Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Wanaishia kumzushia tu hahaaa!! Ila ukichefukwa unakandajee watu humuu bora sikuhizi umeokoka!!
[emoji23][emoji23][emoji23] nawaangalia tu, alafu wanazungukana wale wanaojifanya wema wanakuja kumuambia na ushahidi juu[emoji23][emoji23]

Sasa hivi ukweli sipendi hizo issue[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] itakua ulikua hujapata tu back up. Alivyoingia cute/lamomy ndio ukaanza sasa[emoji23]
Weee hapanaa!
Nilikua nakaa kimyaa naonekana mjinga watu wakawa wananisema hadi wananitagi kabisa kwa kusema nawaogopa!!
Nilivokua nakaa kimya ndio walikua wanafurahiii wanapendaaa nilipoanza kujibu naonekana bado sijui napenda Makolokolo gani nyieee jf hii ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿค 
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nawaangalia tu, alafu wanazungukana wale wanaojifanya wema wanakuja kumuambia na ushahidi juu[emoji23][emoji23]

Sasa hivi ukweli sipendi hizo issue[emoji23]
Yanii jf hii ๐Ÿ™Œ

Wee ona tu watu hawaongei humu ukajua ni malaika!

Humu tumejaa mbwa mwitu tuliojivika ngozi za kondoo!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yalishaishaga yale!

Kweli Mama la mama amekua pa kukushika kwake hufurukutiiii!!
Safi sana[emoji16]!
Unajua siku ile ilibidi niwe mpole sana

Aliniambia unachotafuta kwa antonnia nn, amekukosea wapi au umetumwa, nikaambiwa naomba huu ndio uwe mwisho wetu siwezi kuwa na mtu wa hivi anazingua rafiki zangu[emoji23]

alicharuka sio kidogo. But yalishaisha na alinielewa[emoji23]
 
Unajua siku ile ilibidi niwe mpole sana

Aliniambia unachotafuta kwa antonnia nn, amekukosea wapi au umetumwa, nikaambiwa naomba huu ndio uwe mwisho wetu siwezi kuwa na mtu wa hivi anazingua rafiki zangu[emoji23]

alicharuka sio kidogo. But yalishaisha na alinielewa[emoji23]
Aliniambiaaa nikamwambia arelaxx asikununiee ๐Ÿค !
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mbona ndio namtegemea kumuweka sawa lamomy? Kumbe muoga?
emoji23.png
emoji23.png
Shemeji Mimi kama wanamgambo wa hamas we si unaona ninavyowafurusha wavamizi wa Jimbo๐Ÿ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom