Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, achana na huyo kilaz anaropoka tu.Kwahio unashauri wangeweka Dr au nurse kila taasisi na sehemu nchi hii?! Hospital atabaki nani?
Unajua maana ya wataalamu wa afya ama umekariri mtaalamu wa afya ni doctor na nesi Wabongo mna akili fupi sana!Kwahio unashauri wangeweka Dr au nurse kila taasisi na sehemu nchi hii?! Hospital atabaki nani?
Mwenye akili fupi hapa anaonekana. Ungekuwa na akili ndefu ungejua haihitaji mtaalam wa afya kupima joto lako. Watu wanajipima BP, sukari itakuwa joto la mwili? Tena ki scanner kama cha supermarket eti waweke mtaalam wa afya.Unajua maana ya wataalamu wa afya?
ama umekariri mtaalamu wa afya ni doctor na nesi wabongo mna akili fupi sana!
Lol man kile kifaa ni rahis sana kutumia. Haiitajiki mtu mwenye elimu kubwa kukitumia.Unapimwa joto na askari?
Hiki ni kituko cha karne. Ni bora wangeweka mtaalamu wa afya
Ninazo TZS 50,000/chupa masks (medical 35,000/= non-medical 30,000/= zipo 100pcs kwa boxNatafuta zile dawa za nimr kama unazo njoo inbox.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unajua maana ya wataalamu wa afya?Kwahio unashauri wangeweka Dr au nurse kila taasisi na sehemu nchi hii?! Hospital atabaki nani?
Unajua maana ya wataalamu wa afya !!??
ama umekariri mtaalamu wa afya ni doctor na nesi wabongo mna akili fupi sana!!!
Unajua maana ya wataalamu wa afya !!??
ama umekariri mtaalamu wa afya ni doctor na nesi wabongo mna akili fupi sana!!!
Mjinga ww siwezi bishana na jinga kama ww!!!Mwenye akili fupi hapa anaonekana. Ungekuwa na akili ndefu ungejua haihitaji mtaalam wa afya kupima joto lako. Watu wanajipima BP, sukari itakuwa joto la mwili? Tena ki scanner kama cha supermarket eti waweke mtaalam wa afya.
Halafu hao migambo huwa wana viburi!! Hivi huwa wanawatoa wapi?Unapimwa joto na askari?
Hiki ni kituko cha karne. Ni bora wangeweka mtaalamu wa afya
Ndivyo mnavyochukulia mambo kirahisi namna hiyo?Lol man kile kifaa ni rahis sana kutumia. Haiitajiki mtu mwenye elimu kubwa kukitumia.
Yaan joto above C flan ni hatari.. means huyo mtu anashida.
Below that hana. Simple as that
Pale Chadema makao makuu kuna kapipa ka maji tiririka!Naona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.
Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia na ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.
Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.
Hongereni sana.
Wewe ni mpumbavu.Unajua maana ya wataalamu wa afya !!??
ama umekariri mtaalamu wa afya ni doctor na nesi wabongo mna akili fupi sana!!!
Mjinga ww siwezi bishana na jinga kama ww!!!
wataalamu wa afya wapo kibao wengine wapo mitaani unaniambia askari asimame apime afya unafikiri kwa kutumia buttocks
Korona ina porojo nyingi Sana. Sasa mm ninayetembea kwa mguu na joto hili la Dar, nikifika hapo si watakuta nina joto la maitu ya korona?? Waache Usanii.Unapimwa joto na askari?
Hiki ni kituko cha karne. Ni bora wangeweka mtaalamu wa afya
Hospitali kwenyewe wanatumia walinzi kupima jotoUnapimwa joto na askari?
Hiki ni kituko cha karne. Ni bora wangeweka mtaalamu wa afya
Acheni ujinga na Upuuzi swala la kupima joto lipo tokea siku corona ilipoanza kama kwenu hampimi basi nakujulisha kuwa tigo hawajawahi kuacha kupima tokea march 2020.Naona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.
Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia na ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.
Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.
Hongereni sana.
Ww ni jinga sana.....punguaniWewe ni mpumbavu.
Ndio ujinga wenu.....!!!Hospitali kwenyewe wanatumia walinzi kupima joto