Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Bado lakini kkoo unatafutwa[emoji23][emoji23]Humu sitaki hata wanijue kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza nasikia raha wanavyoteseka kutaka kunijua,
Hata hao wachache usiruhusu udugu binadamu wanachange ooho
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ yalishaishaga yale!Sijawahi aisee[emoji23][emoji23]
But kama ilitokea naomba unisamehe sana.
Kuna siku sijui nilisema nn kwako post gani sijui, sijui ndio huko selfika, aisee ilikuja kesi kubwa sana kwangu kutoka kwa lamomy. Ile siku ilikua ngumu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119], sirudii
Vipi tena?Ndio mmeamua kumfanyia vile wewe na Countrywide
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikua nawaambia hili mkawa hamuelewi.Kwakweli hio sentensi ya mwisho nakuelewa vizuri sana !Nina na ushahidi kabisa mwenyewe sasa hata sijaliiii!!
Mtu unacheka nae vizuri akigeuka hahaha [emoji119][emoji119]!
ππππ Naishia kucheka tyuu!!Hilo ni life la kizungu?
Yaani!!Wana Nini lknπUzuri bro km Kantry mafridge hayagandishi πππ
Anatania tu, wala sio kweli. Mm kwanza naonekana sipo romantic kabisa, alafu nna maneno mengi[emoji23]Countrywide alivyobabe usiniambia bado kuna watu wanamganda[emoji23]
Itakuwa mambo hayakwenda sawa bwana Coca[emoji23][emoji23][emoji23] aliniambia atanifanyia mchongo sehem kubwa, na aliniaminisha kabisa, na niliona ukweli.
Mbna kuna siku kuna PDF LA kazi aliniwekea wazi kule selfika, had akasema nichangamkie fursa atanisaidia connections
Kwamba raraa reree ni mdada?Extrovert Gentleman, kijana mwenye busara, raraa reree Dada mmoja Chamming ila mjanja mjanja sana hasa kwenye kunasa kwenye mitego yetu ile,anajifanya mbinu zote anazijua.
[emoji23][emoji23][emoji23] hilo unaliweza sana, sasa inabidi na joannah umuambukize hiliKuna siku nilichambana nao mpk nikawa naji- quote mwenyewe najitukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilitukana mpk nikaingia live afu sielewi nikaanza kuwachamba mpk wanaonitetea [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakuwaga na mizuka
Binadamu hawatabiriki si umemuona Kantry mpenzi wangu na katoa siri na anasema kabisa Lamomy ameniambia ππππKwakweli hio sentensi ya mwisho nakuelewa vizuri sana !Nina na ushahidi kabisa mwenyewe sasa hata sijaliiii!!
Mtu unacheka nae vizuri akigeuka hahaha ππ!
Tulikua tunakuelewa ila tunajitoa ufahamu tusigombane na watu tu mengine tinapotezea siku zisonge ila tunakaa nao kwa tahadhari sana ![emoji23][emoji23][emoji23] nilikua nawaambia hili mkawa hamuelewi.
[emoji23][emoji23][emoji23] itakua ulikua hujapata tu back up. Alivyoingia cute/lamomy ndio ukaanza sasa[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie mwanzo nilikua napuuzia sana ikawa too much!
Sema kweli? πππAnatania tu, wala sio kweli. Mm kwanza naonekana sipo romantic kabisa, alafu nna maneno mengi[emoji23]
Humu wanapenda mtu mpole, mm sitakiwi kabisa[emoji23]
Kutunza siri huwa ni kazi sana[emoji23]Uzuri bro km Kantry mafridge hayagandishi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona uduguuu kantri kwa kupasua jipu hadharani hafaiiiππ!Binadamu hawatabiriki si umemuona Kantry mpenzi wangu na katoa siri na anasema kabisa Lamomy ameniambia ππππ
Mkuu cha ajabu mademu wapo wanapenda mtu mbabeAnatania tu, wala sio kweli. Mm kwanza naonekana sipo romantic kabisa, alafu nna maneno mengi[emoji23]
Humu wanapenda mtu mpole, mm sitakiwi kabisa[emoji23]
πππ Hizi hekaheka haziwezi[emoji23][emoji23][emoji23] hilo unaliweza sana, sasa inabidi na joannah umuambukize hili
Sina hamu nae, fridge lake bovu πππNimeona uduguuu kantri kwa kupasua jibu hadharani hafaiiiππ!