Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Kasie hiyo sifa angepewa Faiza
Miss Natafuta , sifa yake angepewa Money Penny

Kasie kamati ya kujipodoa
Miss Natafuta, kamati ya kula tunda kimasihara(awe mtoza ushuru)
Ms eyes awe mhandisi wa kuchora ramani za chabo.


Hili kaburi japo limefukuliwa halina madhara.

Mie nshastaafu mambo hayo, vipodozi na Kasinde mbalimbali.

Ngoja nimtafute baba Bataringaya RRONDO nimshawishi safari ya milima ya kaskazini mwa Tanzania (Lushoto to Arusha) mwisho wa mwaka huu...

Sasahivi kuelekea kaskazini December hii iwekwe sheria, kama gari plate number haijaanziwa na E unaishia Msata na Chalinze.

Foleni ipungue kidogo...😅😅
 
Hili kaburi japo limefukuliwa halina madhara.

Mie nshastaafu mambo hayo, vipodozi na Kasinde mbalimbali.

Ngoja nimtafute baba Bataringaya RRONDO nimshawishi safari ya milima ya kaskazini mwa Tanzania (Lushoto to Arusha) mwisho wa mwaka huu...

Sasahivi kuelekea kaskazini December hii iwekwe sheria, kama gari plate number haijaanziwa na E unaishia Msata na Chalinze.

Foleni ipungue kidogo...[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom