Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Mkuu,
Naomba nikuulize, usije tu kunirushia mawe😁😁 hizi taarifa personal kabisa huwa unazipataje, yaani unajuaje nani na nani wanaongea nini, samahani nimedandia fuso njiani.
Huyo atakuwa server ya jf 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaa!!! Udugu utaachanisha ndoa za watu me simo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa mie hakuniagaa na cjui yuko wapii.
Nahisi yupo humu kwa ID inginee.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eee ajira zote anazo za halmashauri wewe hutaki?
Nataka ya TCRA ndo naimudu na kuiweza ipasavyoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee I despise huyu jamaa anaye-dislike comments, is he gay?
 
Tatizo hukuweka screenshot zote
Nakumbuka kuna Uzi ulianza kutiririka.. hukumaliza.


Nikatahadharishwa kwamba ni stories za uongo ..
Sasa sijui ni za uongo kweli ama ndio kujihami[emoji1787]
Ukute na mimi nishasemwa na magauni yangu ya mvuto[emoji1787]
Uzi gani? Mambo mengi sikumbuki vizuri

Uongo?? Anaujua ukweli, ni ile kiutu uzima tu lakini naamini hawezi kurudia alichofanya sababu hatakua anaamini tena mtu huku. Haakufanya powa kabisa, huwezi kuahidi watu ajira Tena l wadada ukawaita alafu ukawachunguza ili baadae uende kuwaponda, haikua fair kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom