Tahadhari dhidi ya corona: Tigo waanza kuchukua hatua, ukiingia katika ofisi zao unapimwa joto mlangoni

Tahadhari dhidi ya corona: Tigo waanza kuchukua hatua, ukiingia katika ofisi zao unapimwa joto mlangoni

Ndio ujinga wenu.....!!!
wapo wataalamu husika wengi kitaa....
wapeni hiyo kama kazi ya muda
watasaidia sana hata kwa ushauri...
kwa wahusika watakaokutwa na maambukizi.Assume askari amekupima amekuta una joto la ajabu then what next!!????
anakushauri nini!!?
Anakushauri uende kumuona daktari. Huwezi kujaza madakatari kwenye.mageti eti kupima joto. Huo ndiyo utakuwa ujuha wa hali ya juu.
 
Kumpima mtu body temperature hakuhitaji utaalamu wa hali ya juu,muhimu ujue kukitumia hicho kifaa na kusoma digital number tu,
Hata huku nilipo walinzi "Gate security" ndio wanatumika kupima joto la mwili kwa kila atakae taka kuingia ndani ya jengo husika.
 
Naona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.

Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia, na ukiingia ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.

Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.

Hongereni sana.
MBONA HIZI TAHADHALI NA MAWARAKA HAVIKULETWA KIPINDI CHA MIKUTANO YA KAMPENI??
 
Kumpima mtu body temperature hakuhitaji utaalamu wa hali ya juu,muhimu ujue kukitumia hicho kifaa na kusoma digital number tu,
Hata huku nilipo walinzi "Gate security" ndio wanatumika kupima joto la mwili kwa kila atakae taka kuingia ndani ya jengo husika.
Tz kuna majinga mengi jingine hili hapa!!.
 
Tz kuna majinga mengi jingine hili hapa!!.
Aisee! wewe unajua mimi nipo wapi? mimi nimeelezea kinachofanyika huku nilipo,naona mzee umejikoki kubishana na kutukana watu hovyo! utabishana na forums utaiweza? hapa tunajadiliana na wala hatugombani wala kutukanana,Dunia ilisha staarabika,jifundishe jinsi ya kujadili jambo bila mihemko.
 
Aisee! wewe unajua mimi nipo wapi? mimi nimeelezea kinachofanyika huku nilipo,naona mzee umejikoki kubishana na kutukana watu hovyo! utabishana na forums utaiweza? hapa tunajadiliana na wala hatugombani wala kutukanana,Dunia ilisha staarabika,jifundishe jinsi ya kujadili jambo bila mihemko.
Jinga ww nijue uko wp! manake nini? nimetoa reasoning zangu kule juu ilipaswa ujibu kwa adabu.....sio unaingilia na kujibu kwa kejeli fikra zenu fupi sana..... anyway ww na wapuuzi wenzio msiniquote tena ninayoongea yamezidi uwezo wa fikra zenu.
 
Jitambue wewe mwenyewe, kwamfano kama wewe unajua jumatatu shule asa kwann uforcewe, unajua kanuni za ugonjwa wa korona na kanuni za afy so usiwe na presha tii yale ambayo unajua yatakusaidia kuishi.
 
Back
Top Bottom