Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa

au ndo kuisoma namba

Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hiyo mifugo chaliiiiii ulikuwa unaitunza vipi?
 
Geust House za bei chee 3,000 mpaka 5,000
1. chabo
2. kunguni
3. kuchafu
4. luku tatizo
5. maji tatizo
6. watu kufanya kijiwe hasa kile chumba cha muhudumu
7. vitanda telemka tukaze(mishindo mitatu chaga zote chini)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]ndala vipande kisha hazifanani rangi
616a06dc622b210f11e5ba137f112193.jpg
 
wakuu hivi hawa wanaokula chabo wanafaidika na nini eti mbona siwaelewi?
 
Sikumoja nilitoka mkoani kufika dar guest Fulani saa tatu usiku ikawa imejaa , muhudumu akutuambia Wateja tusubiri baada ya nusu saa vyumba vitatu vitakuwa wazi maana jamaa watakuwa wamemaliza kazi (ngono ya short time)
 
[emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo mkuu ukawa mteja Wa kikwapa?
 
Back
Top Bottom