Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Sijui ataibuka na mpya gani?
Ss hivi kaamua ajiite kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akirudi atarudi na jipyaa, haishiwagi majambo.

Nadhani yuko depo, si alisemaga kaitwa ile list ya officers wa PCCB, yuko anakula mafunzo akitoka huko ulajiii tyuuh.

Wadada wa JF neema kwao, watake nn sasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akirudi atarudi na jipyaa, haishiwagi majambo.

Nadhani yuko depo, si alisemaga kaitwa ile list ya officers wa PCCB, yuko anakula mafunzo akitoka huko ulajiii tyuuh.

Wadada wa JF neema kwao, watake nn sasa?
Nakojooaaaaaaa 😂😂😂😂
Yuko wapi? Hivi babu kwann hataki kutupumzisha lkn?
 
Nilitoa elf 30 tatu mchuu
Wananisingizia tuu[emoji1787][emoji1787]
Ko ulitoa elf 90? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaniii nasemajeee hebuu nitumie sahivii na mie, kwa kuweka unapajuaa.

Yaan wengine unawapaa, mie hunipiii?
Sikubaliii.
 
Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongo

Anaahidi watu ajira wakifika huko anawachunguza walivyo anawapotezea muda alafu baadae akiwa na jamaa zake humu anaanza kuwaponda hao wadada kuwa ni wabaya.
Kwa hiyo na dada alindika Uzi wa malalamiko ndio naye mmoja wapo au sio shemeji?
 
Kheeeh kumbe ni Extro, mbna hata siaminii.
Afu mbna ndo alikua karibu na wale wadada walio na babuu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina unafikii mwingii.
Huamini vipi? Penseli alimtumia lamomy chats zote mwanzo hadi mwisho akiwa anachat na huyo extrovet

Unafki hiki ndio nilikuwa nasema mara kwa mara watu hawataki kuelewa.
 
Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongo

Anaahidi watu ajira wakifika huko anawachunguza walivyo anawapotezea muda alafu baadae akiwa na jamaa zake humu anaanza kuwaponda hao wadada kuwa ni wabaya.
😂😂😂😂 huu uzi utafutwa nishaona dalili
 
Huamini vipi? Penseli alimtumia lamomy chats zote mwanzo hadi mwisho akiwa anachat na huyo extrovet

Unafki hiki ndio nilikuwa nasema mara kwa mara watu hawataki kuelewa.
Km kweli ni Extro, bas JF ni ya kuiogopaa,
Khaaah mabwakuuuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom