Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
😂😂 aki nimecheka, ila we KENZY unahitaji maombi
Maombi nakubali ila waombaji wa hayo maombi naomba niwatag hapa..

Lenie
Saint Anne
Chakorii (huyu ntaombewa nae😅)
Depal na
Goddess

Ila mje usiku kuanzia saa 6 hivi ndo anga la maombi litakuwa limefunguliwa ili Sala zenu zimfikie baba vizuri..😜
 
Sawa.. wasalimie buza lkn ila uhame huko ndio maana unakuwa mtata..😅
Hapana mimi salimia Buza.
Screenshot_20200721-120438.png
 
Maombi nakubali ila waombaji wa hayo maombi naomba niwatag hapa..

Lenie
Saint Anne
Chakorii (huyu ntaombewa nae😅)
Depal na
Goddess

Ila mje usiku kuanzia saa 6 hivi ndo anga la maombi litakuwa limefunguliwa ili Sala zenu zimfikie baba vizuri..😜
Pumbavuuuuuu sana KENZY 🤣🤣🤣🤣🤣kwahiyo unatka tuombewe wote ili unishawishi nianze kunena kwa lugha na uzee wote huu😅😅😅nimekustukia jooo
 
Pumbavuuuuuu sana KENZY 🤣🤣🤣🤣🤣kwahiyo unatka tuombewe wote ili unishawishi nianze kunena kwa lugha na uzee wote huu😅😅😅nimekustukia jooo
Tulia wewe bwana atasema nasi kuwa mvumilivu tu
Mi sio sio yule akamwagia kondoo..😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom