Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 yalishaishaga yale!

Kweli Mama la mama amekua pa kukushika kwake hufurukutiiii!!
Safi sana😁!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aliniambia atanifanyia mchongo sehem kubwa, na aliniaminisha kabisa, na niliona ukweli.
Mbna kuna siku kuna PDF LA kazi aliniwekea wazi kule selfika, had akasema nichangamkie fursa atanisaidia connections
Itakuwa mambo hayakwenda sawa bwana Coca
Kuwa na subira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nilichambana nao mpk nikawa naji- quote mwenyewe najitukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilitukana mpk nikaingia live afu sielewi nikaanza kuwachamba mpk wanaonitetea [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakuwaga na mizuka
[emoji23][emoji23][emoji23] hilo unaliweza sana, sasa inabidi na joannah umuambukize hili
 
Kwakweli hio sentensi ya mwisho nakuelewa vizuri sana !Nina na ushahidi kabisa mwenyewe sasa hata sijaliiii!!
Mtu unacheka nae vizuri akigeuka hahaha πŸ™ŒπŸ™Œ!
Binadamu hawatabiriki si umemuona Kantry mpenzi wangu na katoa siri na anasema kabisa Lamomy ameniambia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzuri bro km Kantry mafridge hayagandishi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kutunza siri huwa ni kazi sana[emoji23]

Vichwa vina mambo mengi sana, bado tena na ya huku mafichoni jf uyatunze?? Hapana aisee[emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…