enockino
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 273
- 171
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hiyo mifugo chaliiiiii ulikuwa unaitunza vipi?mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa
au ndo kuisoma namba
Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.