Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Wee sema kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas yeye akawaambia watu kuwa ni kweli hizi jokes zenu
Najua kwa hakika unamheshimu sana na utamlinda, but namfahamu Jo nimuoga, kabla hujaanza kupigana na adui zake atakuwa amelia sanaNitamlinda kwa wivu mkubwa sana[emoji23]
Unamtisha bana muache achangie[emoji23][emoji23]Mimi simsemi mtu, wala siko hapa kukunyang'anya uhuru wako, ninaamini katika uhuru ndio maana huwa najiachia na simwogopi mtu...na vita mimi ni mtu wa vita sana, but kamwe ukiona mtu anasemwa wewe soma pita zako.
Hawa wanaotajwa wanasoma kimya kimya, niamini ipo siku watajibu mapigo wakati wewe umejisahau.
Kibaya zaidi watakupiga kwa id mpya.
Jo...ni ushauri tu, uko huru kufanya lolote, unanijua mimi zungu la roho[emoji23]
Mimi nasikitika bosilediAaahhh jiraaaniiiiiiiiiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!!
Nyieee Nacheka hadi nakaukaaaa huku mimi khakhakhaaaa! π€£π€£ππ!
Nimeahidiwa cheo project mpyaππππBado huamini? Ww utakua umeahidiwa nafasi ya Spika Tulia
Nimeona hiloo big up asee!! Mimi ningekua wa kukasirika nadhani nisingekua naongea nawewe saii kuna kipindi ulinipajee zauso kule selfika π€ π€ π€ π!!Sasa hivi napuuzia zaidi. Muda na nguvu sio rafiki tena
Humu sitaki hata wanijue kabisa πππYani jf ukitaka uishi kwa raha Usiruhusu watu kukujuaa kama ni wa kufahaiana nao fahamiana na wachache sana wenye akili timamu!
Unafikiri hata namzuia basi?Unamtisha bana muache achangie[emoji23][emoji23]
Na mi naona si anakulindia mkeo kwann usimpende π€£π€£π€£π€£Nampenda sana[emoji7]
Cha uogaNimeona hiloo big up asee!! Mimi ningekua wa kukasirika nadhani nisingekua naongea nawewe saii kuna kipindi ulinipajee zauso kule selfika π€ π€ π€ π!!
[emoji23][emoji23][emoji23] ww ukishambuliwa ndio unafurahi zaidi. Tena unatamani sana iwe hivyo kila siku[emoji23]Me hadi walishachoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakinga sie tuna roho za paka hatuyumbishwi
Ile ya Mahoππ kweli kila zama na kitabu chake, hata hivyo ya kale ni historia tu. Watu waishi na wafurahie life...Mie najali hata ! Bila shaka u mkongwe humu unajua ningekua mlaini ningeshakimbiaga kitambo sana humuu tena ndiokwanza nataka niirudishe username yangu sema walipita nayo!
Ndio mmeamua kumfanyia vile wewe na CountrywideNa mi naona si anakulindia mkeo kwann usimpende π€£π€£π€£π€£
[emoji23][emoji23][emoji23] na vita unaziweza[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Mi nishazoea hekaheka humu hakuna jipyaa jf chaka lenye kila aina ya wadudu !
β€οΈβ€οΈβ€οΈπππNampenda sana[emoji7]
Ww tena unatamani iwe kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]Adui usimuogope
Me nawakanda mpk wanakuja na id mpya, nazo wakija nazo nawapiga spana wanakimbilia kunireport kwa modes
Ss nataka niongee na Mello niikatie bima id yangu isiwe inasumbuliwa na ban [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli hio sentensi ya mwisho nakuelewa vizuri sana !Nina na ushahidi kabisa mwenyewe sasa hata sijaliiii!!Hata hao wachache usiruhusu udugu binadamu wanachange ooho
Kwakweli hio sentensi ya mwisho nakuelewa vizuri sana !Nina na ushahidi kabisa mwenyewe sasa hata sijaliiii!!Hata hao wachache usiruhusu udugu binadamu wanachange ooho
πππIla weweNdio mmeamua kumfanyia vile wewe na Countrywide