vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Wapande wote kwenye chopa moja kupunguza gharama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana, siasa za magufuli, sasa samia na Risasi za lisu, one has to think wideWazo zuri umeoteshwa nini
I also like thinking out side the boxhapana, siasa za magufuli, sasa samia na Risasi za lisu, one has to think wide
Mathayo 5 : 9 inasema,Mbowe ana nia ovu na lissu
Kwani Mbowe amegombana na MOSSAD?Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
HAO NI YAKO UTAJIJU MENYEWEKwani Mbowe amegombana na MOSSAD?
sijakuelewa< nani kagombana na nani?Mathayo 5 : 9 inasema,
"Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa MUNGU".
Kinyume cha wapatanishi ni wagombanishi.
Kinyume cha wana wa Mungu ni wana wa shetani.
Naomba umalizie mwenyewe kuwa wewe ni mwana wa ....
Naunga hoja for 100%Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
Punguza chuki Wewe, kwanini Siasa zimefubaza akili yako mpaka umekuwa na mawazo ya hovyo kumuhusu mtu fulani.Mbowe ana nia ovu na lissu
Nilimjibu huyo kilaza CCM MKAMBARANI aliyeandika Mbowe ana nia ovu na Lissu.sijakuelewa< nani kagombana na nani?
Asante naimani wqtakuweko humu ndani la sivyo wapatiwe huu ujumbe.Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte
Huyo bwashee ni mzee, si kijana,Kwa nini vijana wa siku hizi hawajui kuandika??? Wanafundishwa na nani??!! "TAHADHALI" ni nini?? Inaudhi!!
Ni kweli! lakini waarabu wenye mbuga zao wa ngorongoro wameishaipiga mkwara serikali! SAA100 ulaaniwe hadi kizazi cha 6Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter.
Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU
Mnajiaminisha vipi? kwa ya Iran are you exempted? Ya malawi?
take care Erythrocyte