Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani lakini sio kubambikia watu. Tuna mahitaji na haya maeneo wengine. Wanajiliwaza na vinywaji vya moto, wengine narudi wengine beverage tuuuu. Inapotokea una stress zako why don't you leave fun.ckn issues where it belongs??Hizo nyingine ni stress za maisha jaman sio utapeli.
Msamehe tu uwez juu kichwan anasumbuliwa na kitu gani
nipo njian naenda kudai chenji shenzi na asipokuwa nayo atatoa tigp ww na mm 2jifanye nduguNdgu zangu tunao simama kwenye hizi Bar tuweni makin
Ilikuwa hivi.
Nilisimama kinyerezi mwisho njaa ilibana Sana. Nikaona magari na wateja wasimama na wanakula Wababa wamejikalia wakila na kunywa.
Kwa kuwa ilikuwa jumamosi nikapark pembeni mbele ya bar tajwa. Nikiwa nasubiri oda ya chakula. Alinisogelea mdada mnene alivalia track(chino)na t-shirt, ni mweupe kidogo kama sio maji ya kunde, weuPe wake haujakolea kivilee,mfupi hvi. Nikamuomba anipe maji tuuu.
Baada ya dakika chache chakula kiliLetwa nikala na kunywa maji kwa amani.
Huyu dada alinidai pesa ya bia. Lahaulla... Nikihamaki tena alijia kwa hasira. Jamani maji yamekuwa bia??
Kuweni makini unaokaa bar ya Kavesu. Huyu mwehu akanikamia na judainkama nimelewa nitaikojoa. 🥲 Kwa upole nikahoji dada nimekuagizia bia au maji?? Hakunijibu nikauliza tena . Akadai bia mbili. 😆 bia Aina Gani Serengeti lite. LoL maskin hata sijui Radha yake.
Huyu mwanamke atakusumbueni
Hizi ndio shobo mgombanipo njian naenda kudai chenji shenzi na asipokuwa nayo atatoa tigp ww na mm 2jifanye ndugu
Nahizi wanywaji manapitia wakati mgumu Sana Kwa wahudumu aka bar baid was Aina ya huyu bongeHizi ndio shobo mgomba
Hakikisha anakupa bili na uihifadhi Kwa akili ya rejea.nipo njian naenda kudai chenji shenzi na asipokuwa nayo atatoa tigp ww na mm 2jifanye ndugu
Wanywaji tunabaki na visoda mfukoni,akisema bia tano badala tatu ni kibano,Nahizi wanywaji manapitia wakati mgumu Sana Kwa wahudumu aka bar baid was Aina ya huyu bonge
Shida ni kuwa stress zimemzidia had anachanganya mafaili, sio kuwa anafanya makusudiJamani lakini sio kubambikia watu. Tuna mahitaji na haya maeneo wengine. Wanajiliwaza na vinywaji vya moto, wengine narudi wengine beverage tuuuu. Inapotokea una stress zako why don't you leave fun.ckn issues where it belongs??
Hata sis tunazo but hatuwez Fanya hiv vitilu vyeny mazin gira ya kuibia watu.
Hizi tabia ni magonjwa kazina yanakuwepo. Muwe makini
Bado akibishia huchomoiWanywaji tunabaki na visoda mfukoni,akisema bia tano badala tatu ni kibano,
Hapana wanataka uwape waweke mfukon. Ni wizi Amin usiamini.Shida ni kuwa stress zimemzidia had anachanganya mafaili, sio kuwa anafanya makusudi
Embu sema ukweli kuna kitu umeficha hapo bhana.Ndgu zangu tunao simama kwenye hizi Bar tuweni makin
Ilikuwa hivi.
Nilisimama kinyerezi mwisho njaa ilibana Sana. Nikaona magari na wateja wasimama na wanakula Wababa wamejikalia wakila na kunywa.
Kwa kuwa ilikuwa jumamosi nikapark pembeni mbele ya bar tajwa. Nikiwa nasubiri oda ya chakula. Alinisogelea mdada mnene alivalia track(chino)na t-shirt, ni mweupe kidogo kama sio maji ya kunde, weuPe wake haujakolea kivilee,mfupi hvi. Nikamuomba anipe maji tuuu.
Baada ya dakika chache chakula kiliLetwa nikala na kunywa maji kwa amani.
Huyu dada alinidai pesa ya bia. Lahaulla... Nikihamaki tena alijia kwa hasira. Jamani maji yamekuwa bia??
Kuweni makini unaokaa bar ya Kavesu. Huyu mwehu akanikamia na judainkama nimelewa nitaikojoa. 🥲 Kwa upole nikahoji dada nimekuagizia bia au maji?? Hakunijibu nikauliza tena . Akadai bia mbili. [emoji38] bia Aina Gani Serengeti lite. LoL maskin hata sijui Radha yake.
Huyu mwanamke atakusumbueni.
Kiukweli nilimuelekeza Sana nikadhan counter ingesaidia but it didn't. Zaid kuweni makini na hii bar inaitwa Kavesu
Huyu katoa ofa imeliwa alafu kakataliwaPumbavu mtoa mada
Amenihudumia maji akanidai bia. Nilimuelekeza Sana lkn hakutaka kuelewa. Mwishoni nikasema sitalioa zaidi ya maji niliyokunywaEmbu sema ukweli kuna kitu umeficha hapo bhana.
Haiwezekani hizo sifa zake zote umetaja hivyo kuna namna .
Nachomekea neti ntarudi.
Asee lile chimbo jamaa kawekeza kwa kweli sii utani *****Mtu na akili zako huwezi kulae au kunywa kile KIBAR cha kienyeji Kavesu, ungeshuka pale Kinyerezi Park
Kwa kweli hapo sipafahamu.. nitaenda nipajue tuuuuAsee lile chimbo jamaa kawekeza kwa kweli sii utani *****
Asante Mariam Yuko wapi.. nioe locationSiku nyingine bora usimame The Great, 40/40 au kama una njaa nenda kwa Mariam Birian