Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Uzuri watu wataninyima bundle, ila sio umbea wa PM. Shots zilikuwa zinanifikia tu navyochambwa na kuimbiwa parapanda. Katakuja tu
Halafu nimekumbuka๐Ÿ˜†๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kumbe picha lilianzia kwnye parapanda๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Umekaa unahurumia watu
Kumbe wengine wamekaa wanaimba parapanda๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ngoja Coca aje aweke huyo aliyekuonea.
Ni fedheha sana mtu mzima kufedheheshwa bila sababu๐Ÿคฃ
 
Usinikumbushe bana. Uzuri wa JF bana, unaweza ukasikia story ukacheka au kusikitika; kumbe mhusika ni wewe na haujui maskini. Hadi nilifunga kukemea Roho za mauti; sio kwa kuchuriwa kule. Back to senders
 
Usinikumbushe bana. Uzuri wa JF bana, unaweza ukasikia story ukacheka au kusikitika; kumbe mhusika ni wewe na haujui maskini. Hadi nilifunga kukemea Roho za mauti; sio kwa kuchuriwa kule. Back to senders
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sasahivi nasubiri screenshot tu

Nilishashangaa vya kutosha
 
KENZY
Mzee wa cha Arusha na glass
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ