Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23] ww ukishambuliwa ndio unafurahi zaidi. Tena unatamani sana iwe hivyo kila siku[emoji23]
Kuna siku nilichambana nao mpk nikawa naji- quote mwenyewe najitukana 🤣🤣🤣🤣

Nilitukana mpk nikaingia live afu sielewi nikaanza kuwachamba mpk wanaonitetea 🤣🤣🤣 nakuwaga na mizuka
 
Km me wanahangaika kunijua sijaona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ss hivi wanawatuma watu waniombe namba za simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbinu za kizamani kweli wanatumia!! Jf kwenyewe naingia kwa VPN
Humu sitoi namba kwa yeyote hata wasijisumbue kwa hilo
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna mmoja alisema anapita kila duka kkoo akiona dada mweupe anajua ni ww
 
Yani jf ukitaka uishi kwa raha Usiruhusu watu kukujuaa kama ni wa kufahaiana nao fahamiana na wachache sana wenye akili timamu!
Watu wa huku utawaweza, waliweka kilinge wakaapishana lazima wamjue Lamomy na lazima wapite nae kwa gharama yoyote[emoji23][emoji23][emoji23]

Nilibaki nacheka tu, maana ni jambo haliwezekani forever and ever
 
Nimeona hiloo big up asee!! Mimi ningekua wa kukasirika nadhani nisingekua naongea nawewe saii kuna kipindi ulinipajee zauso kule selfika [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji16]!!
Sijawahi aisee[emoji23][emoji23]

But kama ilitokea naomba unisamehe sana.

Kuna siku sijui nilisema nn kwako post gani sijui, sijui ndio huko selfika, aisee ilikuja kesi kubwa sana kwangu kutoka kwa lamomy. Ile siku ilikua ngumu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119], sirudii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom