Shem wako atakosaje kufika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shem umefika? [emoji23][emoji23][emoji23]
We wapi? 😂😂😂Huamini vipi? Penseli alimtumia lamomy chats zote mwanzo hadi mwisho akiwa anachat na huyo extrovet
Unafki hiki ndio nilikuwa nasema mara kwa mara watu hawataki kuelewa.
Kalale iko kidude nipe nikusaidie kumalizia 😂😂😂[emoji23][emoji23] usiwe unanilazimisha kuingia jf bana, napoteza time sana maana naona kila mtu anashangaa mambo ambayo yapo wazi[emoji23][emoji23]
Kila nikitaka kutoka naona sijamaliza[emoji23]
Kwanza Kwa Nini mnamwita Babu migambuti🤣🤣🤣?ndio anayavaaga halafu kumbe sio kijana ni Mzee!Nakojooaaaaaaa 😂😂😂😂
Yuko wapi? Hivi babu kwann hataki kutupumzisha lkn?
Ubuyu gani tena mama, sili ubuyu labda unipe juice yake, ichanganywe na ukwaju😁Mi poa,niliko Hali ni tulivu mvua hakuna ila weather Iko cool...nipo hapa nakula ubuyu mzito mzito wa JF citizens nachekaa sana
Ngoja nimalize glass nimueleze yeye ilikuaje yeye anaangukia kundi lipi. Unajua uzuri aliokua anachat nao kuhusu mademu wa huku walifikisha yote na chats zote kwa cute wife[emoji23]We si ulikuwa rafiki yake jamani hadi kutembeleana mbona unamkana [emoji38][emoji38]
Sate sauzandi 😂😂😂Shem wako atakosaje kufika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na elf 30 alitoaa, famchezo nn.
🤣🤣🤣🤣🤣Leo kazi unayo....mnyang'anye simu shemejiWe wapi? 😂😂😂
Kantry taratibu emu usinigombanishe na cazee wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanifanya nacheka had mbavu zinaumaa.Kwanza Kwa Nini mnamwita Babu migambuti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]?ndio anayavaaga halafu kumbe sio kijana ni Mzee!
Bff mkalale 😂😂😂We si ulikuwa rafiki yake jamani hadi kutembeleana mbona unamkana 😆😆
CirocShem Leo alichokunywa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu katisha
Hata mama mwenyewe hatoi ajira nyingi km zake
Chukua simu🤣🤣🤣🤣Kalale iko kidude nipe nikusaidie kumalizia 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzii utafungwaa, shem acha bhana.Ngoja nimalize glass nimueleze yeye ilikuaje yeye anaangukia kundi lipi. Unajua uzuri aliokua anachat nao kuhusu mademu wa huku walifikisha yote na chats zote kwa cute wife[emoji23]
Ndio pigo zake akiwa porini ananyapia swala 😂😂😂Kwanza Kwa Nini mnamwita Babu migambuti🤣🤣🤣?ndio anayavaaga halafu kumbe sio kijana ni Mzee!
Waoooh,ila shemeji inaonekana ni kikali hicho maana umechomoa sana betri🤣🤣🤣Ciroc
100%Una uhakika [emoji23][emoji23][emoji23]
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]Hapa bana wanamzungumzia national antem na tabia zake za utapeli na uongo
Anaahidi watu ajira wakifika huko anawachunguza walivyo anawapotezea muda alafu baadae akiwa na jamaa zake humu anaanza kuwaponda hao wadada kuwa ni wabaya.
🤣🤣🤣Nyie watoto watukutu sanaNdio pigo zake akiwa porini ananyapia swala 😂😂😂