Hata wahusika nao washaanza kushtukaNaona Watanzania wameamka na kuanza kuchukua tahadhari ambapo uvaaji wa barakoa sasa umeanza kurudi mitaani.
Kwa upande wa kampumi ya simu za mkononi ya Tigo, wao wameenda mbali zaidi ambapo ukitaka kuingia katika ofisi zao, unapimwa kwanza joto mlangoni na askari kabla ya kuruhusiwa kuingia, na ukiingia ndani wahudumu wao wamevaa barakoa.
Nawapongeza tigo kwa hatua hii niliyoishuhudia leo katika tawi lao moja.
Hongereni sana.
Come on man. Hakuna mtu anachukulia kirahis ..ni basic knowledge tu. Hata na hiyo ushindwe kweli?Ndivyo mnavyochukulia mambo kirahisi namna hiyo !!?
We jamaa huna akili narudia tena huna akili...hizo hela walizokusomesha wazazi wako bora wangechezaga kamali tu...wewe kupima joto huwezi?...Mnaliwa vibogo nyinyi..
Hana akili Baba yako ww na mama yako....We jamaa huna akili narudia tena huna akili...hizo hela walizokusomesha wazazi wako bora wangechezaga kamali tu...wewe kupima joto huwezi?...
Acheni mambo ya kitaalam yafanywe na wataalam.Msipende kufoji fojiCome on man. Hakuna mtu anachukulia kirahis ..ni basic knowledge tu. Hata na hiyo ushindwe kweli?
Walinzi wa maofisi wanarudi katika ubora wao[emoji16][emoji16]Kipima joto kimerudi
Ok
Ova
Jibu swali...wewe huwezi kupima joto?Hana akili Baba yako ww na mama yako....
jinga ww.....hv Tz kuna watu cheki huyu panya
Hakuna mtu anafoji man. Ulaya kwenyewe askari walipo magetini ndio wanapima joto.Acheni mambo ya kitaalam yafanywe na wataalam.Msipende kufoji foji
Amepanick msameheJibu swali...wewe huwezi kupima joto?
Mtaalamu wa afya sio lazima awe daktariHakuna mtu anafoji man. Ulaya kwenyewe askari walipo magetini ndio wanapima joto.
Hapo us wameshindwa ku deploy wataalam kila kona ya jiji. Despite ya resources walizonazo.
Huwez uka deploy madaktari kila kona ya nchi na viunga vyake wakatosha..
Isitoshe yaan u deploy madaktari kitaani wakapime joto?
Yea tuwachie wataalam.. but wataalam wana kazi nyingi za muhimu zaidi.
Duh hatari, vifurushi. Mafuta, nk mbona balaaa JamaniiKumbe ndiyo maana Tigo wameamua kupandisha bei za vifurushi vyao vya internet ili kujikinga na corona. Kwa sasa 500/= unapata 50MB tu kwa siku.
Akili fupi kama mumeo hapo juu mwenye shati jekundu poteeni.
Jinga ww nijue uko wp! manake nini? nimetoa reasoning zangu kule juu ilipaswa ujibu kwa adabu.....sio unaingilia na kujibu kwa kejeli fikra zenu fupi sana..... anyway ww na wapuuzi wenzio msiniquote tena ninayoongea yamezidi uwezo wa fikra zenu.
Tz kuna majinga mengi jingine hili hapa!!.
Haaaaa Haaaaa 😂 😂 😂 Jamanii sio kwa hasira hizi looh😂😂Mnaliwa vibogo nyinyi..
Kaka vifo vipo, ila hizi measures zinasaidia kupunguza. And tatizo kubwa siyo vifo mkuu, ni hospitali kuelemewa, hali ambayo inaweza kusababisha vifo zaidi pale ambapo mgonjwa atakosa kuhudumiwa kwa wakati muafakaVipi huko uliko hakuna vifo vya corona?
Ushawahi kupimwa temperature kwa ajili ya Corona? Unajua hata kifaa kinachotumika? Wewe unaonesha uwezo wako wa kufikiri na sehemu unayotoka ni primitive sana!! Kifaa cha kupimia joto Corona unaweza ukanunua ukakaa nacho ndani mkajipima na familia yako kila siku asubuhi na jioni! PambafuWw ni mjinga kweli?
Toka lini askari akapima afya ya binadamu
Kichwa chako kimejaa tope la kamasi!
Mseing wa Mombasa ww!Ushawahi kupimwa temperature kwa ajili ya Corona? Unajua hata kifaa kinachotumika? Wewe unaonesha uwezo wako wa kufikiri na sehemu unayotoka ni primitive sana!! Kifaa cha kupimia joto Corona unaweza ukanunua ukakaa nacho ndani mkajipima na familia yako kila siku asubuhi na jioni! Pambafu
Naona umeamua kuudhihirishia uma jinsi ulivyo mpumbavu,nadhani una stress za maisha na ndizo zinazokuchanganya,kubisha kwenye hii issue na kutukana watu unatumia kama njia yakurelease stress zako,ila stress hazitoki kwa wewe kujionyesha kua ni mpumbavu,huenda huko unapoishi au kwenye familia yako unadharaulika sana na huna thamani yeyote ndio maana hasira zako unazimalizia kwa kutukana strangers,Dogo maisha hayaendi hivyo.Jinga ww nijue uko wp! manake nini? nimetoa reasoning zangu kule juu ilipaswa ujibu kwa adabu.....sio unaingilia na kujibu kwa kejeli fikra zenu fupi sana..... anyway ww na wapuuzi wenzio msiniquote tena ninayoongea yamezidi uwezo wa fikra zenu.
Mkuu huyo unayemfahamisha ana matatizo ya akili,anahitaji zaidi matibabu kuliko kupewa elimu kwasasa.Ushawahi kupimwa temperature kwa ajili ya Corona? Unajua hata kifaa kinachotumika? Wewe unaonesha uwezo wako wa kufikiri na sehemu unayotoka ni primitive sana!! Kifaa cha kupimia joto Corona unaweza ukanunua ukakaa nacho ndani mkajipima na familia yako kila siku asubuhi na jioni! Pambafu
Hivi makamu au waziri mkuu wake angekuwa Trump hali ingekuwajeMagufuli ni chaguo la Mungu. Itoshe kusema hayo
JPM leo “wametuletea corona ya ajabu” (+video) JPM leo “wametuletea corona ya ajabu” (+video) – Millardayo.com