Countrywide alivyobabe usiniambia bado kuna watu wanamgandaππππ kumbe muoga?
Mwenzio nishapambana na exβs wa Kantry wote nimewafurusha ss hivi tunabaki tunachekeana, wenyewe wamesurrender wameniachia mume
Kuna siku nilichambana nao mpk nikawa naji- quote mwenyewe najitukana π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23] ww ukishambuliwa ndio unafurahi zaidi. Tena unatamani sana iwe hivyo kila siku[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna mmoja alisema anapita kila duka kkoo akiona dada mweupe anajua ni wwKm me wanahangaika kunijua sijaona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ss hivi wanawatuma watu waniombe namba za simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbinu za kizamani kweli wanatumia!! Jf kwenyewe naingia kwa VPN
Humu sitoi namba kwa yeyote hata wasijisumbue kwa hilo
π€£ππππ[emoji23][emoji23][emoji23] na vita unaziweza
ππππ Sisi si familiaNdio mmeamua kumfanyia vile wewe na Countrywide
Uzuri bro km Kantry mafridge hayagandishi ππππππIla wewe
Watu wa huku utawaweza, waliweka kilinge wakaapishana lazima wamjue Lamomy na lazima wapite nae kwa gharama yoyote[emoji23][emoji23][emoji23]Yani jf ukitaka uishi kwa raha Usiruhusu watu kukujuaa kama ni wa kufahaiana nao fahamiana na wachache sana wenye akili timamu!
Code nzito tuliaππππIla wewe
Kuna pipo wagumu kuachika πππCountrywide alivyobabe usiniambia bado kuna watu wanamgandaπ
MImi na Countrywide unafiki hakuna mtakomaUzuri bro km Kantry mafridge hayagandishi πππ
Ndio ileilee!Ile ya Mahoππ kweli kila zama na kitabu chake, hata hivyo ya kale ni historia tu. Watu waishi na wafurahie life...
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona ndio namtegemea kumuweka sawa lamomy? Kumbe muoga?[emoji23][emoji23]Najua kwa hakika unamheshimu sana na utamlinda, but namfahamu Jo nimuoga, kabla hujaanza kupigana na adui zake atakuwa amelia sana
Kantry kazidi yani anasema kabisa, umeniambia na evidence anaonyesha πππMImi na Countrywide unafiki hakuna mtakoma
Wanaishia kumzushia tu hahaaa!! Ila ukichefukwa unakandajee watu humuu bora sikuhizi umeokoka!!Watu wa huku utawaweza, waliweka kilinge wakaapishana lazima wamjue Lamomy na lazima wapite nae kwa gharama yoyote[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilibaki nacheka tu, maana ni jambo haliwezekani forever and ever
Sijawahi aisee[emoji23][emoji23]Nimeona hiloo big up asee!! Mimi ningekua wa kukasirika nadhani nisingekua naongea nawewe saii kuna kipindi ulinipajee zauso kule selfika [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji16]!!
ππππ kesi zake ndo zinamshinda ila za wanaomnyapia Lamomy anaenda nao sawa[emoji23][emoji23][emoji23] mbona ndio namtegemea kumuweka sawa lamomy? Kumbe muoga?[emoji23][emoji23]
Hilo ni life la kizungu?Kantry kazidi yani anasema kabisa, umeniambia na evidence anaonyesha πππ
[emoji23][emoji23][emoji23]Na mi naona si anakulindia mkeo kwann usimpende [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]