Kuna wakati Chadema iliahirisha jambo kama hilo kanda ya nyasa kwa sababu za kiusalamaNi wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helcopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
na kweli unaweza kusambaaUkungu usije kusambaa
Umesahau bullets za Lisu?Tanzania si salama kiasi hicho ndugu, tumefika huku kweli.
Karibu Kwangu baadaye.....ili nikueleze ni Kwanini nimesema ni Mawenge yako Tu??Nitakuja kwako baadaye...kuna aliyefikiria ya Lisu?
Ni kweli, yasije yakatokea Kama yale yaliyomkuta marehemu Deo Filukunjombe.Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
Wafikishie salamu hizi maboss wako, wazingatie Sana ushauri huu, wasipuuzie hata kidogo.Kuna wakati Chadema iliahirisha jambo kama hilo kanda ya nyasa kwa sababu za kiusalama
Mbowe ana nia ovu na lissuUshauri huo mpe mbowe, Lissu mikutano yake tunaona siku zite akisafiri kwa gari.
Ni wakati wa kuchukuwa tahadhari za ziada, siyo huko kwenye usafiri pekee, bali na kwingineko.Ni ushauri mzuri.
Wazo zuri umeoteshwa niniNi wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
Asante MkuuNi wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte