Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] nawaangalia tu, alafu wanazungukana wale wanaojifanya wema wanakuja kumuambia na ushahidi juu[emoji23][emoji23]Wanaishia kumzushia tu hahaaa!! Ila ukichefukwa unakandajee watu humuu bora sikuhizi umeokoka!!
Itabidi akaze, ukiwa mnyonge sana hutaishi kwa furahaKwa Lamomy anamuweza sana na anakulindia kuliko unavyojua but yeye Jo ni muoga kama kuku linapokuja suala la mtu kumshambulia
Weee hapanaa![emoji23][emoji23][emoji23] itakua ulikua hujapata tu back up. Alivyoingia cute/lamomy ndio ukaanza sasa[emoji23]
Me mwenyewe angekuwa legelege asingenipata ๐๐๐Mkuu cha ajabu mademu wapo wanapenda mtu mbabe
Hapo ndio vizuri sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesi zake ndo zinamshinda ila za wanaomnyapia Lamomy anaenda nao sawa
Yanii jf hii ๐[emoji23][emoji23][emoji23] nawaangalia tu, alafu wanazungukana wale wanaojifanya wema wanakuja kumuambia na ushahidi juu[emoji23][emoji23]
Sasa hivi ukweli sipendi hizo issue[emoji23]
Kama kantri๐๐๐Me mwenyewe angekuwa legelege asingenipata ๐๐๐
Kichwa changu kinahitaji mwanaume kichwa ngumu
Unajua siku ile ilibidi niwe mpole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yalishaishaga yale!
Kweli Mama la mama amekua pa kukushika kwake hufurukutiiii!!
Safi sana[emoji16]!
๐๐๐๐ lioneHapo ndio vizuri sasa[emoji23]
Sasa kesi zake naomba akuachie wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naishia kucheka tyuu!!
Kantry siri hana, nikiwa na kitu najiapiza simwambii ila atakavyonipanikisha mpk nitamwambia [emoji23]
Lakini ukweli mm hayo ningejuaje[emoji23][emoji23]Binadamu hawatabiriki si umemuona Kantry mpenzi wangu na katoa siri na anasema kabisa Lamomy ameniambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliniambiaaa nikamwambia arelaxx asikununiee ๐ค !Unajua siku ile ilibidi niwe mpole sana
Aliniambia unachotafuta kwa antonnia nn, amekukosea wapi au umetumwa, nikaambiwa naomba huu ndio uwe mwisho wetu siwezi kuwa na mtu wa hivi anazingua rafiki zangu[emoji23]
alicharuka sio kidogo. But yalishaisha na alinielewa[emoji23]
Nilimuwashia moto ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ yalishaishaga yale!
Kweli Mama la mama amekua pa kukushika kwake hufurukutiiii!!
Safi sana๐!
Shemeji Mimi kama wanamgambo wa hamas we si unaona ninavyowafurusha wavamizi wa Jimbo๐![]()
mbona ndio namtegemea kumuweka sawa lamomy? Kumbe muoga?![]()
![]()
![]()
๐๐๐๐ unarudia tena?Lakini ukweli mm hayo ningejuaje[emoji23][emoji23]
Wa huku wengi walokole[emoji23]Mkuu cha ajabu mademu wapo wanapenda mtu mbabe
Nilicheka ulivyomwambia yule jamaa eti, โ Ushawahi kufungwa bila file la kesi?โ ๐๐๐Shemeji Mimi kama wanamgambo wa hamas we si unaona ninavyowafurusha wavamizi wa Jimbo๐
Nikajua ni mm tu ,nimemuudhiSiyo wewe peke yako. Anagawa dislike kwa kila mtu