Pre GE2025 Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Pre GE2025 Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Itafika hatua TLS iangalie namna ya kuwawajibisha wale wanaotoa ahadi hewa!
Mbona ccm ikitukanwa na Viongozi wake Huwa hatuwaoni TLS Wala Wale wa kutetea Haki za binadamu? Yaani hivyo Vyama vimejigeuza ni Mali ya Upinzani au?
 
Acha watu wachague kiongozi wao
Screenshot_20240729-095137_Chrome.jpg
 
Mbona ccm ikitukanwa na Viongozi wake Huwa hatuwaoni TLS Wala Wale wa kutetea Haki za binadamu? Yaani hivyo Vyama vimejigeuza ni Mali ya Upinzani au?
Iko hivi ukiona baunsa na kasichana wanapigana ,ukasema ww huingilii maana yake ww uko upande wa baunsa . Ccm ndo adui number 1 kwenye kuvunja sheria imejipandikiza mahakaman ,bungeni ,etc kwa hiyo nchi haiendeshi kitaalamu ,bali wanachoamua baraza kuu ccm ndo la mwisho ,ndo maaana wanagawiana mashamba ,mabandar et
Ukiwa mtetezi wa ugomvi wa gigi money na mwakinyo utapaswa umshike mikono mwakinyo
 
Mbona ccm ikitukanwa na Viongozi wake Huwa hatuwaoni TLS Wala Wale wa kutetea Haki za binadamu? Yaani hivyo Vyama vimejigeuza ni Mali ya Upinzani au?
Iko hivi ukiona baunsa na kasichana wanapigana ,ukasema ww huingilii maana yake ww uko upande wa baunsa . Ccm ndo adui number 1 kwenye kuvunja sheria imejipandikiza mahakaman ,bungeni ,etc kwa hiyo nchi haiendeshi kitaalamu ,bali wanachoamua baraza kuu ccm ndo la mwisho ,ndo maaana wanagawiana mashamba ,mabandar et
Ukiwa mtetezi wa ugomvi wa gigi money na mwakinyo utapaswa umshike mikono mwakinyo,na ni upuuzi kuuliza mbona humshiki mahali gigi money
 
Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu,mtu ana mihemko ,hana utulivu wa akili Wala approach nzuri ya kutatua Changamoto eti ndio awe Rais wa watu Wanaojiita wasomi 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19

Mpuuzi huyu Mwabukusi ana akili zile zile za chuki zetu za kiafrika, kudhani kuwa matatizo yetu chanzo chake ni watu tunaoweza kuwanyooshea vidole.

China wapo bilioni 1.4 wao ndio walitakiwa wawe wa kwanza kunyooshea vidole wachache wanaodhani wanawasaliti lakini ni kinyume chake kwa sababu elimu wanayoitoa ni ile ya udadisi tangu wakiwa watoto.

Wanamuandaa kila mchina aweze kuishi mahali popote pale mbali na China. Sisi watanzania kwa kupewa elimu za kuja kuajiriwa baadae tunajikuta tunahangaika pale ajira rasmi zinapokuwa chache, matatizo yetu mengi huanzia hapo.

Sasa huyu mpuuzi mwanasheria kaingia katika mtego ule ule wa kunyooshea kidole tabaka la viongozi, hakuna duniani nchi isiyo na tabaka la wachache wenye kuongoza hiyo ndio hulka ya kibinadamu imejaa ubinafsi mwingi.

Hao DP wapo katika mataifa mengi tu na ni kwa sababu ya uwezo wao wa kazi ndio maana wanakubaliwa, anataka watoke hapo TPA anayo 'know how' yenye kuweza kutupatia mapato na ufanisi wa kazi kulinganisha na hao DPW?.
 
Samia anazijua mbinu za kisiasa, ni mwanasiasa mkomavu japo anaweza kuonekana ni mlaini.

Mfano namna alivyomnyamazisha JK kwa kumpa uwaziri mtoto wake Ridhiwani na kumchinjia baharini January mtoto wa Mzee Makamba, kang'ata na kupuliza.

Huyo Mwabukusi hataweza kuisumbua serikali wanajua namna chafu na safi za kumnyamazisha.
 
Nyie ndio Huwa mnajiina mnazo na msivyojiamini mkajiongezea na mbele eti msomi 😆😆😆😆

Sijawahi ona popote Duniani Mwanasheria akapewa tuzo ya Nobel Kwa sababu ya kuwa mwanataaluma ya sheria.
Aliekuambia tuzo za nobel zinatolewa kwa sababu ya taaluma ni nan?mbona una hoja dhaifu zinazokuaibisha mwenyewe.
 
Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu,mtu ana mihemko ,hana utulivu wa akili Wala approach nzuri ya kutatua Changamoto eti ndio awe Rais wa watu Wanaojiita wasomi 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19

Jamaa anatanguliza ego za Kinyakyusa kwenye maamuzi yanayohitji utulivu wa akili Kwa maslahi ya wengi ikiwemo wale asiowakubali 😂😂😂

Pia soma Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

CCM bhana😅 mnataka watu kama mwenyekiti wa CWT ili mpenyeze ajenda zenu kwenye Chama. Sasa kama hujui, fani ya sheria ina uanaharakati ndani yake. Huwezi kuwa mwanasheria na umezubaa tu kila kitu kwako ndio. Mwabukusi ni tishio kwa Serikali na tunahitaji watu wa namna hiyo milele yote ili Serikali isizoee kutupanda vichwani

MWABUKUSI MWABUKUSI MWABUKUSI
 
Upumbavu ni tafsiri ya nani?
Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu,mtu ana mihemko ,hana utulivu wa akili Wala approach nzuri ya kutatua Changamoto eti ndio awe Rais wa watu Wanaojiita wasomi 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19

Jamaa anatanguliza ego za Kinyakyusa kwenye maamuzi yanayohitji utulivu wa akili Kwa maslahi ya wengi ikiwemo wale asiowakubali 😂😂😂

Pia soma Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

Dogo nikuambie tu kwanza TLS inaendeshwa na katiba tena iliyonyooka.

Sasa tabia ya akili ya kusema atawaburuza mawakili umeitoa wapi.

Nyie vibaraka wa CCM jifunzeni kutoa funza kichwani kabla ya kutoka hadharani na maandiko yenu kengefu.

Umekuta kiandiko mitandaoni umekigeuza kuwa hoja ya kupiga mgombea, eti atawabiruza wanasheria wa TLS kiasa amesema kuna mambo ya kufuata sheria na mambo ya kushinikiza kwa nguvu ya umma. We hujui kama ni kweli kuna mambo yanahitaji nguvu ya uma?

Ulivyo MPUMBAVU ukaingiza ishu ya ukabila,eeh NDIO wewe ni MPUMBAVU,Wanyakyusa wamekujaje kwa Ishu ya Mwambukusi kugombea TLS na misimamo yake?

Waambie na vibaraka wenzio kuwa kuna mzee nimekutana nae JF kanipiga,ameniambia tuwe tunatoa Funza kichwani kabla ya kutoka kwenye kadamnasi.

The Legacy.
 
Sasa hukui hata Tuzo za Nobel zinatolewa kwa sababu gani unakuja kuandika Uharo huku matako ya ndugu zako,rudi shule maandazi wewe.
Sababu nazijua ila Kwa nini haitolewi kwenye fani ya Sheria?
 
Dogo nikuambie tu kwanza TLS inaendeshwa na katiba tena iliyonyooka.

Sasa tabia ya akili ya kusema atawaburuza mawakili umeitoa wapi.

Nyie vibaraka wa CCM jifunzeni kutoa funza kichwani kabla ya kutoka hadharani na maandiko yenu kengefu.

Umekuta kiandiko mitandaoni umekigeuza kuwa hoja ya kupiga mgombea, eti atawabiruza wanasheria wa TLS kiasa amesema kuna mambo ya kufuata sheria na mambo ya kushinikiza kwa nguvu ya umma. We hujui kama ni kweli kuna mambo yanahitaji nguvu ya uma?

Ulivyo MPUMBAVU ukaingiza ishu ya ukabila,eeh NDIO wewe ni MPUMBAVU,Wanyakyusa wamekujaje kwa Ishu ya Mwambukusi kugombea TLS na misimamo yake?

Waambie na vibaraka wenzio kuwa kuna mzee nimekutana nae JF kanipiga,ameniambia tuwe tunatoa Funza kichwani kabla ya kutoka kwenye kadamnasi.

The Legacy.
Mtaburuzwa Hadi muite maji maana👇👇

View: https://twitter.com/kigogo2014/status/1817838689864548372?t=2lePsbH949y-Am8N9lvP4Q&s=19
 
Ndugu Tuzo ya Nobel hutolewa kwa waliofanya uvumbuzi wenye manufaa kwa maisha ya binadamu.hii ndio kifupi.
Kama fani yenyewe Haina uvumbuzi Wala Msaada wowote Ina maana gani Sasa? 😆😆😆😆

Watu wa Uchumi Huwa wanavumbua nini?
 
Kwanza hongera sana kwa andiko lako, pia ni jambo jema kwako kuona hatari ya Adv. Mwambukusi endapo akiwa Rais wa TLS kwa mtazamo wako kuwa Mawakili wataburuzwa kiharakati huku ukionesha vielelezo kuwa Adv. Mwambukusi anahusika na CHADEMA au harakati za kupingana na CCM na serikali ya CCM. Nina maswali haya:​
  1. Kwa maelezo yako unakwenda tofauti na Mahakama kumruhusu Adv. Mwambukusi kurudi kugombea? Ebu tupe sababu kwanini hutaki Adv. Mwambukusi agombee?
  2. Kama unaona kuna madhara ya CHADEMA kuathiri utendaji kazi wa Adv. Mwambukusi kama Rais wa TLS, Je unadhani CCM haileti athari kwenye utendaji kazi wa viongozi na wateule ambao ni wanachama wa CCM?
  3. Tanzania ni yetu sote, sio ya CHADEMA, sio ya CCM, sio ya CUF, sio CHAUMA, wala sio ya Samia. Sasa unadhani kikatiba Adv. Mwambukusi ataitumiaje nafasi yake kuburuza mawakili endapo akiwa Rais wa TLS?
Na kumbuka kuwa kuna mgombe mmoja wa nafasi ya Urais wa TLS ni kada wa CCM, je naye pia hatakiwi kugombea Urais au yeye hawezi kuburuza mawakili kiharakati?!
 
Back
Top Bottom