toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Maji yamekorogeka
View attachment 1687346
malaria haiwez kuwa na chanjo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji yamekorogeka
View attachment 1687346
Oh, yesNaona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.
Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia, na ukiingia ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.
Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.
Hongereni sana.
Wako vizuri kwakweli.Oh, yes
Nilienda ofisini kwao pale mlimani city nilikutana na utaratibu huo
Kwani kusoma joto nayo inahitaji kuwa daktari?Unapimwa joto na askari?
Hiki ni kituko cha karne. Ni bora wangeweka mtaalamu wa afya.
Yani wewe ndio mjinga wa grade A. Kwa sisi wazazi huwa tunavipima joto na ukiona mtoto joto lake halieleweki unampima na kujua kama ni la kawaida au unahitaji kumkimbiza hospitali. Sasa wewe unaehitaji mpaka joto apime daktari. Na hata kuna hosptali wale wanaopima presha sio manesi wala madaktari ni wahudumu tu.Ww ni mjinga kweli?
Toka lini askari akapima afya ya binadamu
Kichwa chako kimejaa tope la kamasi!
Nitakubabua soon...Mtu mjinga huwaza na kuamini kua kile akifanyacho basi na wenzake hukifanya,mwanaume rijali hawezi kuongelea mambo ya rinda,bila shaka hiyo ndio kazi yako na hasira hizi kumbe unapayuka kwa kukumbuka kua ulichezewa huo mchezo! Pole sana.
Endelea tu kutukana wanaJF wanaojaribu kukupa elimu na kukutoa gizani ila tambua kua umeshageuka kituko kwenye hii thd na unaonekana ni mtu uliyepata malezi ya hovyo sana na umekata tamaa ya maisha,yaani kwenye hii thd unahangaika kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,wewe ni wakusikitikiwa tu na wakuonewa huruma na jamii kwa madhila unayoyapitia.Nitakubabua soon...
Jipe shughuli ya kufanya......Endelea tu kutukana wanaJF wanaojaribu kukupa elimu na kukutoa gizani ila tambua kua umeshageuka kituko kwenye hii thd na unaonekana ni mtu uliyepata malezi ya hovyo sana na umekata tamaa ya maisha,yaani kwenye hii thd unahangaika kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,wewe ni wakusikitikiwa tu na wakuonewa huruma na jamii kwa madhila unayoyapitia.
Dalili mojawapo ni joto kupanda kwahio wakikupima joto likiwa juu isivyo kawaida unashauriwa ukafanye vipimo zaidi. Kama ni bank au ofisi huruhusiwi kuingia.Hivi hiko kipima joto kinasaidia kweli?!
siyo lazima ukae humu. Ukwende huko chamwino na hilo tunguli lako unaskia weye msukule?Magufuli ni chaguo la Mungu. Itoshe kusema hayo
Una hitilafu ya ugongo bibie?siyo lazima ukae humu. Ukwende huko chamwino na hilo tunguli lako unaskia weye msukule?