Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23][emoji23]Babu alianza kumtoa mchezoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Tukaunganisha nguvu na coca tukamsuuza babu hakuamini tulivyomgeuka na ma PDF alitutumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Babu alianza kumtoa mchezoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Tukaunganisha nguvu na coca tukamsuuza babu hakuamini tulivyomgeuka na ma PDF alitutumia
😂😂😂 Nipewe maua yanguUmejua kumkamata kwako hafurukuti!
Na ugomvi ameacha kabisa sikuhizi 🤠!
Unajua kweli kabisa nilikua sikujui, Kuingia selfika huko ndio nikaanza kuona hizo mambo[emoji23]Wakati Ile siku mwanzo mwanzo wenu ulimcharua eti ananiharibu mi mpole nisimuige tabia[emoji1783][emoji1783][emoji16]
Anajua uduguuu wake sina makuu kabessa basi tu humu waja wakikuamulia😜🤠!Alikua mkali sana, hataki ujinga kwa udugu wake[emoji23]
Huyu mzee mtamtoa damu asee[emoji23]Babu alianza kumtoa mchezoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Tukaunganisha nguvu na coca tukamsuuza babu hakuamini tulivyomgeuka na ma PDF alitutumia
Alisema ntakufundisha umalaya 😂😂😂Wakati Ile siku mwanzo mwanzo wenu ulimcharua eti ananiharibu mi mpole nisimuige tabia🤠🤠😁
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa huna makuuAnajua uduguuu wake sina makuu kabessa basi tu humu waja wakikuamulia[emoji12][emoji1783]!
Ohoo yaishe [emoji23][emoji23][emoji23]Alisema ntakufundisha umalaya [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Kantry tumetoka mbali
Kila uzi ananifata kunichamba
Na sisi tunamsubiri kwa hamu babu yetu jf ichangamke 😂😂😂Huyu mzee mtamtoa damu asee[emoji23]
Ila mjiandae na come back yake[emoji23]
Selfika kule palikua poa sana tulikua tunaselfika hata kama ni kunafkiana ilikua kunafkiana kwa stara palivovamiwa sasa🤠🤠!!!Unajua kweli kabisa nilikua sikujui, Kuingia selfika huko ndio nikaanza kuona hizo mambo[emoji23]
Kweli na kantri mmetoka mbali uduguuu! 😁!Alisema ntakufundisha umalaya 😂😂😂
Ila Kantry tumetoka mbali
Kila uzi ananifata kunichamba
Ulijikera mwenyewe kuingilia uzi wangu wa chai 😂😂😂Ohoo yaishe [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulinikeraga sana[emoji23]
[emoji23][emoji23] huwezi kumsamhehe yakaisha?Na sisi tunamsubiri kwa hamu babu yetu jf ichangamke [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi naomba Leo uwe open, palivamiwa na kina nani? Unajua hili silijuagi kabisaSelfika kule palikua poa sana tulikua tunaselfika hata kama ni kunafkiana ilikua kunafkiana kwa stara palivovamiwa sasa[emoji1783][emoji1783]!!!
Inapendeza sana hii hakika ila halahala aniversaries hizo msijetosana mkabakia kuchwambwa humu 🤣!!Ulijikera mwenyewe kuingilia uzi wangu wa chai 😂😂😂
Ila kuna mambo yanachekesha, itabidi mwakani tufanye anniversary ya kufunga mwaka mtu wangu
Hapa umekua mnafki, hizi mambo ndio wengine mnafanya tunafunguka tunaonekana wabayaNimefanya juhudi kusoma kuanzia mwanzo hadi hapa, inaonekana kuna Wazee wa aina mbili humu wametajwa.
Bahati mbaya huyo mwingine sijamjua.............ila huyo mwingine ni kama anataka kufananishwa na Mimi.
Inaonekana kuna watu humu wanajaribu kunihusisha na hao wazee wengine wa hovyo ili wapate ya kusema.
Bahati nzuri kwa umri wangu siwezi hata kwa bahati mbaya kutembea na binti yeyote humu. Sio leo wala kesho, sina huo mpango.
Inakuwa ni aibu kwa mtu mzima kumvulia nguo binti mdogo, binafsi sijazoea labda hao wazee wengine wasiojiheshimu.
Kama kuna binti ana uhakika amewahi kulala na Mimi au hata kuonana na mimi aseme hapa, nina zawadi yake ya dollar 35 nimtumie chap saivi.
Wazee wengine tumezoea utani na kufurahi, naomba nisihusishwe na hayo yanayoendelea.
Cheers [emoji482]
Sema sisi hiyo kuchambwa ni ngumu[emoji23][emoji23]Inapendeza sana hii hakika ila halahala aniversaries hizo msijetosana mkabakia kuchwambwa humu [emoji1787]!!