Jamani, kwamba watu wanabeba mambo mazito namna hiyo? Huwa wakifanya hivyo wanatafuta nini?
Kwakweli sikuhizi pm ni ya kuogopa kama ukoma!Huko pm ni kuwa makini napo, binafsi mtu akija na swagger za A kasema B anafanyana C nakuwa makini.
Ni kweli Mkuu, hasa sisi Wazee inaonekana tumekosa Vijana wa kututeteaHuko pm ni kuwa makini napo, binafsi mtu akija na swagger za A kasema B anafanyana C nakuwa makini.
Kabisa uduguuu kumbe watu wana visirani sio poah!!Aisee jf ni zaidi niijuavyo kumbe Kuna mambo kibao
Du hii kaliNdio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Huyo dada yeye acheke naye ila asijiroge akatoa mawasiliano yake
Hatari sanaDohh!! Ni Hatari sana hii
Watu wanaichukulia serious sana jf sie wengine tupo humu kujifurahisha tuKabisa uduguuu kumbe watu wana visirani sio poah!!
Leo mbona unaongea maneno mazito sana usalama upo???Hatari sana
Lamomy cocastic Tayana-wog Missy Gf Joannah na wadada wengine tuwe makini wapendwa!!
Shukrani sana madam
Imagine mtu anadhamiria kumfanyia hivo lengo kumdhalilisha tu!!Watu wanaichukulia serious sana jf sie wengine tupo humu kukifurahisha tu
Ni kuwa makini tu, japo huwa sielewi mtu anakujaje pm na kuanza kuongea issue za third party.Ni kweli Mkuu, hasa sisi Wazee inaonekana tumekosa Vijana wa kututetea
Wengine wanakuja kukuchota na kufanya uhakiki wa taarifa walizonazo.Ni kuwa makini tu, japo huwa sielewi mtu anakujaje pm na kuanza kuongea issue za third party.
Na sikuhizi ids mpya zimejaaje humu kumbe watu na mission zao!!Usione watu wanakimbia ID zao[emoji23][emoji23]wanafungua mpya. Wameshapigwa matukio sasa hana ujanja tena.
Mtu anakutongoza mnakuwa wapenzi kabisaa kumbe yeye yupo kwenye mission. Mnakutana mnafanya yenu mnajiachiiia halafu anakwambia unakumbuka ulinitukanaga kwenye ID yangu fulani? Hapo ndio unajua haya yote kumbe yalikuwa fake.
Tena mwanaume imagineNi kuwa makini tu, japo huwa sielewi mtu anakujaje pm na kuanza kuongea issue za third party.
Ur right!Huko pm ni kuwa makini napo, binafsi mtu akija na swagger za A kasema B anafanyana C nakuwa makini.
Ina maana anakuja tu direct kuanza kushusha story za A,B,C ?Huko pm ni kuwa makini napo, binafsi mtu akija na swagger za A kasema B anafanyana C nakuwa makini.
It’s better ukamwambia mapema.Ndio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.