Tahadhari: Baa hii iliyopo Tabata Kinyerezi ina wadada wezi

Mwandiko wako tangu mwanzo niliutilia mashaka. Wewe inaonekana ni msanii msanii dizaini fulani hivi!!
 
Yaani mm nilivyo mtata sijui hata ningemjibu kitu gani, ila kiufupi anageisoma namba na huo mchezo angeuacha kwa kashikashi ambayo ningempa sijui manager au menywe bar angejua.. pole yako aisee
anageisoma,menywe
 
Una hoja lakini mwandiko wako hauna ladha!!!
 
Ukaliwa kimasihara kwako badae.
 
Mkuu uyo Dada ni kachanganywa na Maisha na vile ulisha sema kunawatu wengi kwaiyo alifananisha na mteja mwengine kifupi msamehe kwa Bia shingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…