Tahadhali: Sishauri Mbowe na Lisu kutumia helicopter katika mikutano ijayo

Tahadhali: Sishauri Mbowe na Lisu kutumia helicopter katika mikutano ijayo

Mbowe ana nia ovu na lissu
Mathayo 5 : 9 inasema,
"Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa MUNGU".

Kinyume cha wapatanishi ni wagombanishi.
Kinyume cha wana wa Mungu ni wana wa shetani.

Naomba umalizie mwenyewe kuwa wewe ni mwana wa ....
 
Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.

Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU

Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?

take care Erythrocyte
Kwani Mbowe amegombana na MOSSAD?
 
Mathayo 5 : 9 inasema,
"Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa MUNGU".

Kinyume cha wapatanishi ni wagombanishi.
Kinyume cha wana wa Mungu ni wana wa shetani.

Naomba umalizie mwenyewe kuwa wewe ni mwana wa ....
sijakuelewa< nani kagombana na nani?
 
Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.

Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU

Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?

take care Erythrocyte
Naunga hoja for 100%
 
Kwa nini vijana wa siku hizi hawajui kuandika??? Wanafundishwa na nani??!! "TAHADHALI" ni nini?? Inaudhi!!
 
Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.

Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU

Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?

take care Erythrocyte
Asante naimani wqtakuweko humu ndani la sivyo wapatiwe huu ujumbe.
Naunga mkono hoja hii.
MaChawa vs maCCM wanaogombana kila kukicha huko bungeni wanatisha.
 
Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.

Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU

Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?

take care Erythrocyte
Ni kweli! lakini waarabu wenye mbuga zao wa ngorongoro wameishaipiga mkwara serikali! SAA100 ulaaniwe hadi kizazi cha 6
 
Back
Top Bottom