Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Jamani, kwamba watu wanabeba mambo mazito namna hiyo? Huwa wakifanya hivyo wanatafuta nini?

Kisasi mkuu. Kwamba huyu Hannah huyu anajidai mjanja sana ngoja aingie kwenye 18 zangu ataiona jf chungu.

Unajua mkuu ukiropokewa maneno vizuri lazima upate hasira uone na wewe ni namna gani utamaliza hasira zako.
 
Du hii kali
 
Huyo dada yeye acheke naye ila asijiroge akatoa mawasiliano yake

Unakuwa haujui sasa. Wewe unaangalia ni ID mtu kajoin kitambo na ipo active na kwenye hiyo ID haujawahi kukwaruzana naye. Na unavyochat naye anaonekana ana busara kama zote.

Anakuambia nipe namba yako nikutumie hata ya Lunch wewe njaa njaa zako unatuma chapp.

Na hapo anakusoma akili anajua labda wewe ni jobless anajua akikuingia na gia ya kukuunganisha ajira lazima ujae. Sasa wewe uambiwe kuna connection na kweli unahitaji connection hautajipeleka?
 
Lamomy cocastic Tayana-wog Missy Gf Joannah na wadada wengine tuwe makini wapendwa!!


Shukrani sana madam

Usione watu wanakimbia ID zao[emoji23][emoji23]wanafungua mpya. Wameshapigwa matukio sasa hana ujanja tena.

Mtu anakutongoza mnakuwa wapenzi kabisaa kumbe yeye yupo kwenye mission. Mnakutana mnafanya yenu mnajiachiiia halafu anakwambia unakumbuka ulinitukanaga kwenye ID yangu fulani? Hapo ndio unajua haya yote kumbe yalikuwa fake.
 
Na sikuhizi ids mpya zimejaaje humu kumbe watu na mission zao!!
 
It’s better ukamwambia mapema.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…