fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
ME mwenye sichomi chanjo ata kwa bundukiMaji yamekorogeka
View attachment 1687346
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ME mwenye sichomi chanjo ata kwa bundukiMaji yamekorogeka
View attachment 1687346
Anakushauri uende kumuona daktari. Huwezi kujaza madakatari kwenye.mageti eti kupima joto. Huo ndiyo utakuwa ujuha wa hali ya juu.Ndio ujinga wenu.....!!!
wapo wataalamu husika wengi kitaa....
wapeni hiyo kama kazi ya muda
watasaidia sana hata kwa ushauri...
kwa wahusika watakaokutwa na maambukizi.Assume askari amekupima amekuta una joto la ajabu then what next!!????
anakushauri nini!!?
Akili fupi kama mumeo hapo juu mwenye shati jekundu poteeni.Anakushauri uende kumuona daktari. Huwezi kujaza madakatari kwenye.mageti eti kupima joto. Huo ndiyo utakuwa ujuha wa hali ya juu.
Idiot.Ww ni jinga sana.....punguani
next time uwe unafikiria kabla ya Ku comment..
stupid man...
Hana akili huyo.Anakushauri uende kumuona daktari. Huwezi kujaza madakatari kwenye.mageti eti kupima joto. Huo ndiyo utakuwa ujuha wa hali ya juu.
StupidIdiot.
Hilo jinga linadhani kupima joto la mwili inahitaji specialistHana akili huyo.
Kaamka na stress anatukana kila mtuHilo jinga linadhani kupima joto la mwili inahitaji specialist
Sijui apimwe nini huyu Mluguru?Maji yamekorogeka
View attachment 1687346
MBONA HIZI TAHADHALI NA MAWARAKA HAVIKULETWA KIPINDI CHA MIKUTANO YA KAMPENI??Naona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.
Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia, na ukiingia ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.
Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.
Hongereni sana.
Idiot.
Mnaliwa vibogo nyinyi..Hilo jinga linadhani kupima joto la mwili inahitaji specialist
Wangekarabati na choo chao.Pale Chadema makao makuu kuna kapipa ka maji tiririka!
ndui, pepopunda n.k ulichomwa?ME mwenye sichomi chanjo ata kwa bunduki
Tz kuna majinga mengi jingine hili hapa!!.Kumpima mtu body temperature hakuhitaji utaalamu wa hali ya juu,muhimu ujue kukitumia hicho kifaa na kusoma digital number tu,
Hata huku nilipo walinzi "Gate security" ndio wanatumika kupima joto la mwili kwa kila atakae taka kuingia ndani ya jengo husika.
Aisee! wewe unajua mimi nipo wapi? mimi nimeelezea kinachofanyika huku nilipo,naona mzee umejikoki kubishana na kutukana watu hovyo! utabishana na forums utaiweza? hapa tunajadiliana na wala hatugombani wala kutukanana,Dunia ilisha staarabika,jifundishe jinsi ya kujadili jambo bila mihemko.Tz kuna majinga mengi jingine hili hapa!!.
Wali ni choma mkuu ila mwanangu hajachomandui, pepopunda n.k ulichomwa?
Jinga ww nijue uko wp! manake nini? nimetoa reasoning zangu kule juu ilipaswa ujibu kwa adabu.....sio unaingilia na kujibu kwa kejeli fikra zenu fupi sana..... anyway ww na wapuuzi wenzio msiniquote tena ninayoongea yamezidi uwezo wa fikra zenu.Aisee! wewe unajua mimi nipo wapi? mimi nimeelezea kinachofanyika huku nilipo,naona mzee umejikoki kubishana na kutukana watu hovyo! utabishana na forums utaiweza? hapa tunajadiliana na wala hatugombani wala kutukanana,Dunia ilisha staarabika,jifundishe jinsi ya kujadili jambo bila mihemko.