Tahadhari: Baa hii iliyopo Tabata Kinyerezi ina wadada wezi

Tahadhari: Baa hii iliyopo Tabata Kinyerezi ina wadada wezi

Jamani lakini sio kubambikia watu. Tuna mahitaji na haya maeneo wengine. Wanajiliwaza na vinywaji vya moto, wengine narudi wengine beverage tuuuu. Inapotokea una stress zako why don't you leave fun.ckn issues where it belongs??

Hata sis tunazo but hatuwez Fanya hiv vitilu vyeny mazin gira ya kuibia watu.

Hizi tabia ni magonjwa kazina yanakuwepo. Muwe makini
Mwandiko wako tangu mwanzo niliutilia mashaka. Wewe inaonekana ni msanii msanii dizaini fulani hivi!!
 
Yaani mm nilivyo mtata sijui hata ningemjibu kitu gani, ila kiufupi anageisoma namba na huo mchezo angeuacha kwa kashikashi ambayo ningempa sijui manager au menywe bar angejua.. pole yako aisee
anageisoma,menywe
 
Jamani lakini sio kubambikia watu. Tuna mahitaji na haya maeneo wengine. Wanajiliwaza na vinywaji vya moto, wengine narudi wengine beverage tuuuu. Inapotokea una stress zako why don't you leave fun.ckn issues where it belongs??

Hata sis tunazo but hatuwez Fanya hiv vitilu vyeny mazin gira ya kuibia watu.

Hizi tabia ni magonjwa kazina yanakuwepo. Muwe makini
Una hoja lakini mwandiko wako hauna ladha!!!
 
Ushaur wangu...hakikisheni mnakunywa na kulipa kwa bili.. and this time iwe TFD receipt other wise unaibiwa na kuibia serikali.. please tuombe bili za EFD

Tuanze sasa na usikubali.

Having this trouble was My stupidity. I won't allow this again never. Coz next time I should open bill as an evidence.

Nimshauri meneja.. kama yupo mdau hapa amuonye huyu dada asithubutu tena na akiniona Tena aombe radhi. Kwamba hatarudia ten.

kwa sabb siku Ile hata tundra nyumbn halikulika. was a stressful evening, mwenzangu nilimuachia mtambo tu hapo akahangaika nao. Sikuwa mm
Ukaliwa kimasihara kwako badae.
 
Ndgu zangu tunao simama kwenye hizi Bar tuweni makini

Ilikuwa hivi.
Nilisimama kinyerezi mwisho njaa ilibana Sana. Nikaona magari na wateja wasimama na wanakula Wababa wamejikalia wakila na kunywa.

Kwa kuwa ilikuwa jumamosi nikapark pembeni mbele ya bar tajwa. Nikiwa nasubiri oda ya chakula. Alinisogelea mdada mnene alivalia track(chino) na t-shirt, ni mweupe kidogo kama sio maji ya kunde, weuPe wake haujakolea kivilee, mfupi hivi. Nikamuomba anipe maji tu.

Baada ya dakika chache chakula kililetwa nikala na kunywa maji kwa amani.

Huyu dada alinidai pesa ya bia. Lahaulla. Nikihamaki tena alijia kwa hasira. Jamani maji yamekuwa bia??

Kuweni makini unaokaa bar ya Kavesu. Huyu mwehu akanikamia na judainkama nimelewa nitaikojoa. 🥲 Kwa upole nikahoji dada nimekuagizia bia au maji?? Hakunijibu nikauliza tena . Akadai bia mbili. 😆 bia Aina Gani Serengeti lite. LoL maskini hata sijui Radha yake.

Huyu mwanamke atakusumbueni.

Kiukweli nilimuelekeza Sana nikadhani counter ingesaidia but it didn't. Zaidi kuweni makini na hii bar inaitwa Kavesu
Mkuu uyo Dada ni kachanganywa na Maisha na vile ulisha sema kunawatu wengi kwaiyo alifananisha na mteja mwengine kifupi msamehe kwa Bia shingapi?
 
Back
Top Bottom