Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
zingatia nyakunyaku wanakusoma pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi, labda mie ndo nivuruge afu yeye a react, ni innocent guy kwa kweli.
Sijutii kumfahamu, ananipenda had najiuliza ni Mtizedi kweli huyu, ila ndo hivyo "ukipewa kilema unapewa na mwendo.
Najua yuko JF, ila sijui ID yake,
Kha!! Makubwaaaaa!Ni wachafu Wananuka! Nasikia wote wana umeme kwa foleni hio!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhanii, watamuonea wapiii??zingatia nyakunyaku wanakusoma pia
Ha ha ha eti makasirikoKumbe ndio sababu anajilengesha kwa wanaume huyo mzee gln anaonekana ana makasiriko ya kupigwa kibuti !
Nyakunyaku wakiamua never fail dear dawa ni kumwambia mtu wako aache mazoea ya kuentertain na kucheka cheka nao mazoea hujenga tabia!!zingatia nyakunyaku wanakusoma pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhanii, watamuonea wapiii??
Hayatabirikiii shougaaangu usiseme sijakwambia ohoooo!!🤠🤠😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhanii, watamuonea wapiii??
Lindo kwan me mlinzi wa jf?
Umeamka? 😂😂😂Hayatabirikiii shougaaangu usiseme sijakwambia ohoooo!!🤠🤠😂
Kwahiyo anakuchora tu ukiwa unachambana na mahasimu wako.Najua yuko JF, ila sijui ID yake,
[emoji23][emoji23][emoji23] yeye yangu anaijua,
😜 kumekuchaNi wachafu Wananuka! Nasikia wote wana umeme kwa foleni hio!
Haya sasa karibu ujimwaye mwayeLindo kwan me mlinzi wa jf?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani Babu mbona anaropoka sana?Hapan ni yeye huyu tonnia na babuu kutumiana picha za chiu, baada ya kuomba 50k akapewa 100k, akaona atume na picha za chiu huenda dau litapanda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] famchezo na JF weyee
Fanya namie unitafute dangaaa linisaambazie umemee uduguuu ukute mi ndo chanzooo cha electicity na sijui 🤣🤣🤣😜 kumekucha
🤣🤣🤣
Nimeona hapooo kulichachuka balaaa !!Jana ulikuwa wapi? Kijiwe kili happen mbaya 😂😂😂
Nilikumic sana nimekosa wakumuuliza ila nikahisi ulitekwa kwa muda maana hali ya hewa nayo siyo rafiki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watamuonea wapiii? Nahisi yuko JF kunichunga hata kuchat sijui km ana chat.Hayatabirikiii shougaaangu usiseme sijakwambia ohoooo!![emoji1783][emoji1783][emoji23]