Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Tumuombee jamani😒Wale madume tata ndio wanamkubali, huyu dogo asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumuombee jamani😒Wale madume tata ndio wanamkubali, huyu dogo asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Km mnaweka umbea wekeni mzima
Nusu hatutaki wambea mnatupa shida [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Mbona inasemekana kakukula etiKweli nakwambia🤣🤣🤣.
Alikuwa anani admire sana mara anikatae😂😂😂
Kumbe kuna mtu kala ban tayari😂Bado mtoto 😂😂😂
Wamechambana na Penseli leo mpk mmoja kala ban 🤣
Sio kwamba alikua anaku-admire bali alijipima akaona ww ndio size yake, si dharau hizo? Yaani aliona ww ndio level yakeKweli nakwambia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Alikuwa anani admire sana mara anikatae[emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu tunataka umbea mzima 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo vizuri sana[emoji123]Yaah[emoji23]
Muda sana 😂😂😂Kumbe kuna mtu kala ban tayari😂
🤣🤣🤣 nimecheka😂😂😂 Mbona inasemekana kakukula eti
Inasemekana lkn…….
Unayaweza wewe 🤣🤣🤣Sio kwamba alikua anaku-admire bali alijipima akaona ww ndio size yake, si dharau hizo? Yaani aliona ww ndio level yake
Ni dharau tu
Asante shemeji yangu😌Upo vizuri sana[emoji123]
Wapi? Nani kala ban?Bado mtoto [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamechambana na Penseli leo mpk mmoja kala ban [emoji1787]
Jf haijawahi kupoa ooh 😂😂😂🤣🤣🤣 nimecheka
Mbona hata mimi muhusika sijui kama nimeliwa na mshamba🤣🤣🤣🙌
Kumbe🤣🤣🤣🙌Sio kwamba alikua anaku-admire bali alijipima akaona ww ndio size yake, si dharau hizo? Yaani aliona ww ndio level yake
Ni dharau tu
Kasie hiyo sifa angepewa Faiza
Miss Natafuta , sifa yake angepewa Money Penny
Kasie kamati ya kujipodoa
Miss Natafuta, kamati ya kula tunda kimasihara(awe mtoza ushuru)
Ms eyes awe mhandisi wa kuchora ramani za chabo.
Ilikuwa vita kali 😂😂😂Wapi? Nani kala ban?
Uzuri wote network haipo sawa[emoji23]
Balaa🤣🤣🤣. Ndio nasikia leo.Jf haijawahi kupoa ooh 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] raha ya umbea iambatane na evidence.Udugu tunataka umbea mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo pic sina na hujantumia, Ila najua ulipopiga hiyo picha[emoji23]Mbona profile yangu huulizi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili kaburi japo limefukuliwa halina madhara.
Mie nshastaafu mambo hayo, vipodozi na Kasinde mbalimbali.
Ngoja nimtafute baba Bataringaya RRONDO nimshawishi safari ya milima ya kaskazini mwa Tanzania (Lushoto to Arusha) mwisho wa mwaka huu...
Sasahivi kuelekea kaskazini December hii iwekwe sheria, kama gari plate number haijaanziwa na E unaishia Msata na Chalinze.
Foleni ipungue kidogo...[emoji28][emoji28]