Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23] usiwe unanilazimisha kuingia jf bana, napoteza time sana maana naona kila mtu anashangaa mambo ambayo yapo wazi[emoji23][emoji23]

Kila nikitaka kutoka naona sijamaliza[emoji23]
Kalale iko kidude nipe nikusaidie kumalizia 😂😂😂
 
Mi poa,niliko Hali ni tulivu mvua hakuna ila weather Iko cool...nipo hapa nakula ubuyu mzito mzito wa JF citizens nachekaa sana
Ubuyu gani tena mama, sili ubuyu labda unipe juice yake, ichanganywe na ukwaju😁
 
We si ulikuwa rafiki yake jamani hadi kutembeleana mbona unamkana [emoji38][emoji38]
Ngoja nimalize glass nimueleze yeye ilikuaje yeye anaangukia kundi lipi. Unajua uzuri aliokua anachat nao kuhusu mademu wa huku walifikisha yote na chats zote kwa cute wife[emoji23]
 
Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongo

Anaahidi watu ajira wakifika huko anawachunguza walivyo anawapotezea muda alafu baadae akiwa na jamaa zake humu anaanza kuwaponda hao wadada kuwa ni wabaya.
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kweli haya??


Ila jamaa mbona kama ni mtu poa sana
Mtu wa maombi sana,,

Ndio maana wengine tunapambana na ajira portal
Humu jf kumuomba mtu ajira ni kujitafutia matatizo [emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom