Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
- Thread starter
- #41
No niligoma maa. Na nadhani atakuwa hafai wamuondoe atawaharibia tuuuuKwa hiyo hizo bia ambazo hukunywa ulilipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No niligoma maa. Na nadhani atakuwa hafai wamuondoe atawaharibia tuuuuKwa hiyo hizo bia ambazo hukunywa ulilipa?
Panda magari ya kutoka segerea kwenda mbezi kupitia kinyerezi ukivuka round about mbele shuka kituo kinaitwa shule alafu sogea mbele kidogo kwa miguu mkono wa kulia kama unaelekeke gari lilikoelekea utaona ni pazuri kwa kweli.Kwa kweli hapo sipafahamu.. nitaenda nipajue tuuuu
Ungezilipa ningekuona kolo sanaNo niligoma maa. Na nadhani atakuwa hafai wamuondowntuuuu
Yaani mm nilivyo mtata sijui hata ningemjibu kitu gani, ila kiufupi anageisoma namba na huo mchezo angeuacha kwa kashikashi ambayo ningempa sijui manager au menywe bar angejua.. pole yako aiseeNdgu zangu tunao simama kwenye hizi Bar tuweni makin
Ilikuwa hivi.
Nilisimama kinyerezi mwisho njaa ilibana Sana. Nikaona magari na wateja wasimama na wanakula Wababa wamejikalia wakila na kunywa.
Kwa kuwa ilikuwa jumamosi nikapark pembeni mbele ya bar tajwa. Nikiwa nasubiri oda ya chakula. Alinisogelea mdada mnene alivalia track(chino)na t-shirt, ni mweupe kidogo kama sio maji ya kunde, weuPe wake haujakolea kivilee,mfupi hvi. Nikamuomba anipe maji tuuu.
Baada ya dakika chache chakula kiliLetwa nikala na kunywa maji kwa amani.
Huyu dada alinidai pesa ya bia. Lahaulla... Nikihamaki tena alijia kwa hasira. Jamani maji yamekuwa bia??
Kuweni makini unaokaa bar ya Kavesu. Huyu mwehu akanikamia na judainkama nimelewa nitaikojoa. 🥲 Kwa upole nikahoji dada nimekuagizia bia au maji?? Hakunijibu nikauliza tena . Akadai bia mbili. 😆 bia Aina Gani Serengeti lite. LoL maskin hata sijui Radha yake.
Huyu mwanamke atakusumbueni.
Kiukweli nilimuelekeza Sana nikadhan counter ingesaidia but it didn't. Zaid kuweni makini na hii bar inaitwa Kavesu
Chimbo zuri iloPanda magari ya kutoka segerea kwenda mbezi kupitia kinyerezi ukivuka round about mbele shuka kituo kinaitwa shule alafu sogea mbele kidogo kwa miguu mkono wa kulia kama unaelekeke gari lilikoelekea utaona ni pazuri kwa kweli.
UmeshawakaNiko keko Leo hapa kwenye furniture kbsa Kuna kibaa kimeamsha vibaya
TFD NI NINI.....Ushaur wangu...hakikisheni mnakunywa na kulipa kwa bili.. and this time iwe TFD receipt other wise unaibiwa na kuibia serikali.. please tuombe bili za TFD
Tuanze sasa na usikubali.
Having this trouble was My stupidity. I won't allow this again never. Coz next time I should open bill as an evidence.
Nimshauri meneja.. kama yupo mdau hapa amuonye huyu dada asithubutu tena na akiniona Tena aombe radhi. Kwamba hatarudia ten.
kwa sabb siku Ile hata tundra nyumbn halikulika. was a stressful evening, mwenzangu nilimuachia mtambo tu hapo akahangaika nao. Sikuwa mm
Ni Efd sorryTFD NI NINI.....
SAWA Asante sana sanaWe fala acha kuharibu biashara za watu.... MJINGA WEWE.
Manager alitoa msaada gani?Nikakataa nililipa maji yangu
Ni wezi kweli wanafanya hivi.Hao watu wanakuwa wanapokea order nyingi, kuchanganya si kitu kigeni...ingawaje wapo wajanja wajanja