Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

-lakini zinasaidia.kukatia kiu ya ghafla.yakhe.../ gizani nope!/, napenda kupaona palivyo...
 
huu usemi huu "aisifiae mvua imemnyea" Aaaaa!! me sijui
 
hakuna mwenye hatimiliki ya avartar, hata yangu hii japo nilianza kuitumia tangu 2012 lakini bado inatumiwa na watu.

Na si kweli kwamba hio ulianza kuitumia wewe humu, wapo wengi tu walianza kuitumia kabla yako, mimi nilianza kuitumia hio yako kwenye page yang ya FB kitambo tu wakati wewe bado unatumia ile ya tembo.

Kifupi hakuna mtu mwenye uwezo wa kumwambia mwenzie kwa nini umetumia avatar yangu, ni jambo tu la kiungwana kutotumia avatar zainazofanana ila sio lazima
Mwingine aliwahi kulilia avatar ya tupac humu jf hatari sana.
 
Mshana Jr, umewaza nini leo bro!!!?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] siasani kimenuka kiza kimeota macho halafu kina masikio na siku za karibuni kimeongezewa mapembe na kucha ndeefu
 
Nilishawahi kulala guest moja maeneo ya keko mwanga hao kunguni alimanusura nijaze ndoo walikuwa wakuzoa sitakaa nisahau.
 
Back
Top Bottom