cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] PM kwangu mda wote nasafisha vumbii, yaan hakuna maajabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] PM kwangu mda wote nasafisha vumbii, yaan hakuna maajabu.
Coca usifutage PM bana; narudia usiwe unafuta (kuna siku litakukuta jambo na mtetezi wako ni chats ulizozifuta?; muombe bana huyo alikutumia, akutumie tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sana, mama malezi hujachambwaa mie nimesema kuhus mzushi wa sakata lenu ni yeye mwenyewee.
Wala msihangaike kumtafuta mchawii.
Ndyo wee mlikutana Morena Hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba alikutana na mimi Morena au nani?
Tatizo mie PM kuna mtu huwa anasoma chat, siwezi kaa nazo, kwa navyopenda ubuyu nafutaje bila 7bu, hata screenshots enyewe huko Gallery anafukunyua.Coca usifutage PM bana; narudia usiwe unafuta (kuna siku litakukuta jambo na mtetezi wako ni chats ulizozifuta?; muombe bana huyo alikutumia, akutumie tena.
Kwa hiyo kumbe alikuwa ananing'onga kwamba watu wanatusingizia kumbe yeye ndiye script writer. Na kuna version nyingine kwamba ilibidi twende tukakutane Gairo. Ptuuuuuu
Kwahiyo wanakunanga public wanakufuata private[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] PM kwangu mda wote nasafisha vumbii, yaan hakuna maajabu.
Teh labda tulikutana kwa Bluetooth. All this while tunataniana jukwaani; jirani nakuja sijui Morena, jirani tukutane kwa Kimaryo sijui tule kitimoto; and not even in a single day tumeshawahi kuvuta hewa ya sehemu moja; hanijui, hana namba yangu ya simu, Wala sina yake, Wala sijawahi kumtumia picha yangu binafsi; hatujawahi kuonana hata ile ya kukutana mahali kwa bahati mbaya. Ndiyo maana hata zile jirani tuonane sijui, hajawahi kupost au mimi kupost hata glass ya juice 2 tu mezani kuonesha kuwa tupo pamoja. Kama amewahi kuniona au hata kubadilishana tu namba na Mimi au hata tukielekezana muda wa kukutana; ruksa aweke shots hapa jukwaani au kama kuna mtu alimpa hizo evidence, aziweke tu hapaNdyo wee mlikutana Morena Hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliona kabisa convo, yeye ndo anamuambia huyo member.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crew iliundwa ili kunifurusha, nkawaambia km mapapa wao wameshindwa, ndo wao vidagaa wataweza? Kwan sio size angu ndo maana waliishia kujiliza kwa modes, na uzi ukafungwa.
Wao wamepoteana mazima, mie mtu mwenye JF angu naswampaaa km kalambwandaaa.
Eeeeeh watu mna mahaba mpaka kusomeana PM🤣🤣🤣Tatizo mie PM kuna mtu huwa anasoma chat, siwezi kaa nazo, kwa navyopenda ubuyu nafutaje bila 7bu, hata screenshots enyewe huko Gallery anafukunyua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napataje tabuu.
HahahahaEeeeeh watu mna mahaba mpaka kusomeana PM🤣🤣🤣
Aaahhh jiraaaniiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Teh labda tulikutana kwa Bluetooth. All this while tunataniana jukwaani; jirani nakuja sijui Morena, jirani tukutane kwa Kimaryo sijui tule kitimoto; and not even in a single day tumeshawahi kuvuta hewa ya sehemu moja; hanijui, hana namba yangu ya simu, Wala sina yake, Wala sijawahi kumtumia picha yangu binafsi; hatujawahi kuonana hata ile ya kukutana mahali kwa bahati mbaya. Ndiyo maana hata zile jirani tuonane sijui, hajawahi kupost au mimi kupost hata glass ya juice 2 tu mezani kuonesha kuwa tupo pamoja. Kama amewahi kuniona au hata kubadilishana tu namba na Mimi au hata tukielekezana muda wa kukutana; ruksa aweke shots hapa jukwaani au kama kuna mtu alimpa hizo evidence, aziweke tu hapa
Hivi ulikua wapi kwenye like skendo ??? Ilikua patashika nakwambia!Kuna ndugu zetu wametokomea na hilo sakata😂
Warudi tu, maisha ndo hayahaya.
Mchawiiiiii ombaomba niko hapaa shosss niliomba hadi vocha ya aftatu kwa mwanamke mwenzanguuuu sina mudaaaa!🤠🤠[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sana, mama malezi hujachambwaa mie nimesema kuhus mzushi wa sakata lenu ni yeye mwenyewee.
Wala msihangaike kumtafuta mchawii.
Kama ndohivi Morena ina historia ya wana selfika hadi sio poah 😂😂😂😂🤣!!Ndyo wee mlikutana Morena Hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliona kabisa convo, yeye ndo anamuambia huyo member.
Katoka kudanga kwa Gln saivi kahamia kwa kibabu chao Glamsjoannah
mdangaji
Weee mbona umenikomalia hivo mkeo who which when??mkewanguuuuu
Tangu lini nimekua na mume humu mimi???mkewangu acha kunikana mbele yakadamnasi.pleas👏
Kinajifanya kizeee hakiwezi kusimamisha ili warembo wajaribu kama kweli haisimami na walivo cheap kinawavua kama samaki!glen kamkacha hikokibabu Nacho nishoof tuu hakimuwezi huyó danga wakimataifa
Danga tena!😳 Sijawahi kudanga humu mkuu naona unanitafuta hahahaaa!! Kweli jf never boringacha zarau.koo hukuwahi kuwa nadanga humu?