Tahadhari: Baa hii iliyopo Tabata Kinyerezi ina wadada wezi

Hizo nyingine ni stress za maisha jaman sio utapeli.
Msamehe tu uwez juu kichwan anasumbuliwa na kitu gani
 
Hizo nyingine ni stress za maisha jaman sio utapeli.
Msamehe tu uwez juu kichwan anasumbuliwa na kitu gani
Jamani lakini sio kubambikia watu. Tuna mahitaji na haya maeneo wengine. Wanajiliwaza na vinywaji vya moto, wengine narudi wengine beverage tuuuu. Inapotokea una stress zako why don't you leave fun.ckn issues where it belongs??

Hata sis tunazo but hatuwez Fanya hiv vitilu vyeny mazin gira ya kuibia watu.

Hizi tabia ni magonjwa kazina yanakuwepo. Muwe makini
 
nipo njian naenda kudai chenji shenzi na asipokuwa nayo atatoa tigp ww na mm 2jifanye ndugu
 
nipo njian naenda kudai chenji shenzi na asipokuwa nayo atatoa tigp ww na mm 2jifanye ndugu
Hakikisha anakupa bili na uihifadhi Kwa akili ya rejea.

Next time ukipita atakudaiso you can use as an evidence
 
Shida ni kuwa stress zimemzidia had anachanganya mafaili, sio kuwa anafanya makusudi
 
Embu sema ukweli kuna kitu umeficha hapo bhana.
Haiwezekani hizo sifa zake zote umetaja hivyo kuna namna .
Nachomekea neti ntarudi.
 
Embu sema ukweli kuna kitu umeficha hapo bhana.
Haiwezekani hizo sifa zake zote umetaja hivyo kuna namna .
Nachomekea neti ntarudi.
Amenihudumia maji akanidai bia. Nilimuelekeza Sana lkn hakutaka kuelewa. Mwishoni nikasema sitalioa zaidi ya maji niliyokunywa
 
Hiyo bar inatufaa wateja kama sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…