Tahadhari aliyoitoa Nyerere 1996 kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC

Tahadhari aliyoitoa Nyerere 1996 kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni ardhi yao ya asili.

Maoni yangu:

1. Banyamulenge (Wanyarwanda wa DRC) wapewe uhuru Mashariki ya DRC wawe na nchi yao kwa sababu inaonekana Wakongoman hawapo tayari kuchangamana na Banyamulenge labda wanamuogopa Kagame.

2. Serikali ya DRC itende haki kwa Banyamulenge huko Mashariki ya DRC.

Habari kamili:

Wanyamulenge walijipata upande wa Congo wakati wakoloni walipokata mipaka mipya ya mataifa ya Afrika katika miaka ya 1900. Baadhi ya wenyeji wa ufalme wa zamani wa Rwanda kutoka kabila la Abanyamulenge ndio wanaounda kundi la M23.

Akielezea chanzo cha tatizo la Wanyamulenge katika mkutano ulioandaliwa New York na taasisi ya amani, International Peace Academy mwaka 1996, aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliilaumu serikali ya Zaïre kwa kusababisha mzozo wa ya kikabila kwa kushindwa kusitisha unyanyasaji.

''Wanyamulenga sio wahamiaji waliokuja Zaïre. Ufalme wa Rwanda uliganywa kati ya Ubelgiji na Ujerumani. Na Ubelgiji ulichukua theluthi mbili ya ufalme wa Rwanda…Tunaposema heshimu mpaka uliowekwa na Ujerumani na Ubelgiji, pia tunapaswa kuwaheshimu watu uliowapokea chini ya mgawanyo'', alisema Nyerere na kuongeza kuwa: Huwezi kugeuka na kusema si raia wa nchi hii. Je utawarejesha peke yao au utawarudisha na kipande chao cha ardhi?...huwezi kusema nenda nyumbani!, nyumbani wapi?''.

Katika kujenga hoja yake, Nyerere alitoa mfano wa kabila la Wamasai wa Tanzania na Wamasai wa Kenya na kusema hawawezi kuambiwa warudi Kenya ama Tanzania kwa kuwa nchi yao ya asili iligawanywa katika makoloni mawili ya Waingereza na Wajerumani na baada ya uhuru wamejikuta wapo katika nchi mbili tofauti.

Vita vya mara kwa mara

M23 inasema kuwa inapigania maslahi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda, ambao wamekuwa wakinyanyaswa na hata kuuawa na serikali ya Kinshasa.

Waasi wa M23 pia wanailamu serikali ya DRC pia kuyaunga mkono makundi ya waasi yanayoendesha harakati zao nchini Kongo, wakiwemo wapiganaji wa jamii ya Kihutu kutoka Rwanda waliotorokea DRC mwaka 1994 baada mauaji ya kimbari, kuwaangamiza ili kuwalazimisha kurudi Rwanda, shutuhuma ambazo serikali ya DRC inazikanusha.

Madai hayo mawili pia yanaungwa mkono na Rwanda, na ndiyo chimbuko la nchi hiyo kuhusishwa na kulaumiwa kwa kuwaunga mkono na kuwafadhili waasi wa M23 na harakati zao nchini DRC.

Suala la ubaguzi dhidi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda (Wanyamulenge) lipo tangu enzi ya utawala wa Mobutu Sese Seko, DRC ikiitwa Zaïre. Wanyamulenge wanaozungumza Kinyarwanda wanaopatikana zaidi katika maeneo ya Kivu wamekuwa wakisema wamenyanyaswa tangu miaka ya 1960 na wamekuwa wakiambiwa "warudi nyumbani" Rwanda.

Uhusiano wa karibu wa Rwanda na M23 unathibitika pia kwa ukaribu wa baadhi ya wakuu kundi hilo na utawala wa Kigali. Kamanda mkuuwa kijeshi wa M23 Sultani Makenga, alipigana chini ya Paul Kagame wakati huo akiongoza waasi kutwaa madaraka Kigali dhidi ya iliyokuwa serikali ya Rwanda na kukomesha mauaji ya Kimbari mwaka 1994. Na baada ya hapo, Makenga pamoja na Banyamulenge wengine waliomuunga mkono Kagame walijiunga na makundi mengine ya wanamgambo na kushirikiana na jeshi la Rwanda kumpindua Mobutu Sese Seko na hatimaye kumuwezesha Laurent-Désiré Kabila kuingia madarakani.

Usuluhishi

Juhudi za upatanishi wa kikanda juu ya utatuzi wa mzozo wa DRC, M23 na Rwanda kupitia mazungumzo ya Nairobi na ya Luanda yaliyoongozwa na Rais wa Angola João Lourenço na Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na kutumwa kwa vikosi vya Afrika Mashariki, na vile vya SADC zimeshindwa kupata suluhu ya amani kufikia sasa katika eneo hilo la mashariki mwa DRC.

Kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kinachofahamika kama MONUSCO ambacho kimekuwa DRC kwa miaka takriban 30 pia kimeshindwa kumaliza mzozo wa Mashariki mwa DRC.

Pande zote pia zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya amani, ambayo yangeweza kuleta suluhu la mzozo huo.

Mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia Dkt. Nicodemus Minde anasema suluhu la mzozo wa DRC litapatikana kwa njia ya kisiasa na kidiplomasia na sio kwa hatua za kijeshi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa.

Jambo la kwanza ''Kunapaswa kuwa na muktadha wa kufahamu ni nini kinachoendelea, Rwanda, DRC – Kwa wasuluhishaji ni muhimu kuangalia chimbuko kihistoria zaidi na kufahamu chimbuko la mzozo. Tukifahamu historia ya vita na malumbano itakuwa ni njia nzuri'', anasema Dkt. Minde.

Kulingana naye suluhu ya sasa ni kuwakutanisha mahasimu na kuwaleta katika meza ya mazungumzo. Hata hivyo anasema mzozo huu hauna suluhisho moja tu.

''Mzozo huu unahitaji suluhisho la usitishaji mapigano, suluhisho la muda mfupi la utekelezaji wa michakato ya amani inayoendelea kwa mfano mchakato wa Luanda uliokwama kutokana na Rwanda kutokubaliana nao, na mchakato wa Nairobi uliosusiwa na Rais wa DRC Felix Tschidekedi''.

Aidha anasema suluhu nyingine inayoweza kudumu ni ''Kuiunganisha michakato hii miwili ambayo itawaleta wahusika wa mzozo huu kutoka EAC na SADC kwa kuwa ndio wanaoelewa zaidi hali halisi ya mzozo wa DRC na chimbuko lake.''

Viongozi wa SADC na EAC wanatarajiwa kukutana jijini Dar Es Salaam Ijumaa na Jumamosi ya wiki hii kujadiliana kuhusu mgogoro huo.

Funzo lililopatikana miaka 12 iliyopita ni kuwa vita peke yake haviwezi kumaliza mgogoro huu.

Chanzo: BBC Swahili
 
Hivi hizi chuki dhidi ya Watutsi sijui asili yake wapi?!
 
Watsi ni hatari jkiwapa uhuru watasumbua eneo lote la maziwa makuu, sioni kama kuna haja ya kugawa nchi kwasababu ya watu wachache je makabila mengine kama masai wa ha nk waliogawanya na mipaka ya wakoroni itakua je?
 
R.I.P Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Akina Museveni na Rugyema na Kagame walipata bahati na kujijengea umwamba baada ya jeshi la Idi Amin kuvamia Kagera enclave. Jeshi la Tanzania lilipigana nchini Uganda bega kwa bega na maaskari wa Obote walioongozwa na kamanda wao Oyite Ojok(Mlangi) na Mzee Tito Okello(MuAcholi). Hawa na wapiganaji wao ni wa Northern Uganda. Masaka na Mbarara ndiyo ilikuwa miji mikubwa kuchukuliwa na Majeshi ya Tanzania ambayo ipo kusini mwa Uganda. Wakazi wa Masaka ni waBaganda na wakazi wa Mbarara ni Wanyankole ambao ni ethnic extract ya Watutsi. Wakati vita vinaendelea northwards, jeshi la Tanzania likaanzisha kambi za mafunzo kuwatrain Waganda ili wawe na jeshi lao. Bagandas hawakuwa interested kuwa recruited, ila baadhi ya Wanyankole na Watutsi wengi sana wakiongozwa na Rugyema na Kagame walichukua hiyo fursa. By the time jeshi la Amin limechakazwa, wanajeshi wengi wa jeshi la Uganda walikuwa Watutsi. Obote aliporudi Uganda na kushinda uchaguzi na kuwa raisi kwa mara ya pili, Museveni na jamaa zake wakaingia msituni kama guerrillas. Hawakuchukua muda wakamuua Oyite Ojok na hatimaye wakachukua nchi. Rugyema akawa Deputy Minister of Defence na Deputy army commander na Kagame akawa chief of intelligence. Hapa ndipo wakaanza mkakati wa civil war in Rwanda(Rugyema akauwawa siku ya pili ya uvamizi wa kwanza wa Rwanda, finger pointing to Kagame) .

Kagame amefikia hapo alipo kwa bahati tu ya kuwa watu wao walijitokeza kwa wingi kuunda jeshi la Uganda lililokuwa trained na Watanzania.
 
Vijana wa Nyerere hawa,wakati wa Mwalimu alikuwa anapinga sana ubaguzi wa aina yoyote.
 
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni ardhi yao ya asili.

Maoni yangu:

1. Banyamulenge (Wanyarwanda wa DRC) wapewe uhuru Mashariki ya DRC wawe na nchi yao kwa sababu inaonekana Wakongoman hawapo tayari kuchangamana na Banyamulenge labda wanamuogopa Kagame.

2. Serikali ya DRC itende haki kwa Banyamulenge huko Mashariki ya DRC.

Habari kamili:

Wanyamulenge walijipata upande wa Congo wakati wakoloni walipokata mipaka mipya ya mataifa ya Afrika katika miaka ya 1900. Baadhi ya wenyeji wa ufalme wa zamani wa Rwanda kutoka kabila la Abanyamulenge ndio wanaounda kundi la M23.

Akielezea chanzo cha tatizo la Wanyamulenge katika mkutano ulioandaliwa New York na taasisi ya amani, International Peace Academy mwaka 1996, aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliilaumu serikali ya Zaïre kwa kusababisha mzozo wa ya kikabila kwa kushindwa kusitisha unyanyasaji.

''Wanyamulenga sio wahamiaji waliokuja Zaïre. Ufalme wa Rwanda uliganywa kati ya Ubelgiji na Ujerumani. Na Ubelgiji ulichukua theluthi mbili ya ufalme wa Rwanda…Tunaposema heshimu mpaka uliowekwa na Ujerumani na Ubelgiji, pia tunapaswa kuwaheshimu watu uliowapokea chini ya mgawanyo'', alisema Nyerere na kuongeza kuwa: Huwezi kugeuka na kusema si raia wa nchi hii. Je utawarejesha peke yao au utawarudisha na kipande chao cha ardhi?...huwezi kusema nenda nyumbani!, nyumbani wapi?''.

Katika kujenga hoja yake, Nyerere alitoa mfano wa kabila la Wamasai wa Tanzania na Wamasai wa Kenya na kusema hawawezi kuambiwa warudi Kenya ama Tanzania kwa kuwa nchi yao ya asili iligawanywa katika makoloni mawili ya Waingereza na Wajerumani na baada ya uhuru wamejikuta wapo katika nchi mbili tofauti.

Vita vya mara kwa mara

M23 inasema kuwa inapigania maslahi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda, ambao wamekuwa wakinyanyaswa na hata kuuawa na serikali ya Kinshasa.

Waasi wa M23 pia wanailamu serikali ya DRC pia kuyaunga mkono makundi ya waasi yanayoendesha harakati zao nchini Kongo, wakiwemo wapiganaji wa jamii ya Kihutu kutoka Rwanda waliotorokea DRC mwaka 1994 baada mauaji ya kimbari, kuwaangamiza ili kuwalazimisha kurudi Rwanda, shutuhuma ambazo serikali ya DRC inazikanusha.

Madai hayo mawili pia yanaungwa mkono na Rwanda, na ndiyo chimbuko la nchi hiyo kuhusishwa na kulaumiwa kwa kuwaunga mkono na kuwafadhili waasi wa M23 na harakati zao nchini DRC.

Suala la ubaguzi dhidi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda (Wanyamulenge) lipo tangu enzi ya utawala wa Mobutu Sese Seko, DRC ikiitwa Zaïre. Wanyamulenge wanaozungumza Kinyarwanda wanaopatikana zaidi katika maeneo ya Kivu wamekuwa wakisema wamenyanyaswa tangu miaka ya 1960 na wamekuwa wakiambiwa "warudi nyumbani" Rwanda.

Uhusiano wa karibu wa Rwanda na M23 unathibitika pia kwa ukaribu wa baadhi ya wakuu kundi hilo na utawala wa Kigali. Kamanda mkuuwa kijeshi wa M23 Sultani Makenga, alipigana chini ya Paul Kagame wakati huo akiongoza waasi kutwaa madaraka Kigali dhidi ya iliyokuwa serikali ya Rwanda na kukomesha mauaji ya Kimbari mwaka 1994. Na baada ya hapo, Makenga pamoja na Banyamulenge wengine waliomuunga mkono Kagame walijiunga na makundi mengine ya wanamgambo na kushirikiana na jeshi la Rwanda kumpindua Mobutu Sese Seko na hatimaye kumuwezesha Laurent-Désiré Kabila kuingia madarakani.

Usuluhishi

Juhudi za upatanishi wa kikanda juu ya utatuzi wa mzozo wa DRC, M23 na Rwanda kupitia mazungumzo ya Nairobi na ya Luanda yaliyoongozwa na Rais wa Angola João Lourenço na Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na kutumwa kwa vikosi vya Afrika Mashariki, na vile vya SADC zimeshindwa kupata suluhu ya amani kufikia sasa katika eneo hilo la mashariki mwa DRC.

Kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kinachofahamika kama MONUSCO ambacho kimekuwa DRC kwa miaka takriban 30 pia kimeshindwa kumaliza mzozo wa Mashariki mwa DRC.

Pande zote pia zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya amani, ambayo yangeweza kuleta suluhu la mzozo huo.

Mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia Dkt. Nicodemus Minde anasema suluhu la mzozo wa DRC litapatikana kwa njia ya kisiasa na kidiplomasia na sio kwa hatua za kijeshi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa.

Jambo la kwanza ''Kunapaswa kuwa na muktadha wa kufahamu ni nini kinachoendelea, Rwanda, DRC – Kwa wasuluhishaji ni muhimu kuangalia chimbuko kihistoria zaidi na kufahamu chimbuko la mzozo. Tukifahamu historia ya vita na malumbano itakuwa ni njia nzuri'', anasema Dkt. Minde.

Kulingana naye suluhu ya sasa ni kuwakutanisha mahasimu na kuwaleta katika meza ya mazungumzo. Hata hivyo anasema mzozo huu hauna suluhisho moja tu.

''Mzozo huu unahitaji suluhisho la usitishaji mapigano, suluhisho la muda mfupi la utekelezaji wa michakato ya amani inayoendelea kwa mfano mchakato wa Luanda uliokwama kutokana na Rwanda kutokubaliana nao, na mchakato wa Nairobi uliosusiwa na Rais wa DRC Felix Tschidekedi''.

Aidha anasema suluhu nyingine inayoweza kudumu ni ''Kuiunganisha michakato hii miwili ambayo itawaleta wahusika wa mzozo huu kutoka EAC na SADC kwa kuwa ndio wanaoelewa zaidi hali halisi ya mzozo wa DRC na chimbuko lake.''

Viongozi wa SADC na EAC wanatarajiwa kukutana jijini Dar Es Salaam Ijumaa na Jumamosi ya wiki hii kujadiliana kuhusu mgogoro huo.

Funzo lililopatikana miaka 12 iliyopita ni kuwa vita peke yake haviwezi kumaliza mgogoro huu.

Chanzo: BBC Swahili
Afrika kwasasa ina uhaba wa viongozi mahiri.
Kwa sasa hivi bara la Afrika halina kabisa Kiongozi ambaye ana nguvu kubwa za ushawishi wa Hoja kama ilivyokuwa kwa maRais wa zamani wa bara hili wenye kaliba Kama ya Hayati Mwl. Nyerere au Nelson Mandela. Hakuna Viongozi wa namna hii.
Kwa bahati mbaya zaidi, hata wale Watawala wachache ambao ni Wakongwe Sana katika nyanja za kisiasa Kama vile Rais Yoweri Museven wa Uganda au Rais Paul Biya wa Cameron nao pia wamekuwa wazee wa hovyo kabisa, wazee wasio na hekima wala busara. Katika hali ya kawaida ilitarajiwa kwamba wazee hawa wangekuwa mfano mzuri wa kuigwa na Viongozi wengine wachanga waliopo kwenye bara hili la Afrika kwa kwenda kuwaomba ushauri, lakini kwa bahati mbaya sana hawa wazee wenyewe ndio wamekuwa kielelezo Cha mifano mibaya katika Utawala mbaya sana wa Kidikteta katika nchi zao.
 

Attachments

  • GgOt2QnaUAA9dOS.jpeg
    GgOt2QnaUAA9dOS.jpeg
    72.8 KB · Views: 2
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni ardhi yao ya asili.

Maoni yangu:

1. Banyamulenge (Wanyarwanda wa DRC) wapewe uhuru Mashariki ya DRC wawe na nchi yao kwa sababu inaonekana Wakongoman hawapo tayari kuchangamana na Banyamulenge labda wanamuogopa Kagame.

2. Serikali ya DRC itende haki kwa Banyamulenge huko Mashariki ya DRC.

Habari kamili:

Wanyamulenge walijipata upande wa Congo wakati wakoloni walipokata mipaka mipya ya mataifa ya Afrika katika miaka ya 1900. Baadhi ya wenyeji wa ufalme wa zamani wa Rwanda kutoka kabila la Abanyamulenge ndio wanaounda kundi la M23.

Akielezea chanzo cha tatizo la Wanyamulenge katika mkutano ulioandaliwa New York na taasisi ya amani, International Peace Academy mwaka 1996, aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliilaumu serikali ya Zaïre kwa kusababisha mzozo wa ya kikabila kwa kushindwa kusitisha unyanyasaji.

''Wanyamulenga sio wahamiaji waliokuja Zaïre. Ufalme wa Rwanda uliganywa kati ya Ubelgiji na Ujerumani. Na Ubelgiji ulichukua theluthi mbili ya ufalme wa Rwanda…Tunaposema heshimu mpaka uliowekwa na Ujerumani na Ubelgiji, pia tunapaswa kuwaheshimu watu uliowapokea chini ya mgawanyo'', alisema Nyerere na kuongeza kuwa: Huwezi kugeuka na kusema si raia wa nchi hii. Je utawarejesha peke yao au utawarudisha na kipande chao cha ardhi?...huwezi kusema nenda nyumbani!, nyumbani wapi?''.

Katika kujenga hoja yake, Nyerere alitoa mfano wa kabila la Wamasai wa Tanzania na Wamasai wa Kenya na kusema hawawezi kuambiwa warudi Kenya ama Tanzania kwa kuwa nchi yao ya asili iligawanywa katika makoloni mawili ya Waingereza na Wajerumani na baada ya uhuru wamejikuta wapo katika nchi mbili tofauti.

Vita vya mara kwa mara

M23 inasema kuwa inapigania maslahi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda, ambao wamekuwa wakinyanyaswa na hata kuuawa na serikali ya Kinshasa.

Waasi wa M23 pia wanailamu serikali ya DRC pia kuyaunga mkono makundi ya waasi yanayoendesha harakati zao nchini Kongo, wakiwemo wapiganaji wa jamii ya Kihutu kutoka Rwanda waliotorokea DRC mwaka 1994 baada mauaji ya kimbari, kuwaangamiza ili kuwalazimisha kurudi Rwanda, shutuhuma ambazo serikali ya DRC inazikanusha.

Madai hayo mawili pia yanaungwa mkono na Rwanda, na ndiyo chimbuko la nchi hiyo kuhusishwa na kulaumiwa kwa kuwaunga mkono na kuwafadhili waasi wa M23 na harakati zao nchini DRC.

Suala la ubaguzi dhidi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda (Wanyamulenge) lipo tangu enzi ya utawala wa Mobutu Sese Seko, DRC ikiitwa Zaïre. Wanyamulenge wanaozungumza Kinyarwanda wanaopatikana zaidi katika maeneo ya Kivu wamekuwa wakisema wamenyanyaswa tangu miaka ya 1960 na wamekuwa wakiambiwa "warudi nyumbani" Rwanda.

Uhusiano wa karibu wa Rwanda na M23 unathibitika pia kwa ukaribu wa baadhi ya wakuu kundi hilo na utawala wa Kigali. Kamanda mkuuwa kijeshi wa M23 Sultani Makenga, alipigana chini ya Paul Kagame wakati huo akiongoza waasi kutwaa madaraka Kigali dhidi ya iliyokuwa serikali ya Rwanda na kukomesha mauaji ya Kimbari mwaka 1994. Na baada ya hapo, Makenga pamoja na Banyamulenge wengine waliomuunga mkono Kagame walijiunga na makundi mengine ya wanamgambo na kushirikiana na jeshi la Rwanda kumpindua Mobutu Sese Seko na hatimaye kumuwezesha Laurent-Désiré Kabila kuingia madarakani.

Usuluhishi

Juhudi za upatanishi wa kikanda juu ya utatuzi wa mzozo wa DRC, M23 na Rwanda kupitia mazungumzo ya Nairobi na ya Luanda yaliyoongozwa na Rais wa Angola João Lourenço na Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na kutumwa kwa vikosi vya Afrika Mashariki, na vile vya SADC zimeshindwa kupata suluhu ya amani kufikia sasa katika eneo hilo la mashariki mwa DRC.

Kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kinachofahamika kama MONUSCO ambacho kimekuwa DRC kwa miaka takriban 30 pia kimeshindwa kumaliza mzozo wa Mashariki mwa DRC.

Pande zote pia zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya amani, ambayo yangeweza kuleta suluhu la mzozo huo.

Mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia Dkt. Nicodemus Minde anasema suluhu la mzozo wa DRC litapatikana kwa njia ya kisiasa na kidiplomasia na sio kwa hatua za kijeshi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa.

Jambo la kwanza ''Kunapaswa kuwa na muktadha wa kufahamu ni nini kinachoendelea, Rwanda, DRC – Kwa wasuluhishaji ni muhimu kuangalia chimbuko kihistoria zaidi na kufahamu chimbuko la mzozo. Tukifahamu historia ya vita na malumbano itakuwa ni njia nzuri'', anasema Dkt. Minde.

Kulingana naye suluhu ya sasa ni kuwakutanisha mahasimu na kuwaleta katika meza ya mazungumzo. Hata hivyo anasema mzozo huu hauna suluhisho moja tu.

''Mzozo huu unahitaji suluhisho la usitishaji mapigano, suluhisho la muda mfupi la utekelezaji wa michakato ya amani inayoendelea kwa mfano mchakato wa Luanda uliokwama kutokana na Rwanda kutokubaliana nao, na mchakato wa Nairobi uliosusiwa na Rais wa DRC Felix Tschidekedi''.

Aidha anasema suluhu nyingine inayoweza kudumu ni ''Kuiunganisha michakato hii miwili ambayo itawaleta wahusika wa mzozo huu kutoka EAC na SADC kwa kuwa ndio wanaoelewa zaidi hali halisi ya mzozo wa DRC na chimbuko lake.''

Viongozi wa SADC na EAC wanatarajiwa kukutana jijini Dar Es Salaam Ijumaa na Jumamosi ya wiki hii kujadiliana kuhusu mgogoro huo.

Funzo lililopatikana miaka 12 iliyopita ni kuwa vita peke yake haviwezi kumaliza mgogoro huu.

Chanzo: BBC Swahili
Hakuna namna ni aidha wapewe Nchi Yao au wawe Wakongomani.
 
Kwa sasa hivi bara la Afrika halina kabisa Kiongozi ambaye ana nguvu kubwa za ushawishi wa Hoja kama ilivyokuwa kwa maRais wa zamani wa bara hili wenye kaliba Kama ya Hayati Mwl. Nyerere au Nelson Mandela. Hakuna Viongozi wa namna hii.
Kwa bahati mbaya zaidi, hata wale Watawala wachache ambao ni Wakongwe Sana katika nyanja za kisiasa Kama vile Rais Yoweri Museven wa Uganda au Rais Paul Biya wa Cameron nao pia wamekuwa wazee wa hovyo kabisa, wazee wasio na hekima wala busara. Katika hali ya kawaida ilitarajiwa kwamba wazee hawa wangekuwa mfano mzuri wa kuigwa na Viongozi wengine wachanga waliopo kwenye bara hili la Afrika kwa kwenda kuwaomba ushauri, lakini kwa bahati mbaya sana hawa wazee wenyewe ndio wamekuwa kielelezo Cha mifano mibaya katika Utawala mbaya sana wa Kidikteta katika nchi zao.
Museveni jana nilimuona akitabasamu na Paul Kagame. Wanajua kinachofanyika
 
Akina Museveni na Rugyema na Kagame walipata bahati na kujijengea umwamba baada ya jeshi la Idi Amin kuvamia Kagera enclave. Jeshi la Tanzania lilipigana nchini Uganda bega kwa bega na maaskari wa Obote walioongozwa na kamanda wao Oyite Ojok(Mlangi) na Mzee Tito Okello(MuAcholi). Hawa na wapiganaji wao ni wa Northern Uganda. Masaka na Mbarara ndiyo ilikuwa miji mikubwa kuchukuliwa na Majeshi ya Tanzania ambayo ipo kusini mwa Uganda. Wakazi wa Masaka ni waBaganda na wakazi wa Mbarara ni Wanyankole ambao ni ethnic extract ya Watutsi. Wakati vita vinaendelea northwards, jeshi la Tanzania likaanzisha kambi za mafunzo kuwatrain Waganda ili wawe na jeshi lao. Bagandas hawakuwa interested kuwa recruited, ila baadhi ya Wanyankole na Watutsi wengi sana wakiongozwa na Rugyema na Kagame walichukua hiyo fursa. By the time jeshi la Amin limechakazwa, wanajeshi wengi wa jeshi la Uganda walikuwa Watutsi. Obote aliporudi Uganda na kushinda uchaguzi na kuwa raisi kwa mara ya pili, Museveni na jamaa zake wakaingia msituni kama guerrillas. Hawakuchukua muda wakamuua Oyite Ojok na hatimaye wakachukua nchi. Rugyema akawa Deputy Minister of Defence na Deputy army commander na Kagame akawa chief of intelligence. Hapa ndipo wakaanza mkakati wa civil war in Rwanda(Rugyema akauwawa siku ya pili ya uvamizi wa kwanza wa Rwanda, finger pointing to Kagame) .

Kagame amefikia hapo alipo kwa bahati tu ya kuwa watu wao walijitokeza kwa wingi kuunda jeshi la Uganda lililokuwa trained na Watanzania.
Kwa kifupi unataka kusema TPDF ilikuwa inatoa support kwa MU7 bila kujua nini museven kagame na fred walikuwa wamekipanga leo. Hata mm naamini TANZANIA tulimis calculate outcomes za kagera war
 
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni ardhi yao ya asili.

Maoni yangu:

1. Banyamulenge (Wanyarwanda wa DRC) wapewe uhuru Mashariki ya DRC wawe na nchi yao kwa sababu inaonekana Wakongoman hawapo tayari kuchangamana na Banyamulenge labda wanamuogopa Kagame.

2. Serikali ya DRC itende haki kwa Banyamulenge huko Mashariki ya DRC.

Habari kamili:

Wanyamulenge walijipata upande wa Congo wakati wakoloni walipokata mipaka mipya ya mataifa ya Afrika katika miaka ya 1900. Baadhi ya wenyeji wa ufalme wa zamani wa Rwanda kutoka kabila la Abanyamulenge ndio wanaounda kundi la M23.

Akielezea chanzo cha tatizo la Wanyamulenge katika mkutano ulioandaliwa New York na taasisi ya amani, International Peace Academy mwaka 1996, aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliilaumu serikali ya Zaïre kwa kusababisha mzozo wa ya kikabila kwa kushindwa kusitisha unyanyasaji.

''Wanyamulenga sio wahamiaji waliokuja Zaïre. Ufalme wa Rwanda uliganywa kati ya Ubelgiji na Ujerumani. Na Ubelgiji ulichukua theluthi mbili ya ufalme wa Rwanda…Tunaposema heshimu mpaka uliowekwa na Ujerumani na Ubelgiji, pia tunapaswa kuwaheshimu watu uliowapokea chini ya mgawanyo'', alisema Nyerere na kuongeza kuwa: Huwezi kugeuka na kusema si raia wa nchi hii. Je utawarejesha peke yao au utawarudisha na kipande chao cha ardhi?...huwezi kusema nenda nyumbani!, nyumbani wapi?''.

Katika kujenga hoja yake, Nyerere alitoa mfano wa kabila la Wamasai wa Tanzania na Wamasai wa Kenya na kusema hawawezi kuambiwa warudi Kenya ama Tanzania kwa kuwa nchi yao ya asili iligawanywa katika makoloni mawili ya Waingereza na Wajerumani na baada ya uhuru wamejikuta wapo katika nchi mbili tofauti.

Vita vya mara kwa mara

M23 inasema kuwa inapigania maslahi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda, ambao wamekuwa wakinyanyaswa na hata kuuawa na serikali ya Kinshasa.

Waasi wa M23 pia wanailamu serikali ya DRC pia kuyaunga mkono makundi ya waasi yanayoendesha harakati zao nchini Kongo, wakiwemo wapiganaji wa jamii ya Kihutu kutoka Rwanda waliotorokea DRC mwaka 1994 baada mauaji ya kimbari, kuwaangamiza ili kuwalazimisha kurudi Rwanda, shutuhuma ambazo serikali ya DRC inazikanusha.

Madai hayo mawili pia yanaungwa mkono na Rwanda, na ndiyo chimbuko la nchi hiyo kuhusishwa na kulaumiwa kwa kuwaunga mkono na kuwafadhili waasi wa M23 na harakati zao nchini DRC.

Suala la ubaguzi dhidi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda (Wanyamulenge) lipo tangu enzi ya utawala wa Mobutu Sese Seko, DRC ikiitwa Zaïre. Wanyamulenge wanaozungumza Kinyarwanda wanaopatikana zaidi katika maeneo ya Kivu wamekuwa wakisema wamenyanyaswa tangu miaka ya 1960 na wamekuwa wakiambiwa "warudi nyumbani" Rwanda.

Uhusiano wa karibu wa Rwanda na M23 unathibitika pia kwa ukaribu wa baadhi ya wakuu kundi hilo na utawala wa Kigali. Kamanda mkuuwa kijeshi wa M23 Sultani Makenga, alipigana chini ya Paul Kagame wakati huo akiongoza waasi kutwaa madaraka Kigali dhidi ya iliyokuwa serikali ya Rwanda na kukomesha mauaji ya Kimbari mwaka 1994. Na baada ya hapo, Makenga pamoja na Banyamulenge wengine waliomuunga mkono Kagame walijiunga na makundi mengine ya wanamgambo na kushirikiana na jeshi la Rwanda kumpindua Mobutu Sese Seko na hatimaye kumuwezesha Laurent-Désiré Kabila kuingia madarakani.

Usuluhishi

Juhudi za upatanishi wa kikanda juu ya utatuzi wa mzozo wa DRC, M23 na Rwanda kupitia mazungumzo ya Nairobi na ya Luanda yaliyoongozwa na Rais wa Angola João Lourenço na Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na kutumwa kwa vikosi vya Afrika Mashariki, na vile vya SADC zimeshindwa kupata suluhu ya amani kufikia sasa katika eneo hilo la mashariki mwa DRC.

Kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kinachofahamika kama MONUSCO ambacho kimekuwa DRC kwa miaka takriban 30 pia kimeshindwa kumaliza mzozo wa Mashariki mwa DRC.

Pande zote pia zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya amani, ambayo yangeweza kuleta suluhu la mzozo huo.

Mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia Dkt. Nicodemus Minde anasema suluhu la mzozo wa DRC litapatikana kwa njia ya kisiasa na kidiplomasia na sio kwa hatua za kijeshi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa.

Jambo la kwanza ''Kunapaswa kuwa na muktadha wa kufahamu ni nini kinachoendelea, Rwanda, DRC – Kwa wasuluhishaji ni muhimu kuangalia chimbuko kihistoria zaidi na kufahamu chimbuko la mzozo. Tukifahamu historia ya vita na malumbano itakuwa ni njia nzuri'', anasema Dkt. Minde.

Kulingana naye suluhu ya sasa ni kuwakutanisha mahasimu na kuwaleta katika meza ya mazungumzo. Hata hivyo anasema mzozo huu hauna suluhisho moja tu.

''Mzozo huu unahitaji suluhisho la usitishaji mapigano, suluhisho la muda mfupi la utekelezaji wa michakato ya amani inayoendelea kwa mfano mchakato wa Luanda uliokwama kutokana na Rwanda kutokubaliana nao, na mchakato wa Nairobi uliosusiwa na Rais wa DRC Felix Tschidekedi''.

Aidha anasema suluhu nyingine inayoweza kudumu ni ''Kuiunganisha michakato hii miwili ambayo itawaleta wahusika wa mzozo huu kutoka EAC na SADC kwa kuwa ndio wanaoelewa zaidi hali halisi ya mzozo wa DRC na chimbuko lake.''

Viongozi wa SADC na EAC wanatarajiwa kukutana jijini Dar Es Salaam Ijumaa na Jumamosi ya wiki hii kujadiliana kuhusu mgogoro huo.

Funzo lililopatikana miaka 12 iliyopita ni kuwa vita peke yake haviwezi kumaliza mgogoro huu.

Chanzo: BBC Swahili
kuna vitunachanganya , Rwanda ni mjumuiko wa makabila matatu yaani watutsi , wahutu na watwaa , ni kwel hilo eneo lilikuwa chini ya Rwanda na sio watutsi tu ( yaan banyamulenge ) kwann ttzo liwepo kwa banyamulenge ( watutsi) na sio wahutu au watwaa ?

Kama umeish na watutsi(banyamulenge) bas lzm ukae upande wa DRC , hawa watu hupend kupewa kipaombele kweny kila sehem wakifika wakiwa hatatip robo ya jamii , kiufup wanaoenda attention , na wanajua kutia huruma sana mf hapo Rwanda 1994 hii story imegeuzwa kuonesha wao ndo waliuliwa sana ingawaje story ni tofaut , wao ndo wakorofI waliua marais kadhaa wa kihutu ila ukimya wa wahutu ulifawafany watutsi kunogewa kiua zaid kila rais mhutu mpk kufikia mwaka 1994 wakamuua Habyamara tena hali iliyopelekea wahutu kuamka na kuanza washambulia watutsi ambao wamekuwa wabinafsi sn kutaka wao waongoze ila wahuty wasiongeze nchi
 
Kumbe serikali ya DRC ikitumia njia ya vita haiwezi kuvimaliza vita vya mashariki dhidi ya M23 bali mazungumzo, kwa sababu M23 hawapo tayari kuondoka Mashariki ya DRC kwa sababu wanaichukulia ni ardhi yao ya asili.

Maoni yangu:

1. Banyamulenge (Wanyarwanda wa DRC) wapewe uhuru Mashariki ya DRC wawe na nchi yao kwa sababu inaonekana Wakongoman hawapo tayari kuchangamana na Banyamulenge labda wanamuogopa Kagame.

2. Serikali ya DRC itende haki kwa Banyamulenge huko Mashariki ya DRC.

Habari kamili:

Wanyamulenge walijipata upande wa Congo wakati wakoloni walipokata mipaka mipya ya mataifa ya Afrika katika miaka ya 1900. Baadhi ya wenyeji wa ufalme wa zamani wa Rwanda kutoka kabila la Abanyamulenge ndio wanaounda kundi la M23.

Akielezea chanzo cha tatizo la Wanyamulenge katika mkutano ulioandaliwa New York na taasisi ya amani, International Peace Academy mwaka 1996, aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliilaumu serikali ya Zaïre kwa kusababisha mzozo wa ya kikabila kwa kushindwa kusitisha unyanyasaji.

''Wanyamulenga sio wahamiaji waliokuja Zaïre. Ufalme wa Rwanda uliganywa kati ya Ubelgiji na Ujerumani. Na Ubelgiji ulichukua theluthi mbili ya ufalme wa Rwanda…Tunaposema heshimu mpaka uliowekwa na Ujerumani na Ubelgiji, pia tunapaswa kuwaheshimu watu uliowapokea chini ya mgawanyo'', alisema Nyerere na kuongeza kuwa: Huwezi kugeuka na kusema si raia wa nchi hii. Je utawarejesha peke yao au utawarudisha na kipande chao cha ardhi?...huwezi kusema nenda nyumbani!, nyumbani wapi?''.

Katika kujenga hoja yake, Nyerere alitoa mfano wa kabila la Wamasai wa Tanzania na Wamasai wa Kenya na kusema hawawezi kuambiwa warudi Kenya ama Tanzania kwa kuwa nchi yao ya asili iligawanywa katika makoloni mawili ya Waingereza na Wajerumani na baada ya uhuru wamejikuta wapo katika nchi mbili tofauti.

Vita vya mara kwa mara

M23 inasema kuwa inapigania maslahi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda, ambao wamekuwa wakinyanyaswa na hata kuuawa na serikali ya Kinshasa.

Waasi wa M23 pia wanailamu serikali ya DRC pia kuyaunga mkono makundi ya waasi yanayoendesha harakati zao nchini Kongo, wakiwemo wapiganaji wa jamii ya Kihutu kutoka Rwanda waliotorokea DRC mwaka 1994 baada mauaji ya kimbari, kuwaangamiza ili kuwalazimisha kurudi Rwanda, shutuhuma ambazo serikali ya DRC inazikanusha.

Madai hayo mawili pia yanaungwa mkono na Rwanda, na ndiyo chimbuko la nchi hiyo kuhusishwa na kulaumiwa kwa kuwaunga mkono na kuwafadhili waasi wa M23 na harakati zao nchini DRC.

Suala la ubaguzi dhidi ya Wakongomani wanaozungumza Kinyarwanda (Wanyamulenge) lipo tangu enzi ya utawala wa Mobutu Sese Seko, DRC ikiitwa Zaïre. Wanyamulenge wanaozungumza Kinyarwanda wanaopatikana zaidi katika maeneo ya Kivu wamekuwa wakisema wamenyanyaswa tangu miaka ya 1960 na wamekuwa wakiambiwa "warudi nyumbani" Rwanda.

Uhusiano wa karibu wa Rwanda na M23 unathibitika pia kwa ukaribu wa baadhi ya wakuu kundi hilo na utawala wa Kigali. Kamanda mkuuwa kijeshi wa M23 Sultani Makenga, alipigana chini ya Paul Kagame wakati huo akiongoza waasi kutwaa madaraka Kigali dhidi ya iliyokuwa serikali ya Rwanda na kukomesha mauaji ya Kimbari mwaka 1994. Na baada ya hapo, Makenga pamoja na Banyamulenge wengine waliomuunga mkono Kagame walijiunga na makundi mengine ya wanamgambo na kushirikiana na jeshi la Rwanda kumpindua Mobutu Sese Seko na hatimaye kumuwezesha Laurent-Désiré Kabila kuingia madarakani.

Usuluhishi

Juhudi za upatanishi wa kikanda juu ya utatuzi wa mzozo wa DRC, M23 na Rwanda kupitia mazungumzo ya Nairobi na ya Luanda yaliyoongozwa na Rais wa Angola João Lourenço na Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na kutumwa kwa vikosi vya Afrika Mashariki, na vile vya SADC zimeshindwa kupata suluhu ya amani kufikia sasa katika eneo hilo la mashariki mwa DRC.

Kikosi cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kinachofahamika kama MONUSCO ambacho kimekuwa DRC kwa miaka takriban 30 pia kimeshindwa kumaliza mzozo wa Mashariki mwa DRC.

Pande zote pia zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya amani, ambayo yangeweza kuleta suluhu la mzozo huo.

Mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia Dkt. Nicodemus Minde anasema suluhu la mzozo wa DRC litapatikana kwa njia ya kisiasa na kidiplomasia na sio kwa hatua za kijeshi ambazo zimekuwa zikishuhudiwa.

Jambo la kwanza ''Kunapaswa kuwa na muktadha wa kufahamu ni nini kinachoendelea, Rwanda, DRC – Kwa wasuluhishaji ni muhimu kuangalia chimbuko kihistoria zaidi na kufahamu chimbuko la mzozo. Tukifahamu historia ya vita na malumbano itakuwa ni njia nzuri'', anasema Dkt. Minde.

Kulingana naye suluhu ya sasa ni kuwakutanisha mahasimu na kuwaleta katika meza ya mazungumzo. Hata hivyo anasema mzozo huu hauna suluhisho moja tu.

''Mzozo huu unahitaji suluhisho la usitishaji mapigano, suluhisho la muda mfupi la utekelezaji wa michakato ya amani inayoendelea kwa mfano mchakato wa Luanda uliokwama kutokana na Rwanda kutokubaliana nao, na mchakato wa Nairobi uliosusiwa na Rais wa DRC Felix Tschidekedi''.

Aidha anasema suluhu nyingine inayoweza kudumu ni ''Kuiunganisha michakato hii miwili ambayo itawaleta wahusika wa mzozo huu kutoka EAC na SADC kwa kuwa ndio wanaoelewa zaidi hali halisi ya mzozo wa DRC na chimbuko lake.''

Viongozi wa SADC na EAC wanatarajiwa kukutana jijini Dar Es Salaam Ijumaa na Jumamosi ya wiki hii kujadiliana kuhusu mgogoro huo.

Funzo lililopatikana miaka 12 iliyopita ni kuwa vita peke yake haviwezi kumaliza mgogoro huu.

Chanzo: BBC Swahili
kuna vitunachanganya , Rwanda ni mjumuiko wa makabila matatu yaani watutsi , wahutu na watwaa , ni kwel hilo eneo lilikuwa chini ya Rwanda na sio watutsi tu ( yaan banyamulenge ) kwann ttzo liwepo kwa banyamulenge ( watutsi) na sio wahutu au watwaa ?

Kama umeish na watutsi(banyamulenge) bas lzm ukae upande wa DRC , hawa watu hupend kupewa kipaombele kweny kila sehem wakifika wakiwa hatatip robo ya jamii , kiufup wanaoenda attention , na wanajua kutia huruma sana mf hapo Rwanda 1994 hii story imegeuzwa kuonesha wao ndo waliuliwa sana ingawaje story ni tofaut , wao ndo wakorofI waliua marais kadhaa wa kihutu ila ukimya wa wahutu ulifawafany watutsi kunogewa kiua zaid kila rais mhutu mpk kufikia mwaka 1994 wakamuua Habyamara tena hali iliyopelekea wahutu kuamka na kuanza washambulia watutsi ambao wamekuwa wabinafsi sn kutaka wao waongoze ila wahuty wasiongeze
 
Hivi hizi chuki dhidi ya Watutsi sijui asili yake wapi?!
jiulize hapo mashariki ya DRC palikuwa nyumban kwa wanyarwanda yaan watutsi, , wahutu na watwaa kwann serikali ya DRC iwe na shida na hao watutsi tu ?
 
jiulize hapo mashariki ya DRC palikuwa nyumban kwa wanyarwanda yaan watutsi, , wahutu na watwaa kwann serikali ya DRC iwe na shida na hao watutsi tu ?
Nadhani wakiona pua ndogo na mtu ni mrefu mwenye madaha wanamchukia tuseme na ule ukweli.
 
Kwa sasa hivi bara la Afrika halina kabisa Kiongozi ambaye ana nguvu kubwa za ushawishi wa Hoja kama ilivyokuwa kwa maRais wa zamani wa bara hili wenye kaliba Kama ya Hayati Mwl. Nyerere au Nelson Mandela. Hakuna Viongozi wa namna hii.
Kwa bahati mbaya zaidi, hata wale Watawala wachache ambao ni Wakongwe Sana katika nyanja za kisiasa Kama vile Rais Yoweri Museven wa Uganda au Rais Paul Biya wa Cameron nao pia wamekuwa wazee wa hovyo kabisa, wazee wasio na hekima wala busara. Katika hali ya kawaida ilitarajiwa kwamba wazee hawa wangekuwa mfano mzuri wa kuigwa na Viongozi wengine wachanga waliopo kwenye bara hili la Afrika kwa kwenda kuwaomba ushauri, lakini kwa bahati mbaya sana hawa wazee wenyewe ndio wamekuwa kielelezo Cha mifano mibaya katika Utawala mbaya sana wa Kidikteta katika nchi zao.
Lengo letu ni kutengeneza muungano wa kweli wa AFRIKA MOJA bila mipaka, na migogoro itaisha swali langu ni kwanini tunachelewa?!
 
Nadhani wakiona pua ndogo na mtu ni mrefu mwenye madaha wanamchukia tuseme na ule ukweli.
Hahahaha! Hii mindset sijui inakuwaje! Mlioishi na Watusi, ni kweli hawa jamaa wanazingua mana wengine tumemezeshwa tu sumu, ukiona sura ndefu, pua ndefu, mtu mrefu unakaa mbali mana tulishambiwa hao watu wanazingua sana
 
Back
Top Bottom