.
Afu mbna ndo alikua karibu na wale wadada walio na babuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina unafikii mwingii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kantrii kamtaja huko juu, soma vizuri tena.We Coca kwani nani anatoa ajira[emoji23]
Mbona husemi
🤣🤣🤣🤣🤣Vichaa w Jf sio mchezoNilimuonea huruma sana yule dada jamani aliongea kwa uchunguuu
Kafanyaje nae huyo 🤣🤣🤣🤣Weee hadi extro jamaniii
Ngoja nikasome kwanza uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kantrii kamtaja huko juu, soma vizuri tena.
We si ulikuwa rafiki yake jamani hadi kutembeleana mbona unamkana 😆😆We Coca kwani nani anatoa ajira[emoji23]
Mbona husemi
Niko poa kabisa, niliko ni mvua tu yani. Vipi wewe!🤣🤣🤣Honda... mzima lakini?
Shem kamtumbua hukoKafanyaje nae huyo 🤣🤣🤣🤣
Mtasutwa nyie 😂😂😂Shem Sema yote semaaa
Nilitoa elf 30 tatu mchuuMume wangu alimpa mdada elf 30, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee Mjep njoo hapaa.
Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongoDah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka nataka kuzimia japo sielewi hata kinajadiliwa Nini.
Nani anagawa ajira nikaombe jobless Mimi.
Shikamoo 🤭Niko poa kabisa, niliko ni mvua tu yani. Vipi wewe!