Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikokotoo vinakataa kabisa kugawanya mafao na viinua mgongo.

Wahitaji ni wengi kuliko ajira enyewe.
Sijui ataibuka na mpya gani?
Ss hivi kaamua ajiite kabisa 🤣🤣🤣
 
Zile chats za penseli uliziona alikua anachat na huyo mtu anaitwa extrovet. Pale penseli hakua anaponda mwenyewe

Kama ulikua hujui, ndio umejua sasa
Kheeeh kumbe ni Extro, mbna hata siaminii.
Afu mbna ndo alikua karibu na wale wadada walio na babuu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina unafikii mwingii.
 
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka nataka kuzimia japo sielewi hata kinajadiliwa Nini.


Nani anagawa ajira nikaombe jobless Mimi.
Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongo

Anaahidi watu ajira wakifika huko anawachunguza walivyo anawapotezea muda alafu baadae akiwa na jamaa zake humu anaanza kuwaponda hao wadada kuwa ni wabaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom